Umasikini wa Watanzania ni wa kujitakia

Umasikini wa Watanzania ni wa kujitakia

Ni kweli mkuu, ila kwanini walalamike wao tuu?, ivi hao wanao lalamika ni wanchi gani?,mbon tunaambiawa faida lkwa wote, kwani ikitokea kipindi wakuu wa vyama vyao wakapewa na wao wakatawala kutakuwa na tatizo?.

Hawawez kupewa ridhaa ya kuongoza kwa sababu hawana vigezo.
 
Niko Ulaya kwa miaka 12 sasa. Ninafanya kazi yenye kipato kizuri sana. Mara nyingi nimekuwa nikitoa misaada kwa watu mbalimbali wanaoniomba kwa kuwa wana maisha magumu. Nasikitika kusema kuwa tangu sasa nasitisha misaada hiyo rasmi! Watanzania wanajitakia dhiki wao wenyewe.

Mkuu Honolulu kwa kweli huna budi kusitisha misaada kwa yeyote yule. Mimi pia nimekuwa nikisaidia sana lakini imenikatisha tamaa na kuona kumbe umasikini wetu ni wa kujitakia. Kuanzia sasa kila mtu aishi kwa shida zake..!!!

Naombeni mi mnisaidie nitoke huku nimechoka na huu ujinga wa matz yasiyojielewa
 
Wote mnaomuunga mkono mtoa mada ni mambumbumbu hasa. Hivi upinzani huu kweli unaweza kuiletea nchi yetu maendeleo? Hivi nyie mnaijua ccm kweli? Hivi nyie mnamjua Lowassa na madhara aliyoiletea ccm? Hicho mnachokiikita MFUMO mnakielewa? Je, kweli mnadhani Mbowe na genge lake wanadhamira njema na nchi hii? Mnawafahamu walio nyuma ya wapinzani hawa na nia yao? Je, mnajua ni kwanini Lowassa tangu enzi ya Nyerere anakataliwa? Tafuteni kuzijua siasa za Tz.

Ndo utuambie sasa, mbona una lialia.
 
Chagueni FISADI LAWASSA Ili muwe kama Matajiri kama BILLGATEEEE.Mshahara utakuwa 900000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000 Kila mmoja BILA KULIPA KODI.Jeshi la polisi litafutwa.
 
Ndugu By kepler telescope:Kama unayajua unayoongea fafanua ueleze unavyoelewa alafu watu wakusaidie kukuelimisha. Don't call other people mbumbumbu while wewe mwenyewe hujui unachoongea. Kwa taarifa yako in life without taking risk or challenges, utakuwa the same mpaka unaingia kaburini. Iwe ni kazi au maisha. Kuna A lot of dissapointed ambazo ccm imezifanya for 54yrs na wananchi wanaZijua. Can u compare na skedo ya Richmond ambayo hata rais mwenyewe alishindwa kuielezea form day one. Hope u believe what he says, but the truth is majority of tanzania haijawaingia akilini, they just ignore!!! Na elewa ccm imekaa serikalini miaka yote na ndio yenye kushika pesa za wananchi. Don't compare na Chama ambacho Ili kikue lazima kihitaji misaada which is the same to any other countries. Na sio lazima kil chama pinzani kijitegemee ki pesa au kiwe na mabilionea. That's how politics is!!!
Soma ujumbe wangu hapo juu mimi sina chama but nachosali na kuomba ni rais yeyote atakayeingia kweli atizime yale aliyoyasema.
Kwa CCM tunaambiwa kila baada ya miaka 5 strategies zao lakini hazitimiliki.
 
Mkuu usilaumu watu! Wapiga kura wengi hata wao wanajiuliza kura zao zimeenda wapi! ....
 
Unajiita Great Thinker halafu unalazimisha WaTz wooote wawe chama unachokiamini wewe?
Sasa nini maana ya upinzani?
Acha ujinga kuona waliopiga kura tofauti na yako ni wajinga, hata wewe una ujinga wako.
 
Back
Top Bottom