Umasikini wa Watanzania ni wa kujitakia

William123 and people alike. Watanzania ni watu we ye upeo mkubwa sana na kwa taarifa yenu hawadanganyiki. Chadema na cuf kwa aina ya viongozi walionao leo huwezi kuwalinganisha na magufuli kwa vipimo vyovyote vile. Kama ni umaskini basi magufuli yuko juu sana. Lowasa na wapambe wake hawawezi kutuondolea umaskini zaidi sana watatuongezea umaskini.
wana upeo upi labda? hivi unasikia matokeo ambayo tume inatangaza? hivi umesikia idadi ya kula ambazo zimeharibika? karne hii kuna watu wameacha usingizi wao wameacha makazi yao na shughuli zao. wamepanga foleni kwa muda wa saa 1 hadi 3 afu mtu anaenda kuharibu kura yani yeye ameshindwa kuchagua chama chochote? afu unasema watanzania wana uelewa mpana? mataifa mengine wataendelea kutudharau sana. na kama hamjui mnawapa tabu sana watanzania walio nchi za watu kujivunia utanzania. sishangai kenya kuendelea kufahamika duniani kama akili zetu ndo hizi
 
Wizi wa kura wa chama tawala pia unachangia... sio wote ambao hawajielewi.
Pamoja na wizi mkuu lakini hiyo imetokana na pia CCM kupata kura nyingi. Mi naamini kama watu wangesema kwa sauti moja hapana hata hii tume wasingefanya chochote coz kila kitu kingekuwa wazi.
 
Wote mnaomuunga mkono mtoa mada ni mambumbumbu hasa. Hivi upinzani huu kweli unaweza kuiletea nchi yetu maendeleo? Hivi nyie mnaijua ccm kweli? Hivi nyie mnamjua Lowassa na madhara aliyoiletea ccm? Hicho mnachokiikita MFUMO mnakielewa? Je, kweli mnadhani Mbowe na genge lake wanadhamira njema na nchi hii? Mnawafahamu walio nyuma ya wapinzani hawa na nia yao? Je, mnajua ni kwanini Lowassa tangu enzi ya Nyerere anakataliwa? Tafuteni kuzijua siasa za Tz.
Embu anza kujibu hayo maswali uliyouliza wenyewe maana unajifanya unajua kila kitu.
 
nasubli kwa hamu aje mtu na kuniambia naomba msaada Hakika atanibeba
 
Niko Ulaya kwa miaka 12 sasa. Ninafanya kazi yenye kipato kizuri sana. Mara nyingi nimekuwa nikitoa misaada kwa watu mbalimbali wanaoniomba kwa kuwa wana maisha magumu. Nasikitika kusema kuwa tangu sasa nasitisha misaada hiyo rasmi! Watanzania wanajitakia dhiki wao wenyewe.

Kweni mnafikili ccm ikitoka na kuingia chama kingine masikini wataisha hapa Tanzania wasipatikane wa kuomba omba?mbona mnataka kutufanya kama wote hatuna akili,kuna mtu mmoja tu kipindi hiki ndo tumlaumu kwa kubadilisha akili zetu kumsema yule waliemuita hafai kua anafaa.na waliokua wazuri na wapinzani wa kweli kuwatupilia mbali.
 
Umasikini wa watanzania ni wa kujitakia wenyewe. Ona mikoa kama Dodoma, Tanga, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Pwani na Morogoro wanavyopigika kimaisha, lakini hao hao ndio wa kwanza kurubuniwa na kuirudisha ccm madarakani.

Huo ni ndio ujuha mkubwa kuliko wote..na kweli Mkapa hakukosea kuwaita watanzania kuwa ni malofa na wapumbavu...na kwakuwa wamekubali...CCM endeleeni kuwakamua mpaka damu ya kwenye utosi. Ndio, maana hakuna namna sasa...lazima wakamuliwe tu...tumechoka!!
 
Kama wamewapa wabunge wengi hivi ni nani basi ukawa ingemuweka akashinda? hivi una afiki kafulila,wenje,mkosa mali,machali hawa watu kazi waliyoifanya hawakustahili kurudi bungeni? mara mia wote kama si kafulila escrow tungeijua? hii nchi robo tatu ya wananchi wake hawana elimu, hawajitambui na bado hawajui siasa ni nini katika maisha. wewe ukiwa mmoja wao mnashangaza sana. kama EL hawezi kuleta msosi magufuri ndo atakuletea. toka uzaliwe ulishaletewa msosi hata na diwani?

