Tumeruhusu wajinga kutuongoza? Basi tuwe tayari kuwa taifa la kijinga milele

Poa 2

JF-Expert Member
Jul 7, 2019
1,294
1,288
Hapa Tanzania wasomi wengi hawajihusishi na siasa, Bali wanajaribu kusimamia taaluma zao japo kwa kuvurugwa na wanasiasa Kila kukicha.

Wanasiasa wengi Tanzania hasa viongozi ndani ya vyama vya siasa elimu zao ni za kuunga unga.

Japo nina amini uongozi ni kipawa anachozaliwa nacho mtu lkn kwa Tanzania hii ni tofauti hata wale wenye uwezo hupigwa vita na majungu na hii ni kwa sababu walio na mamlaka ni zao la wajinga wasio na uwezo hivyo kwa wenye uwezo huonekana tofauti na hatari kwa maslahi ya wajinga wenye mamlaka.

Wanaojihusisha na siasa kwanza wengi walifeli ktk taaluma na kuikimbilia siasa kama fursa isiyohitaji taaluma zaidi ya makelele majukwaani tu.

Tukiendelea na utamaduni huu kama taifa hakika hatutapata maendeleo tuyatarajiayo.

Rai yangu kwa wasomi wa Tanzania Sasa ni wakati wa kuingia huko huko kwenye siasa Ili tuwe viongozi na tuikomboe nchi yetu kutoka kwenye mikono ya Hawa wajinga wachache wasio na dira zaidi ya majungu, fitina, uchawi na wasingiziaji.
 
Umegusa tatizo la katikati la nchi yetu!
Hapa Tanzania wasomi wengi hawajihusishi na siasa, Bali wanajaribu kusimamia taaluma zao japo kwa kuvurugwa na wanasiasa Kila kukicha.

Wanasiasa wengi Tanzania hasa viongozi ndani ya vyama vya siasa elimu zao ni za kuunga unga.

Japo nina amini uongozi ni kipawa anachozaliwa nacho mtu lkn kwa Tanzania hii ni tofauti hata wale wenye uwezo hupigwa vita na majungu na hii ni kwa sababu walio na mamlaka ni zao la wajinga wasio na uwezo hivyo kwa wenye uwezo huonekana tofauti na hatari kwa maslahi ya wajinga wenye mamlaka.

Wanaojihusisha na siasa kwanza wengi walifeli ktk taaluma na kuikimbilia siasa kama fursa isiyohitaji taaluma zaidi ya makelele majukwaani tu.

Tukiendelea na utamaduni huu kama taifa hakika hatutapata maendeleo tuyatarajiayo.

Rai yangu kwa wasomi wa Tanzania Sasa ni wakati wa kuingia huko huko kwenye siasa Ili tuwe viongozi na tuikomboe nchi yetu kutoka kwenye mikono ya Hawa wajinga wachache wasio na dira zaidi ya majungu, fitina, uchawi na wasingiziaji.
 
Hapa Tanzania wasomi wengi hawajihusishi na siasa, Bali wanajaribu kusimamia taaluma zao japo kwa kuvurugwa na wanasiasa Kila kukicha.

Wanasiasa wengi Tanzania hasa viongozi ndani ya vyama vya siasa elimu zao ni za kuunga unga.

Japo nina amini uongozi ni kipawa anachozaliwa nacho mtu lkn kwa Tanzania hii ni tofauti hata wale wenye uwezo hupigwa vita na majungu na hii ni kwa sababu walio na mamlaka ni zao la wajinga wasio na uwezo hivyo kwa wenye uwezo huonekana tofauti na hatari kwa maslahi ya wajinga wenye mamlaka.

Wanaojihusisha na siasa kwanza wengi walifeli ktk taaluma na kuikimbilia siasa kama fursa isiyohitaji taaluma zaidi ya makelele majukwaani tu.

Tukiendelea na utamaduni huu kama taifa hakika hatutapata maendeleo tuyatarajiayo.

