Ni ukweli uliyo dhahiri kuwa zoezi zima la uchaguzi liliendeshwa kwa njia ambazo zinaonekana kukipendelea chama tawala na kwa sasa kilichobaki ni kwa sisi watanzania ambao tunataka kutoka kwenye umasikini kutetea haki yetu kwa njia yeyote maana hata wakati wa ukoloni mababu zetu walijitoa kwa moyo mmoja kwa nini sisi tunaogopa?
Nawakilisha wajume
Nawakilisha wajume