Umasikini wa Watanzania ni wa kujitakia

you are so bias ndg.
Watanzania wamejitoa mwaka huu
Watanzania wanataka mda kujua source of the sources of their problems
Watanzania kwa umasikini hawajui mkweli ni yupi na ukosefu wa Elimu -uelewa ni tatizo kubwa .
Watanzania hawachagui kisa ni masikini na wamechoka ccm ila hata upinzani wamefanya nn ktk majimbo yao na nani kasimama ktk sehem husika .

N.B Ukitaka kumtawala mtu mfanye awe masikini na mnyime Elimu
Ni hili ni tatizo kubwa hapa Tanzania
Mikoa kama Dar es Salaam,Arusha, Kilimanjaro ,Mara,Mwanza (iwapo mwaka huu mwanza upinzani umeshindwa lakini sababu ziko wazi). Mikoa hii watu wake wamepata Elimu na vipato vyao sio haba na hizi ndizo ngome za mabadiliko tofauti na mikoa mingine ambayo hali ni mbaya.
 
Niko Ulaya kwa miaka 12 sasa. Ninafanya kazi yenye kipato kizuri sana. Mara nyingi nimekuwa nikitoa misaada kwa watu mbalimbali wanaoniomba kwa kuwa wana maisha magumu. Nasikitika kusema kuwa tangu sasa nasitisha misaada hiyo rasmi! Watanzania wanajitakia dhiki wao wenyewe.

Umefanya uamuzi sahihi sana Mkuu. Sisi watz ni watu wa ajabu sana, naamini ukifanyika utafiti wa ubongo wetu lzm patakuwa na tatizo. Hata mimi sitamsaidia mtu kwa kuwa ana maisha magumu sbb ugumu huo wanasababisha wenyewe
 
we ni jinga sana.....
kasaidie ukoo wenu, mbona shda kbao...
uwez mlazmisha mtu kuamini unachokiamini!
wengne wanaamini serikari inajitaidi na ina sera nzuri, tatizo ni kwa watendaji.
ndo maana sasa tunachagua watendaji tunaowaamini haijalishi ni chama gani!
raia tunataka kazi ifanyike ili kuleta mabadiliko yenye tija.
Hata kama Lowasa angekua ccm na Magufuli Chadema, nna uhakika wananchi wangemchagua wanaemuamini haijalishi chama gani.
usituletee habari zako za vyama wakati nchi yetu iko nyuma kimaendeleo. kazi kwanza vyama baadae.

Ni kweli Magufuli anafaa sana kuwa rais wetu lakni wabunge kama Kafulila mkosamali ni bora zaidi kuliko mbunge yoyote wa ccm
 
Ka ulikua unategemea EL akuletee msoc unajidanganya, yule jamaa hawezi endesha nchi, anaumwa sana jamaa, anasahau sahau kila kitu. Ukawa walikua na tamaa sana kumsimamisha jamaa, wangemsimamisha mtu mwingine msafi angeweza pita kirahisi mno..

Kitu nalaumu watanzania mimi ni kuwapa wabunge wengi sana CCM, ningependa kuona rais Magufuli alafu wabunge wote UKAWA ili apewe challenge ya kutosha.. Sasa wabunge majority wakiwa CCM tunabaki kulekule, watakua wanapeana support wenyewe kwa wenyewe bungeni.

Mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe, halafu unajifinya na kulia mwenyewe, kwa kifupi unaenda hatua moja mbele halafu unarudi mbili nyuma. Unachokiongea wala hakina tofauti yoyote na alichokiongea mtoa mada.
 
Post kama hizi zina onyesha wazi kuwa bado kuna wajinga wanao amini kwamba Raisi atakaye toka nje ya ccm atagawa pesa za bure na kumaliza umasikini!! Wewe tembea ujionee nchi nyingi tu zilizo Endelea kuna Masikini wa kutupa, fanya shuguli zako na zingatia kwamba Maisha Bora una yaleta wewe mwenyewe kwenye Familia Yako ila ukipweteka basi utabaki una lialia kama ivo, hii ni siasa wapo wengi Matajiri walio ichaguwa ccm na wengine chadema na wengine hata kura hawajapiga sababu hawafikirii kupata Pesa toka kwa lowasa wala Magufuli, kila mtu ana Haki ya kufanya mahamuzi Yake ya Msingi na usisahau kwamba ili ni swala la kuaminia mtu Fulani na wapo wasio Muamini Magufuli na wapo wasio Muamini Lowasa kama mimi mwenyewe, msahada wako weka mfukoni ila jua nawewe pia ulisaidiwa au utaitaji msahada na kumbuka Bado unatowa msahada ukiwa Tanzania ndani ya utawala wa ccm! Yaani kama una chochote basi shukuru MUNGU tu sababu hujapata hayo chini ya utawala wa chadema, na kama uko ulaya wapi hayo yote yamefunguliwa na ccm hiihii ambayo inaongoza nchi Hata Marekani wana sahidiana, nyie waswahili mnajitangaza kutowa misahada Hewa hapa! Ujinga tu, kama una hasira na ccm basi jiuwe sababu ccm ipo na ita endelea kuwaepo na siku ikifika basi ita achia Madaraka, sio kwa fisi lisilo Aminika
 
Sikia mpendwa,Kuondoa umasikini Tanzania haitoshi tu kwamba chama fulani ndo kiongoze nchi Noo, inataka watu walio vizuri kichwani,watu Walio deep kwenye kutoa ideas za ukweli, nitolee mfano tu wa kingwendu tho Simdharau kingwendu co z kila mtu ana haki ya kugombea nafasi yeyote,ila huyu jamaa hafai kuwa MP,unapeleka kina kingwendu bungeni utegemeee umasikini kuisha?? hata Siku moja.
 
