Galacha Maestro
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 1,353
- 2,231
- Thread starter
- #21
Asante kwa kusoma na kuielewa.kweli tupu
Asante kwa kusoma na kuielewa.kweli tupu
Asante sanaa... one love.Imetulia sana.
Asante kwa mawazo yako. Kama unaweza nunua gari na maisha yakenda na sio kulipaki ni vizuri sana. Na ukweli usafir dar niwa shida. Naosemea n wale wanaonunua kwa lengo la kuoshea.Asante kwa kutukumbusha. Halafu leo ndo nimejua maana ya petty cash! loh! Huwa naskia tu mchukulie kwenye petty cash. Nimekubali yote isipokuwa kwenye gari. Ila kwenye gari hapo umeuliza gari la nini? La kutembelea. Usafiri dar kero atii. Mambo ya kuamka saa 10 na kulala saa 6 siyafurahii wala kunyeshewa na kupigwa jua sifurahii ila sina jinsi, kwa hiyo nitakopa na nitanunua gari na kuihudumia kama ninahudumia mtoto. Kwa hiyo badala ya kuzaa watoto watatu nitazaa wawili na gari mtoto wa tatu. Hiyo biashara nitakayofanya mpaka nipate faida ya kununua gari ni ipi na kwa muda gani? Basi ongeza pointi nyingine hapo kuwa tusijenge nyumba kwa kutumia mishahara yetu au mikopo halafu utuambie tukalale wapi wakati tunasubiri biashara zetu zikue. Mambo mengine si mtambuka. Ila ni vizuri kutoa angalizo. Kule arusha ndo usafiri mteremko. kihais kinakufata hadi mlangoni ili wasikukose, abiria hawasimami, kuna kuongea bei.... Huku dar usafiri wa umma ukikaa sawa nitauza gari niwekeze hiyo hela.
Asante sana kwa kusoma na kuelewa... na kuiweka kama ratiba.Hii inaeleweka vizuri kichwani, inabidi ishuke taratibu itulie kwenye moyo. Unaweza kubandika mahali unapoweza kusoma kila siku ili iwe kama utaratibu wako. Shukrani sana Galacha Maestro
Asante sana kwa kusoma na kuelewa one lovee .Huu ni uzi bora kuliko zote, tangu Jamii Forums ianzishwe. Kutoa ofa za kiboya bar, kumewalostisha watu wengi sana.
Asante na wewe sanaaa kwa kusoma na kuelewa.nimekuelewa sana...
Asante kwa kusomaaa. Na kupata elimu.Well said.taught mi
kuna wakati unalazimika kupaki na naona ni sawa tu kwa sababu siku hazifanani. Hata wasio na magari kuna wakati wanatembea kwa miguu kusevu mia 4 ya daladala au buku ya bodaboda. kuna wakati wanalazimika kupika makande mengi na kujaza kwenye friza ili kuokoa mkaa kwa hiyo kubana matumizi kunahusu watu wote. hata matajiri huwa wanapata mdororo wa uchumi. nikiona mtu kapaki gari namsifu kuliko yule aliyeishiwa lakini hakubali kupaki gari anaishia kuingia kwenye mashimo marefu ya madeni ili aendelee kuosha.Asante kwa mawazo yako. Kama unaweza nunua gari na maisha yakenda na sio kulipaki ni vizuri sana. Na ukweli usafir dar niwa shida. Naosemea n wale wanaonunua kwa lengo la kuoshea.
Asante kwa kusoma na maoni yako.Wewe Kijana una AKILI KUBWA.
Btw: Hiyo namba 6 & 7 Nimezipenda sana.
Asante sana kwa kusoma na kuipenda hiyo post. One love.Nime print na kuibandika kwenye mlango wa fridge hapa maana hakuna namna hiyo ya nguo na michepuko ishakula sana hela yangu, na kuaanzia January hii nilianza kuifanyika kama malengo ya mwaka 2016 na nashukuru nimekutana na huu uzi maana haya maisha unaweza ukazani umerogwa kumbe mchawi mwenyewe.
hiyo naikubali sana.Asante kwa kusoma... umeipokeajeg