Umati wa watu waliosongamana katika mazishi ya Maalim Seif wakiwa hawajavaa barakoa

Hii ni hatari, hatari kubwa sana, hakuna cha barakoa wala mita moja na ukizingatia "MDUDU (Covid-19)" ndio kaisha anza kibarua chake kwa kasi ya 4G ndani ya Ikulu ya Zanzibar colabo Ikulu Tanzania.

Kwenye huu mkusanyiko mdudu anachekelea tu huko alipo, anajua atazikusanya roho nyingi za wabishi na wazembe wasiomuogopa kwenye huu umati. Ataacha mayatima na wajane wengi sana mwaka huu na mapengo yasiozibika.

Tanzania tuna raia approx. Millioni 60, ila tukipimwa wote basi wenye kirusi si chini ya Millioni 30 mpaka sasa.
Unaongea kishabiki sana
 
16136397718307696224836881154083.jpg

Stay safe .
😷😷
 
mi nawashangaa sana watu maradhi ambayo ni airborne huwezi ukayazuia kwa kipande cha nguo puani ni kujikosesha pumzi.

Likitambaa lenyewe mara ulishikeshike...mara ulitoe unywe maji hafu ulishike ulirudishie tena puani...mara ulitundike kwenye center mirror ya gari mara ulivae tena. Huko kote ni kujisumbua tu...wewe unavaa mwenzio havai familia yako haivai na mnaenda kulala pamoja etc

Yaani kuvaa barakoa sijui distancing ni vitu ambavyo practically haiwezekani kwa mazingira yetu...tusilete propaganda kwenye hili.

Kama kuna measure inayowezekana ni LOCK DOWN ambayo hakuna mtanzania timamu anaeiafiki ukizingatia mtindo wetu wa maisha.

Tuwe real tusiige mtu.
Lockdown itaua uchumi hivi hivi ndio safi tujifunze kuishi nayo kama maralia huko ulaya kwenyewe wameipuuzia saizi wananchi wanazagaa tu ukiweka watu lockdown dunia itakushangaa
 
Mtu mweusi ni noma sana!Usipojua tena ni kwa nini ni vyema na haki kwa mtu mweusi kubaguliwa basi utakuwa una matatizo makubwa sana ya akili.Imagine watu wanakufa kwa wingi kwa Corona lakini still watu wanakusanyika kwa kusongamana bila kuvaa barakoa na bila ya kuchukua tahadhari zozote zile na hata hofu hawana!View attachment 1705301
Wananchi wakiwa wamekusanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Unguja kusubiri mwili wa Mwendazake Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad.

Baada ya swala, mwili huo utasafirishwa kwenda kisiwani Pemba kwa ajili ya mazishi leo jioni katika eneo la Mtambwe.
Wakitoka hapo wanakuja kuilamu Serikali kwa nini haitangazi Tanzania tuna Corona. WTF
 
Mtu mweusi ni noma sana!Usipojua tena ni kwa nini ni vyema na haki kwa mtu mweusi kubaguliwa basi utakuwa una matatizo makubwa sana ya akili.Imagine watu wanakufa kwa wingi kwa Corona lakini still watu wanakusanyika kwa kusongamana bila kuvaa barakoa na bila ya kuchukua tahadhari zozote zile na hata hofu hawana!View attachment 1705301
-Wananchi wakiwa wamekusanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Unguja kusubiri mwili wa Mwendazake Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad.

Baada ya swala, mwili huo utasafirishwa kwenda kisiwani Pemba kwa ajili ya mazishi leo jioni katika eneo la Mtambwe.

Hapo ni bustanini wameenda kuchukua mbegu baada ya siku 14 tutegemee mavuno
 
Unaamini wewe utakuwa salama kushinda wenzio?.
Virusi vya Corona haviwezi kuingia kupitia ngozi?masikioni na machoni?.
inatia moyo nimeona late president Jk kavaa barakoa kwenye sala ya kumuaga marehemu pale msiktikini upanga..
imagine mm nipo kwenye basi ksk kutoka lushoto, hakuna alievaa barakoa zaidi yangu mimi, na abiria hawajali kitu, vioo vimefungwa na hakuna ac, hawataki upepo. ndo nimegundua role ya serikali ni kubwa sana kwenye hili pambano dhidi ya covid.
 
Kwani sisi tuna corona? sisi tuna changamoto ya upumuaji na si corona, mnatumika na mabeberu hii nchi ni tajiri sana😂😂😂😂nacheka lakin naogopa😂😂😂😂😂😂
 
Hii ni hatari, hatari kubwa sana, hakuna cha barakoa wala mita moja na ukizingatia "MDUDU (Covid-19)" ndio kaisha anza kibarua chake kwa kasi ya 4G ndani ya Ikulu ya Zanzibar colabo Ikulu Tanzania.