Rai yangu kwa wasomi wa Tanzania Sasa ni wakati wa kuingia huko huko kwenye siasa Ili tuwe viongozi na tuikomboe nchi yetu kutoka kwenye mikono ya Hawa wajinga wachache wasio na dira zaidi ya majungu, fitina, uchawi na wasingiziaji.
kama unaona viongozi wanaoongoza nchi ni wajinga hao unaowaona wana akili wamelisaidia nini taifa hili zaidi ya majungu tu kama wanajiona au unawaona wana akili kwanini wasiingie kwenye siasa? acha majungu ya kijinga hayo wewe na hao wenzako ndiyo wajinga taiofa hili limekutoa m,bali na mpaka sasa hii amanio ulioyop nayo mpaka kuwaona wajinga ni busara zao unafikiri taifa lingekuwa na viongozi wajinga kama wewe wenye akili mgando ungekuwa hapa sasahiovi na kuwa na uhuru wakuandika uharo wako humu? waheshiomu walipokufikisha na kama unajiona una akili sana nenda kagombee wewe
 
Hapa Tanzania wasomi wengi hawajihusishi na siasa, Bali wanajaribu kusimamia taaluma zao japo kwa kuvurugwa na wanasiasa Kila kukicha.

Wanasiasa wengi Tanzania hasa viongozi ndani ya vyama vya siasa elimu zao ni za kuunga unga.

Japo nina amini uongozi ni kipawa anachozaliwa nacho mtu lkn kwa Tanzania hii ni tofauti hata wale wenye uwezo hupigwa vita na majungu na hii ni kwa sababu walio na mamlaka ni zao la wajinga wasio na uwezo hivyo kwa wenye uwezo huonekana tofauti na hatari kwa maslahi ya wajinga wenye mamlaka.

Wanaojihusisha na siasa kwanza wengi walifeli ktk taaluma na kuikimbilia siasa kama fursa isiyohitaji taaluma zaidi ya makelele majukwaani tu.

Tukiendelea na utamaduni huu kama taifa hakika hatutapata maendeleo tuyatarajiayo.

Rai yangu kwa wasomi wa Tanzania Sasa ni wakati wa kuingia huko huko kwenye siasa Ili tuwe viongozi na tuikomboe nchi yetu kutoka kwenye mikono ya Hawa wajinga wachache wasio na dira zaidi ya majungu, fitina, uchawi na wasingiziaji.
Hii mada isifutwe tafadhali!!
 
Ahsante Sasa vyama vya upinzani viwe makini sana juu ya wanasiasa wanaojiunga nao kuwe na utaratibu maalumu wa wazi au wa Siri Ili kuepuka huu ujinga tusije kurudia huu upuuzi
Kuna kazi kubwa sana ya kuondoa hii dynast ya wajinga, kwani wameshajenga mfumo unaowaruhusu wajinga tu kuingia.
 
kama unaona viongozi wanaoongoza nchi ni wajinga hao unaowaona wana akili wamelisaidia nini taifa hili zaidi ya majungu tu kama wanajiona au unawaona wana akili kwanini wasiingie kwenye siasa? acha majungu ya kijinga hayo wewe na hao wenzako ndiyo wajinga taiofa hili limekutoa m,bali na mpaka sasa hii amanio ulioyop nayo mpaka kuwaona wajinga ni busara zao unafikiri taifa lingekuwa na viongozi wajinga kama wewe wenye akili mgando ungekuwa hapa sasahiovi na kuwa na uhuru wakuandika uharo wako humu? waheshiomu walipokufikisha na kama unajiona una akili sana nenda kagombee wewe
Hawa wapuuzi wapuuzwe tuwaache na ujinga wao
 
Hna hakika tumeruhusu kuongozwa na wajinga?

Hili la DPW halijakufunza chochote?

Usiishi kwa kukariri, watanganyika sio kondoo.
 
Back
Top Bottom