Huwezi ukaacha mtu mwenye record safi kama MaPadlock ukamuweka EL wewe, EL hata hajitambui anakaa jukwaani anasema kura wapewe wabunge wa CCM, yule jamaa ni selfish na kalionyesha hilo baada ya kusifia ccm alafu wamemnyima anatoka kwenda kwingine anaanza kukanusha yote aliyosema. Magufuli hatoniletea msosi ndio lakini jamaa ni mchapakazi, ana probability kubwa sana ya kuinyosha serikali kuliko EL, Ukawa wangeleta mtu msafi ningekua wa kwanza kuwapigia campaign. Waliyekua wamemleta ni CCM ileile tu tena ile CCM chafu.
 
Ngudu Croach sijui COARTEM ..!! Nadhani hujanielewa point yangu. Sio kwamba kumsaidia
mtu kulikuwa ni kuwa force wachague chama fulani. Mimi sina chamaaa !!! Maana ya sentensi
zangu hapo juu ni kwamba watu wengi wamekuwa wakilalamika maisha magumu, Mishara midogo,
hamna madawa hospitalini, huduma za afya mbovu, Maji na umeme hakuna sehemu nyingi Tanzinia..
Na hata vikiwepo ni vya katakata mtu akijisikia..!!
Kampeni za mwaka huu watu wameelezwa ukweli kuwa miaka 54 ulitakiwa kuwa hapa na sasa uko hapa.
Angalia huyu ameshachota chake na maisha yake ni mazuri na watoto wake..!! Wewe bado unaendelea
kushabikia hao hao wanaokufanya uishi kwa shida!! Na ndio maana nikasema umasikini ni wa kujitakia.
Kwa wale wote waliokuwa na hali mbaya kimaisha na still kushabikia wanao waumiza..!! Hiyo ndio point
hapa. Wewe kama kiongozi au una mrija sehemu usijiangalie wewe angalia maisha ya watu kwa ujumla
hasa vijijini. Hope umesoma na unauelewa...!!!

we ni jinga sana.....
kasaidie ukoo wenu, mbona shda kbao...
uwez mlazmisha mtu kuamini unachokiamini!
wengne wanaamini serikari inajitaidi na ina sera nzuri, tatizo ni kwa watendaji.
ndo maana sasa tunachagua watendaji tunaowaamini haijalishi ni chama gani!
raia tunataka kazi ifanyike ili kuleta mabadiliko yenye tija.
Hata kama Lowasa angekua ccm na Magufuli Chadema, nna uhakika wananchi wangemchagua wanaemuamini haijalishi chama gani.
usituletee habari zako za vyama wakati nchi yetu iko nyuma kimaendeleo. kazi kwanza vyama baadae.
 
I totally agree with you 100%. Tuwangalie tu!!!!
Sasa nimeamini kuwa umasikini wa Watanzania walio wengi ni wa kujitakia.
Nasema hivi kwa kuangalia jinsi kampeni za uchaguzi zilivyokuwa na jinsi
matokeo yanavyoendelea kutangazwa. Niliamini kuwa sisi watanzania tumetambua
chanzo cha umasikini wetu ni CCM na viongozi wake. Na hii ndio imefanya uchaguzi
wa mwaka huu kuwa wa msisimko mkubwa na hata kuwapa kazi kubwa wazee wa CCM
waliostaafu, vijana wa CCM waliobahatika kupata mrija wa kupata chochote chini
ya CCM na hata wasanii wetu waliolipwa mamilioni ya pesa ili kuwashawishi
masikini waendelee kuichagua CCM. Niliamini tunajitambua na tunaelewa haki yetu ni
nini. Lakini kwa jinsi matokeo yanavyotangazwa, nimeamini kuwa umasikini wetu ni
wa kujitakia.
Ushauri Wangu:
(1) Kama ni kweli hizi kura ni za haki. Kwa kweli mtu yeyote akija kukuomba msaada
kwa maelezo yake kuwa maisha ni magumu. Mtu kama huyu hafai kusaidiwa kabisaaaaaa!
Maana mijini unaweza kutana na mtu anakuomba nauli au pesa ale. Mtu kama huyu
unaweza mfukuza tuu akaombe ofisi za kata.


(2) Vijana wengi wakilalamika kuwa hakuna Ajira. Kwa kweli nitabaki kuwaaangalia na
kuwa support wakiwa kwenye vigenge wanacheza bao.


(3)Wanafunzi wa vyuo wakilalamika mikopo inachelewa. Watu kama hawa unatakiwa kuwaangalia
tuu.


(4)Watu wakisema hamna madawa mahospitalini watu wanalala chini. Ni kuwaangalia na kuwaambia
mmejitakiwa wenyewe kwa kurudisha utawala ambao umeshindwa kuwa support miaka 54.


Kwa ujumla ni kwamba Umasikini wetu utakaoendelea kuwepo Tanzania ni wa kujitakia.
Na nchi itaendelea kunyonywa na kuwafanya wachache kuwa mabepari na matajiri na wengine
kuendelea kuwa masikini. Inasikitishaa sanaa.
Maoni yangu::::
 
Kusoma sijasoma hata picha Sioni kweli wandugu tunaihukumu ccm kwa sababu nchii tumebarikiwa sana na mwenyenzi Mungu lakini tupo among nchi masikini sana duniani how can u explain that bila kuihukumu ccm chama kilichokaa muda wote huo hadi sasa
 
Sasa nimeamini kuwa umasikini wa Watanzania walio wengi ni wa kujitakia.
Nasema hivi kwa kuangalia jinsi kampeni za uchaguzi zilivyokuwa na jinsi
matokeo yanavyoendelea kutangazwa. Niliamini kuwa sisi watanzania tumetambua
chanzo cha umasikini wetu ni CCM na viongozi wake. Na hii ndio imefanya uchaguzi
wa mwaka huu kuwa wa msisimko mkubwa na hata kuwapa kazi kubwa wazee wa CCM
waliostaafu, vijana wa CCM waliobahatika kupata mrija wa kupata chochote chini
ya CCM na hata wasanii wetu waliolipwa mamilioni ya pesa ili kuwashawishi
masikini waendelee kuichagua CCM. Niliamini tunajitambua na tunaelewa haki yetu ni
nini. Lakini kwa jinsi matokeo yanavyotangazwa, nimeamini kuwa umasikini wetu ni
wa kujitakia.
Ushauri Wangu:
(1) Kama ni kweli hizi kura ni za haki. Kwa kweli mtu yeyote akija kukuomba msaada
kwa maelezo yake kuwa maisha ni magumu. Mtu kama huyu hafai kusaidiwa kabisaaaaaa!
Maana mijini unaweza kutana na mtu anakuomba nauli au pesa ale. Mtu kama huyu
unaweza mfukuza tuu akaombe ofisi za kata.


(2) Vijana wengi wakilalamika kuwa hakuna Ajira. Kwa kweli nitabaki kuwaaangalia na
kuwa support wakiwa kwenye vigenge wanacheza bao.


(3)Wanafunzi wa vyuo wakilalamika mikopo inachelewa. Watu kama hawa unatakiwa kuwaangalia
tuu.


(4)Watu wakisema hamna madawa mahospitalini watu wanalala chini. Ni kuwaangalia na kuwaambia
mmejitakiwa wenyewe kwa kurudisha utawala ambao umeshindwa kuwa support miaka 54.


Kwa ujumla ni kwamba Umasikini wetu utakaoendelea kuwepo Tanzania ni wa kujitakia.
Na nchi itaendelea kunyonywa na kuwafanya wachache kuwa mabepari na matajiri na wengine
kuendelea kuwa masikini. Inasikitishaa sanaa.
Maoni yangu::::

ni mefuatilia tangu BVR vijana wanajitaiti kubadlisha ila CCM wanambinu na wanawatumia watu ambao kubadlika haiwezekan hususan wazee vijijn na familia zao yaana wanaandikisha had watoto ambao hawajafikia umri mi naone upinzan waanzie kwenye zoez la BVR ndo waje na la uchaguz pia. so vijana mjin wanajitaid ila vijijin ndo bado tatizo kwan maisha yao wameshayazoea
 