Kwenye huu mkusanyiko mdudu anachekelea tu huko alipo, anajua atazikusanya roho nyingi za wabishi na wazembe wasiomuogopa kwenye huu umati. Ataacha mayatima na wajane wengi sana mwaka huu na mapengo yasiozibika.

Tanzania tuna raia approx. Millioni 60, ila tukipimwa wote basi wenye kirusi si chini ya Millioni 30 mpaka sasa.

Bila shaka na wewe kati ya hao 30M wenye maambukizi.
 
Hii ni hatari, hatari kubwa sana, hakuna cha barakoa wala mita moja na ukizingatia "MDUDU (Covid-19)" ndio kaisha anza kibarua chake kwa kasi ya 4G ndani ya Ikulu ya Zanzibar colabo Ikulu Tanzania.

Kwenye huu mkusanyiko mdudu anachekelea tu huko alipo, anajua atazikusanya roho nyingi za wabishi na wazembe wasiomuogopa kwenye huu umati. Ataacha mayatima na wajane wengi sana mwaka huu na mapengo yasiozibika.

Tanzania tuna raia approx. Millioni 60, ila tukipimwa wote basi wenye kirusi si chini ya Millioni 30 mpaka sasa.
... nadhani eneo hili la dunia ndio lina watu wajinga zaidi duniani. Hata wenye vyeti vya taaluma ni kama vile elimu haijawasaidia.
 
Mtu mweusi ni noma sana!Usipojua tena ni kwa nini ni vyema na haki kwa mtu mweusi kubaguliwa basi utakuwa una matatizo makubwa sana ya akili.Imagine watu wanakufa kwa wingi kwa Corona lakini still watu wanakusanyika kwa kusongamana bila kuvaa barakoa na bila ya kuchukua tahadhari zozote zile na hata hofu hawana!View attachment 1705301
-Wananchi wakiwa wamekusanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Unguja kusubiri mwili wa Mwendazake Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad.

-Baada ya swala, mwili huo utasafirishwa kwenda kisiwani Pemba kwa ajili ya mazishi leo jioni katika eneo la Mtambwe.
Unaelewa nini ukisikia "Hard immunity"...?
 
Mtu mweusi ni noma sana!Usipojua tena ni kwa nini ni vyema na haki kwa mtu mweusi kubaguliwa basi utakuwa una matatizo makubwa sana ya akili.Imagine watu wanakufa kwa wingi kwa Corona lakini still watu wanakusanyika kwa kusongamana bila kuvaa barakoa na bila ya kuchukua tahadhari zozote zile na hata hofu hawana!View attachment 1705301
-Wananchi wakiwa wamekusanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Unguja kusubiri mwili wa Mwendazake Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad.

-Baada ya swala, mwili huo utasafirishwa kwenda kisiwani Pemba kwa ajili ya mazishi leo jioni katika eneo la Mtambwe.
Mkuu sisi tunazaliana sana hivyo watu wanaona sawa tu kufa
 
Mtu mweusi ni noma sana!Usipojua tena ni kwa nini ni vyema na haki kwa mtu mweusi kubaguliwa basi utakuwa una matatizo makubwa sana ya akili.Imagine watu wanakufa kwa wingi kwa Corona lakini still watu wanakusanyika kwa kusongamana bila kuvaa barakoa na bila ya kuchukua tahadhari zozote zile na hata hofu hawana!View attachment 1705301
-Wananchi wakiwa wamekusanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Unguja kusubiri mwili wa Mwendazake Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad.

-Baada ya swala, mwili huo utasafirishwa kwenda kisiwani Pemba kwa ajili ya mazishi leo jioni katika eneo la Mtambwe.
Wanajifukiza hao ndugu, na wanamuamini Mungu wa mbinguni ktk kuwaepusha na corona! Tunaipotezea kama tulivyoipotezea kipindi chote na kiungwana tu utasepa zake! RIP comred Seif!
Mungu azidi kumlinda kumuongoza na kumbariki rais wetu mpendwa Mh Dr JPM na serikali zetu yote! Mungu azidi ibariki Tanzania!
 
Wanajifukiza hao ndugu, na wanamuamini Mungu wa mbinguni ktk kuwaepusha na corona! Tunaipotezea kama tulivyoipotezea kipindi chote na kiungwana tu utasepa zake! RIP comred Seif!
Mungu azidi kumlinda kumuongoza na kumbariki rais wetu mpendwa Mh Dr JPM na serikali zetu yote! Mungu azidi ibariki Tanzania!
Kwa hiyo waliougua na kufa hawamwamini MUNGU?
 
Back
Top Bottom