Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,272
- 2,035
Hakina mambo yamebadilika. Kutokana na kutokuwa na Ajira kundi kubwa la vijana hasa Wasomi wamewaza sana na kufikia Uamuzi kuwa wawe machawa.
Uchawa ni hali ya kujitoa ufahamu Aibu Haya Hasira Upofu na Ukiziwi. Ukiwa na Sifa hizo basi UCHAWA utauweza.
Uchawa pia una watu wenye Umri mkubwa waliokwama kimaisha nao Wameamua kuwa MACHAWA hivyo UCHAWA hauna umri rasmi. Hizo ndio Sifa za uchawa.
Kutokana na Ukosefu wa Ajira Serikalini Watu wengi Wameamua kuwa MACHAWA wa watu Mbalimbali wenye Uwezo wao wa kifedha au nadaraka ili mradi wawe na uwezo wa kuwalipa hao machawa. Bahati nzuri hao wenye Fedha au Madaraka ili Mambo yao Yasikike na yaende vizuri Wanataka yatangazwe hivyo huwatumia machawa kuyatangaza vizuri hata kama ni mabaya.
Pia kwa wale wanaotafuta madaraka au vyeo huwatumia machawa kumchafua Mtu ili apoteze Madaraka yake na nafasi hiyo aichukue yeye.
Machawa wamekuwa wakilipwa fedha nyingi kufanya kazi hizo nao wao hujiita Wameajiriwa. Mfano mzuri wa Kazi za machawa ni kama tulivyoshuhudia Kiongozi mmoja mkubwa ndani ya Chama alivyodharirishwa sana na machawa kupitia Mitandao na kupelekea kuandika Barua ya kujiuzulu nafasi yake.
Silaha kubwa wanayotumia machawa katika kutimiza majukumu yao ya ni mitandao ya kijamii, redio na TV.
MACHAWA pia Wamekuwa Wakiwalenga watu mashuhuri na maarufu.
Uchawa ni hali ya kujitoa ufahamu Aibu Haya Hasira Upofu na Ukiziwi. Ukiwa na Sifa hizo basi UCHAWA utauweza.
Uchawa pia una watu wenye Umri mkubwa waliokwama kimaisha nao Wameamua kuwa MACHAWA hivyo UCHAWA hauna umri rasmi. Hizo ndio Sifa za uchawa.
Kutokana na Ukosefu wa Ajira Serikalini Watu wengi Wameamua kuwa MACHAWA wa watu Mbalimbali wenye Uwezo wao wa kifedha au nadaraka ili mradi wawe na uwezo wa kuwalipa hao machawa. Bahati nzuri hao wenye Fedha au Madaraka ili Mambo yao Yasikike na yaende vizuri Wanataka yatangazwe hivyo huwatumia machawa kuyatangaza vizuri hata kama ni mabaya.
Pia kwa wale wanaotafuta madaraka au vyeo huwatumia machawa kumchafua Mtu ili apoteze Madaraka yake na nafasi hiyo aichukue yeye.
Machawa wamekuwa wakilipwa fedha nyingi kufanya kazi hizo nao wao hujiita Wameajiriwa. Mfano mzuri wa Kazi za machawa ni kama tulivyoshuhudia Kiongozi mmoja mkubwa ndani ya Chama alivyodharirishwa sana na machawa kupitia Mitandao na kupelekea kuandika Barua ya kujiuzulu nafasi yake.
Silaha kubwa wanayotumia machawa katika kutimiza majukumu yao ya ni mitandao ya kijamii, redio na TV.
MACHAWA pia Wamekuwa Wakiwalenga watu mashuhuri na maarufu.