Umasikini umekithiri mpaka trafiki anachota mafuta kwenye gari lililopata ajali

Umasikini umekithiri mpaka trafiki anachota mafuta kwenye gari lililopata ajali

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Tazama jinsi lori la mafuta lilivyopata ajali Igunga mkoani Tabora kisha bila woga wananchi wakaanza kuchota mafuta. Na miongoni mwao yupo trafiki naye akichota mafuta kwenye gari lililopata ajali

 
We are materialistic sana, Ndio maana umaskini uko wazi wazi... Hata ukipewa Hilo tank aliwezi kukutajirisha zaidi ya kumpa mtu hela ya kununua chakula Cha miezi kadhaa tu...

Kingine hapo wanahatarisha Maisha yako kwa vidumu ambayo wakiuza watapata 50K
 
Ila waafrika bongo zetu zitakuwa zimechanganywa na makamasi.

Yaani mijitu haijifunzi kabisa kwa yaliyotokea huko nyuma!
Sasa huyu polisi hajui madhara ya mafuta? Tatizo Jeshi la polisi limeacha kuajili vijana kutoka Jkt wao wanaokota ndugu zao Mitaani
 
Back
Top Bottom