Amani ya bwana iwe nanyi watu wa jukwaa hili kuna vitu nilikua navisikiaga zaman lakin sikuweza kuamini leo ndo nimeamini
Bora uwe masikin wa fedha na nguo lakin siyo kuwa masikini wa hakili alichokifanya manji na mchungaji gwajima ni umasikin wa hakili wamefanya mtihan lakin hawajafata maelekezo ndo maana wamekoseshwa na hawajasahishwa kabisa
Wakae wakijua hii ni awamu ya tano kwahiyo wasitake kujifanya kwamba wako juu ya sheria
Hakuna aliye juu ya sheria kwa awamu hii ya tano mi nawapa pole sana pole yao
Na kuna uwezekano hata kesho hawata achiwa kwa sababu wamefanya zalau sana sana ya kumupangia mkuu wa mkoa mda wa kuonana naye wakati naye ana ratiba zake
Mtu kavimbeya anakuja na jopo la mawakili utakazan anaakuja kwenye kesi hii sio kesi haya ni mahojiano tu
Mpaka wanyoke ccm mbele kwa mbele
Changia maada acha mbwembweWe jamaa umeniacha hoi,NAVISIKIAGA? Kiswahili cha wapi hicho?au we ni mrundi?
Angalia mada inasemaje achana na hayo mkuuWewe ni Mtanzania kweli? hakili ni nini? mubaya au mbaya?
Kama wewe ulivyo lofa na mpumbavuNa huu ndio mtaji wa chama pendwa.
"Ujinga"
Sory iam out of this country nataka kusahau lugha yanguhakili??? Aisee kweli kiswahili ni kigumu
Jamaa nae anajiita mchambuzi wa sheriahakili??? Aisee kweli kiswahili ni kigumu
Wewe ni Mtanzania kweli? hakili ni nini? mubaya au mbaya?
Umekula maharage ya wapi wewe msukuma.Kama wewe ulivyo lofa na mpumbavu
Jaman JamanVijana wa CCM hawana akili kabisa. Hata kuandika Kiswahili huwezi? Shituka ndugu CCM imekupa elimu butu sasa hivi inakutumia kama msukule
Changia maada achana na hayo mawazo kokoMtoa mada ni MHUTU bila shaka yoyote. Hana weledi kabisa na lugha ya kiswahili. Akili anaita 'hakili', mbaya kwake ni 'mubaya' na mada anaita 'maada'.....ndugu zake ni wale waliokamatwa jana pale Kigoma kwa kuishi hapa nchini isivyo halali.
Ulinipikia we lofa acha mambo ya kike kike plsUmekula maharage ya wapi wewe msukuma.
Amani ya bwana iwe nanyi watu wa jukwaa hili kuna vitu nilikua navisikiaga zaman lakin sikuweza kuamini leo ndo nimeamini
Bora uwe masikin wa fedha na nguo lakin siyo kuwa masikini wa hakili alichokifanya manji na mchungaji gwajima ni umasikin wa hakili wamefanya mtihan lakin hawajafata maelekezo ndo maana wamekoseshwa na hawajasahishwa kabisa
Wakae wakijua hii ni awamu ya tano kwahiyo wasitake kujifanya kwamba wako juu ya sheria
Hakuna aliye juu ya sheria kwa awamu hii ya tano mi nawapa pole sana pole yao
Na kuna uwezekano hata kesho hawata achiwa kwa sababu wamefanya zalau sana sana ya kumupangia mkuu wa mkoa mda wa kuonana naye wakati naye ana ratiba zake
Mtu kavimbeya anakuja na jopo la mawakili utakazan anaakuja kwenye kesi hii sio kesi haya ni mahojiano tu
Mpaka wanyoke ccm mbele kwa mbele
Nadhani mambo ya watanzania waachie watanzania wenyewe. Kwa lugha hiyo wewe si mtanzania.Amani ya bwana iwe nanyi watu wa jukwaa hili kuna vitu nilikua navisikiaga zaman lakin sikuweza kuamini leo ndo nimeamini
Bora uwe masikin wa fedha na nguo lakin siyo kuwa masikini wa hakili alichokifanya manji na mchungaji gwajima ni umasikin wa hakili wamefanya mtihan lakin hawajafata maelekezo ndo maana wamekoseshwa na hawajasahishwa kabisa
Wakae wakijua hii ni awamu ya tano kwahiyo wasitake kujifanya kwamba wako juu ya sheria
Hakuna aliye juu ya sheria kwa awamu hii ya tano mi nawapa pole sana pole yao
Na kuna uwezekano hata kesho hawata achiwa kwa sababu wamefanya zalau sana sana ya kumupangia mkuu wa mkoa mda wa kuonana naye wakati naye ana ratiba zake
Mtu kavimbeya anakuja na jopo la mawakili utakazan anaakuja kwenye kesi hii sio kesi haya ni mahojiano tu
Mpaka wanyoke ccm mbele kwa mbele