Kweni mnafikili ccm ikitoka na kuingia chama kingine masikini wataisha hapa Tanzania wasipatikane wa kuomba omba?mbona mnataka kutufanya kama wote hatuna akili,kuna mtu mmoja tu kipindi hiki ndo tumlaumu kwa kubadilisha akili zetu kumsema yule waliemuita hafai kua anafaa.na waliokua wazuri na wapinzani wa kweli kuwatupilia mbali.

Kubadilisha chama mara kwa mara ndio huleta maendeleo. Cha msingi kusiwe na chama cha kudumu madarakani. Yaani inabidi chama kilicho madarakani kiwe na hofu ya kudondoka, kutokana na hofu hiyo kitafanya vema kimaendeleo, kitaogopa kufanya ufisadi maana kinajua siku kikitoka madarakani wanaweza ishia jela. Sasa ccm haina hiyo hofu kwa sababu kila uchaguzi ukija wananchi wanasema ccm hoyee. Ccm haiwezi ogopa kufanya ufisadi kwa namna hii.
 
Kubadilisha chama mara kwa mara ndio huleta maendeleo. Cha msingi kusiwe na chama cha kudumu madarakani. Yaani inabidi chama kilicho madarakani kiwe na hofu ya kudondoka, kutokana na hofu hiyo kitafanya vema kimaendeleo, kitaogopa kufanya ufisadi maana kinajua siku kikitoka madarakani wanaweza ishia jela. Sasa ccm haina hiyo hofu kwa sababu kila uchaguzi ukija wananchi wanasema ccm hoyee. Ccm haiwezi ogopa kufanya ufisadi kwa namna hii.

Bingo!
 
Kuliko kumpa kura yangu Lowassa bora nimempa Magufuli na ninaona kila dalili kua sijaipoteza.
 
Unaelewa maana ya Demokrasia?. Unacholazimisha wewe ni Udikteta, eti kwavile unawasaidia watu basi wachague chama ukipendacho. Hiyo ni RUSHWA. Msaada wako usiwe sababu ya kuwashurutisha watu.
Anataka kujifanya Mungu mtoa ridhiki na anafikiri asipotoa hiyo misaada yake watakufa. Ambacho hakijui ni kwamba si ajabu wana furaha kuliko yeye anayehenyeka huko Ulaya na wanamcheka tu. Watu wengine kweli hawajitambui.
 
Hivyo hivyo mlisema kwa kikwete.

Sijawahi Kuwa Fan Wa Kikwete Wala CCM Hata Siku Moja Bali Mm Ni Mfuasi Wa Viongozi Ambao Wameshawahi Kudiriki Kuwatumikia Wananchi Ipasavyo Hata Kwa Nafasi Za Ngazi Ya Chini Walizowahi Kushikiria, Hivyo Wanapohitaji Nafasi Kubwa Ya Utumishi Huwa Sijiulizi Mara Mbili Mbili Kuhusu Imani Yangu Kwao, Wawe Wanatoka Upinzani Ama Chama Tawala ili Mradi Tu Ni Bora.
 
hiki kifungu kinaafikiwa? ndiyooooooooooooooo tunendelea nayo kwa miaka mitano mingine ijayo
 
Msilalamike sana wana UKAWA mambo bado hili game letu haya yanayotoka ni sehemu ccm ina nguvu yatakuja yetu.
 
Niko Ulaya kwa miaka 12 sasa. Ninafanya kazi yenye kipato kizuri sana. Mara nyingi nimekuwa nikitoa misaada kwa watu mbalimbali wanaoniomba kwa kuwa wana maisha magumu. Nasikitika kusema kuwa tangu sasa nasitisha misaada hiyo rasmi! Watanzania wanajitakia dhiki wao wenyewe.
Nakuunga mkono, waambie na wenzako wote wafanye hivyo, tumetaka chai sasa ole wake atakayesema ni ya moto.
 
  • The Good thing ni kuwa LOWASA Hana cha kupoteza!! he is very Rich,
  • Jambo lingine, ni kuwa anaweza kurudi CCM tu, wala hakukosana na mtu, na mliona jinsi ambavyo Campeni zake zilikuwa za kistarabu kabisa, hakutukana mtu yeyote, wala hakuwasema wezi wenzake aliokuwa nao CCM.
  • Yeye URAisi ulikuwa ni ku-ACCOMPLISH ambitions zake tu (RECOGNITION)
  • tatizo ni kwako wewe usiyekuwa na kazi, maskini, etc, unayeamini kuwa VIONGOZI ni kukuboreshea miundo mbinu!!!--uliyedanganyika kuwa HAPA KAZI TU!!!, hakuna rangi utaacha kuona , na wakati watu wanaboresha miundombinu yao ya kuendelea kuwa ma-CAPITALISTS, wanaotumia kila mbinu kuhakikisha wanarudi madarakani, na kwa gharama zote zinazowezekana!!



Mjinga ni yule aliyekuwa anaamini Lowassa atamletea kula, Maendeleo yako yataletwa na ww mwenyewe hao viongozi kazi yao ni kukuboreshea miundombinu ya ww kutafuta pesa,
 
Mzee ccm hawatakubali kuondoka madarakani kwa kura mpaka watu wachinjane kisawasawa ndio heshima itakuwepo vyenginevyo ccm mpaka k i a m a
 
Mimi nina kawaida ya kutembelea kiji changu huko lushoto kila december. Nikifika huko huwa nakutana na msururu wa wanakijiji wanakuja kuniomba msaada..eti.maisha magumu. Na mwaka huu wameipigia kura CCM kwa kishindo. Sasa safari hii nikienda ole wake yule atakayethubutu kuja kuniletea matatizo yake
 
Back
Top Bottom