simba45 mkali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,980
- 1,879
Naona umeanza kurudia ile hali yako ya kuwa mwenda wazimu na kurauka.Ulinipikia we lofa acha mambo ya kike kike pls
Naona umeanza kurudia ile hali yako ya kuwa mwenda wazimu na kurauka.Ulinipikia we lofa acha mambo ya kike kike pls
Teh teh.......ndugu wewe ndiyo think tank wa CCM kijijini kwenu nini? Thread yako imekaa ki-comedy zaidi. Nimeona wadau hapo juu wanadai unatokea Burundi. Kama ndivyo nakushauri mambo ya Tanzania waachie WatanzaniaJaman Jaman
Zaman nakumbuka sana ulikuwa Na uwezi kuwa kada wa ccm bilateral relations kusomeshwa miez sita. Leo hii. Uvccm aanachofikiria madaraka tuu sasa wanaumbuka.Vijana wa CCM hawana akili kabisa. Hata kuandika Kiswahili huwezi? Shituka ndugu CCM imekupa elimu butu sasa hivi inakutumia kama msukule
Ng'ombe wewe hata kingereza shida!Sory iam out of this country nataka kusahau lugha yangu
Zalau ndio kosa gani????Amani ya bwana iwe nanyi watu wa jukwaa hili kuna vitu nilikua navisikiaga zaman lakin sikuweza kuamini leo ndo nimeamini
Bora uwe masikin wa fedha na nguo lakin siyo kuwa masikini wa hakili alichokifanya manji na mchungaji gwajima ni umasikin wa hakili wamefanya mtihan lakin hawajafata maelekezo ndo maana wamekoseshwa na hawajasahishwa kabisa
Wakae wakijua hii ni awamu ya tano kwahiyo wasitake kujifanya kwamba wako juu ya sheria
Hakuna aliye juu ya sheria kwa awamu hii ya tano mi nawapa pole sana pole yao
Na kuna uwezekano hata kesho hawata achiwa kwa sababu wamefanya zalau sana sana ya kumupangia mkuu wa mkoa mda wa kuonana naye wakati naye ana ratiba zake
Mtu kavimbeya anakuja na jopo la mawakili utakazan anaakuja kwenye kesi hii sio kesi haya ni mahojiano tu
Mpaka wanyoke ccm mbele kwa mbele
Bro pole maana nahisi uwezo wa kufikiri pamoja na elimu vimechangia kutokujua haki ya mtuhumiwa ikoje?Changia maada acha mbwembwe
Acha uzushi,we sema upo shambaSory iam out of this country nataka kusahau lugha yangu
HUWA SIKU ZOTE NASEMA AKILI ZA WAAFRIKA ZIME-ADVANCE KIDOGO TU ZAIDI YA WANYAMA....SIJITUKANI ILA NDIVYO INAVYOONTKANA!!!Nakubaliana na wewe 100%.