Umasikini Tanzania

mjukuu2009

Member
Jul 6, 2009
89
4
Umasikini Tanzania unasababishwa na nini ikiwa vitu vyote vinavyoweza kufanya nchi ijitosheleze tunavyo!!Tuna kila kitu kinachotakiwa Duniani lakini sisi bado ni masikini kwa miaka zaidi ya 45 ya uhuru,Tanzania tuna
1.Mbuga za wanyama za kutosha (Serengeti,Gombe,n.k)
2.Tuna mapori ya ufagaji mengi tu.
3.Bahari kubwa
4.Maziwa kama victoria,tanganyika,nyasa n.k
5.Nguvu kazi ipo maana tunakaribia milion40 wengi ni vijana ambao atuna ajira.
6.Mifugo ipo yakutosha Ngombe,Mbuzi n.k
7.Aridhi nzuri ya kilimo ipo yakutosha mfano mikoa kama Tanga inaongoza kwa kusitawisha matunda n.k
8.Tuna milima na vivutio vingine vinngi vya utalii kama Kilimanjaro,meru,mapango ya Amboni n.k
9.Nchi aina machafuko,
10.Madini yako mengi watu wa njee wanachukua bure mfano Tanzanite,almasi,zaabu ,uranium,makaa ya mawe n.k
11.Tuna maeneo mengi ya kufanya kazi za Uvuvi kama bahari ya indi,ziwa victoria n.k

Sasa hivi ni baadhi ya mali na utajiri wetu,kwanini tunakuwa masikini!?mimi ni na imani tunakuwa masikini kwa sababu ya utawala mbovu wa Serikali inayotawala kwa mazoea tokea 1961 akuna barabara za kuunganisha nchi,vyuo vikuu ni vichache,Hospital chache nazilizokuwepo azina vifaa,Viwanda tuna wapa watu wa njee kwa bei ya bure.
Pesa yote ya walalaoi inapelekwa kwenye uchaguzi na sasa wameleta tena vitambulisho vya uraia,mtu anakuwa na kitambulisho ambacho akimsaidi kitu awezi kupata panadol hospital kwa kutumia kitambulisho.

Naomba wana JF mnisaidie nini chanzo cha umasikini,
Ehe Mungu shuka uje kuwaukumu awa mafisadi waliyojiuzia nchi wao na familia zao,ukawalaani wao na vizazi vyao.
 
Elimu duni na ya kufikirika
Uoga wa wasomi tulionao na kutokujiamini kwao,kwamba hata ktk field zao hawajiamini mpaka wawe na ma expert toka ng'ambo,amin nakuambia kama ingewezekana hata rais najua anahitaji kubwa sana la kuwa na muongozo toka kwa those people ili aweze songesha hili taifa!!!Shame upon us!!
 
the government is too political that practical, they are there just kutoa maagizo..
rais anamuagiza waziri,waziri naye anawaagiza katibu, katibu nae anaagiza, mpaka mwisho wa siku huoni nani ndie anatakiwa kufanya ile kazi..
TOO MUCH MAAGIZO AMBAYO YAPO KI SIASA ZAIDI
 
Umasikini Tanzania unasababishwa na nini ikiwa vitu vyote vinavyoweza kufanya nchi ijitosheleze tunavyo!!Tuna kila kitu kinachotakiwa Duniani lakini sisi bado ni masikini kwa miaka zaidi ya 45 ya uhuru,Tanzania tuna
1.Mbuga za wanyama za kutosha (Serengeti,Gombe,n.k)
2.Tuna mapori ya ufagaji mengi tu.
3.Bahari kubwa
4.Maziwa kama victoria,tanganyika,nyasa n.k
5.Nguvu kazi ipo maana tunakaribia milion40 wengi ni vijana ambao atuna ajira.
6.Mifugo ipo yakutosha Ngombe,Mbuzi n.k
7.Aridhi nzuri ya kilimo ipo yakutosha mfano mikoa kama Tanga inaongoza kwa kusitawisha matunda n.k
8.Tuna milima na vivutio vingine vinngi vya utalii kama Kilimanjaro,meru,mapango ya Amboni n.k
9.Nchi aina machafuko,
10.Madini yako mengi watu wa njee wanachukua bure mfano Tanzanite,almasi,zaabu ,uranium,makaa ya mawe n.k
11.Tuna maeneo mengi ya kufanya kazi za Uvuvi kama bahari ya indi,ziwa victoria n.k

Sasa hivi ni baadhi ya mali na utajiri wetu,kwanini tunakuwa masikini!?mimi ni na imani tunakuwa masikini kwa sababu ya utawala mbovu wa Serikali inayotawala kwa mazoea tokea 1961 akuna barabara za kuunganisha nchi,vyuo vikuu ni vichache,Hospital chache nazilizokuwepo azina vifaa,Viwanda tuna wapa watu wa njee kwa bei ya bure.
Pesa yote ya walalaoi inapelekwa kwenye uchaguzi na sasa wameleta tena vitambulisho vya uraia,mtu anakuwa na kitambulisho ambacho akimsaidi kitu awezi kupata panadol hospital kwa kutumia kitambulisho.

Naomba wana JF mnisaidie nini chanzo cha umasikini,
Ehe Mungu shuka uje kuwaukumu awa mafisadi waliyojiuzia nchi wao na familia zao,ukawalaani wao na vizazi vyao.

serikalini/mashirika ya umma/taasisi zote za serikali kumejaa VICHWA VIBOVU pamoja na PhD,masters zao whatever....bure kabisa,hamna kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom