Lord Lofa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,364
- 2,325
wana upeo upi labda? hivi unasikia matokeo ambayo tume inatangaza? hivi umesikia idadi ya kula ambazo zimeharibika? karne hii kuna watu wameacha usingizi wao wameacha makazi yao na shughuli zao. wamepanga foleni kwa muda wa saa 1 hadi 3 afu mtu anaenda kuharibu kura yani yeye ameshindwa kuchagua chama chochote? afu unasema watanzania wana uelewa mpana? mataifa mengine wataendelea kutudharau sana. na kama hamjui mnawapa tabu sana watanzania walio nchi za watu kujivunia utanzania. sishangai kenya kuendelea kufahamika duniani kama akili zetu ndo hiziWilliam123 and people alike. Watanzania ni watu we ye upeo mkubwa sana na kwa taarifa yenu hawadanganyiki. Chadema na cuf kwa aina ya viongozi walionao leo huwezi kuwalinganisha na magufuli kwa vipimo vyovyote vile. Kama ni umaskini basi magufuli yuko juu sana. Lowasa na wapambe wake hawawezi kutuondolea umaskini zaidi sana watatuongezea umaskini.