Sasa nimeamini kuwa umasikini wa Watanzania walio wengi ni wa kujitakia.
Nasema hivi kwa kuangalia jinsi kampeni za uchaguzi zilivyokuwa na jinsi
matokeo yanavyoendelea kutangazwa. Niliamini kuwa sisi watanzania tumetambua
chanzo cha umasikini wetu ni CCM na viongozi wake. Na hii ndio imefanya uchaguzi
wa mwaka huu kuwa wa msisimko mkubwa na hata kuwapa kazi kubwa wazee wa CCM
waliostaafu, vijana wa CCM waliobahatika kupata mrija wa kupata chochote chini
ya CCM na hata wasanii wetu waliolipwa mamilioni ya pesa ili kuwashawishi
masikini waendelee kuichagua CCM. Niliamini tunajitambua na tunaelewa haki yetu ni
nini. Lakini kwa jinsi matokeo yanavyotangazwa, nimeamini kuwa umasikini wetu ni
wa kujitakia.
Ushauri Wangu:
(1) Kama ni kweli hizi kura ni za haki. Kwa kweli mtu yeyote akija kukuomba msaada
kwa maelezo yake kuwa maisha ni magumu. Mtu kama huyu hafai kusaidiwa kabisaaaaaa!
Maana mijini unaweza kutana na mtu anakuomba nauli au pesa ale. Mtu kama huyu
unaweza mfukuza tuu akaombe ofisi za kata.


(2) Vijana wengi wakilalamika kuwa hakuna Ajira. Kwa kweli nitabaki kuwaaangalia na
kuwa support wakiwa kwenye vigenge wanacheza bao.


(3)Wanafunzi wa vyuo wakilalamika mikopo inachelewa. Watu kama hawa unatakiwa kuwaangalia
tuu.


(4)Watu wakisema hamna madawa mahospitalini watu wanalala chini. Ni kuwaangalia na kuwaambia
mmejitakiwa wenyewe kwa kurudisha utawala ambao umeshindwa kuwa support miaka 54.


Kwa ujumla ni kwamba Umasikini wetu utakaoendelea kuwepo Tanzania ni wa kujitakia.
Na nchi itaendelea kunyonywa na kuwafanya wachache kuwa mabepari na matajiri na wengine
kuendelea kuwa masikini. Inasikitishaa sanaa.
Maoni yangu::::

Mkuu umemaliza kila kitu.watanzania tunajimaliza wenyewe kwa ujinga wetu. Kwakweli kwa Uchaguzi huu nimekubali watanzania ni mambulula
 
William123 and people alike. Watanzania ni watu we ye upeo mkubwa sana na kwa taarifa yenu hawadanganyiki. Chadema na cuf kwa aina ya viongozi walionao leo huwezi kuwalinganisha na magufuli kwa vipimo vyovyote vile. Kama ni umaskini basi magufuli yuko juu sana. Lowasa na wapambe wake hawawezi kutuondolea umaskini zaidi sana watatuongezea umaskini.

Jina tu (TEAMBWABWA) unalotumia linasema mengi juu yako!! Kwo tunakusamehe
 
Wote mnaomuunga mkono mtoa mada ni mambumbumbu hasa. Hivi upinzani huu kweli unaweza kuiletea nchi yetu maendeleo? Hivi nyie mnaijua ccm kweli? Hivi nyie mnamjua Lowassa na madhara aliyoiletea ccm? Hicho mnachokiikita MFUMO mnakielewa? Je, kweli mnadhani Mbowe na genge lake wanadhamira njema na nchi hii? Mnawafahamu walio nyuma ya wapinzani hawa na nia yao? Je, mnajua ni kwanini Lowassa tangu enzi ya Nyerere anakataliwa? Tafuteni kuzijua siasa za Tz.

Mkuu naona unaujua ukweli hebu tusaidie basi ili tusiendelee kuamini tusichokiamini
 
Nimeshtushwa sana na matokeo ya ubunge, yaani wananchi wanarudisha wabunge ambao wamekuwa wakikwamisha maendeleo ya taifa kwa kutetea mambo yasiyokuwa na maana kwa taifa. Watanzania tunahitaji hukumu kubwa sana ya kushindwa kutambua nani mcheleweshaji wa maendeleo yetu.
 
William123 and people alike. Watanzania ni watu we ye upeo mkubwa sana na kwa taarifa yenu hawadanganyiki. Chadema na cuf kwa aina ya viongozi walionao leo huwezi kuwalinganisha na magufuli kwa vipimo vyovyote vile. Kama ni umaskini basi magufuli yuko juu sana. Lowasa na wapambe wake hawawezi kutuondolea umaskini zaidi sana watatuongezea umaskini.

Ni kweli kabisa mkuu ndo maana tuko hapa kulingana na IQ ilvyo kubwa
 
Back
Top Bottom