meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Nimejaribu kuchunguza mambo hasa katika field ya afya na nimeona tatizo linalotusumbua sio fedha bali ni akili au utashi wa kufanya mambo muhimu.
Nikichukulia mfano wa mama mjamzito anapokwenda kujifungua bila kubeba pamba, mipira(gloves) au cord clamp kisa kaambiwa huduma ya kujifungua ni bure! Ukipiga mahesabu vifaa hivi vinaweza kugharimu sh.10000 tu lakini mama huyo huyo ataletwa hospitali na tax(10000) huku akiwa amebeba kanga na vitenge vipya vinavyogharimu sh 35000+,halafu akijifungua atafanyiwa party inayogharimu zaidi ya sh 60000. Sasa hapa utajiuliza kipaumbele ni nini!
Wamarekani(USAID) wanajichukulia umaarufu katika kuchangia huduma hizi za afya na hela hizi huchangwa na watu(wananchi) wa marekani.
Je, kwanini wananchi wa Tanzania wasitoe michango yao(fund rising) na kusaidia watanzania wengine? Tunasaidiwa fedha ambazo tunaweza kuzikusanya wenyewe kama tukiamua.
Hivi tuna shida gani upstairs?
Nikichukulia mfano wa mama mjamzito anapokwenda kujifungua bila kubeba pamba, mipira(gloves) au cord clamp kisa kaambiwa huduma ya kujifungua ni bure! Ukipiga mahesabu vifaa hivi vinaweza kugharimu sh.10000 tu lakini mama huyo huyo ataletwa hospitali na tax(10000) huku akiwa amebeba kanga na vitenge vipya vinavyogharimu sh 35000+,halafu akijifungua atafanyiwa party inayogharimu zaidi ya sh 60000. Sasa hapa utajiuliza kipaumbele ni nini!
Wamarekani(USAID) wanajichukulia umaarufu katika kuchangia huduma hizi za afya na hela hizi huchangwa na watu(wananchi) wa marekani.
Je, kwanini wananchi wa Tanzania wasitoe michango yao(fund rising) na kusaidia watanzania wengine? Tunasaidiwa fedha ambazo tunaweza kuzikusanya wenyewe kama tukiamua.
Hivi tuna shida gani upstairs?