Nachukia sana umasikini!

Multi-skilled

JF-Expert Member
Mar 1, 2023
802
3,048
Umasikini mbaya sana nimekulia kwenye umasikini uswahilini ambako wizi, uchawi, umbea, uvivu, umalaya, uhalifu roho mbaya, chuki n.k ni vitu vya kawaida sana. Huko shule si kipaumbele na watu wanaamini mtoto akiwa hana akili hata akienda shule ni kazi bure, wanaamini utajiri ni bahati na uchawi kwa mtu ambaye hajawahi kuishi huko anaweza kupata shida sana.

Lakini Sisi tuliozaliwa huko tuliona ni maisha mazuri na tumepewa na Mungu na yeye ndiye apangaye nani ampe ushua nani asimpe.

Baada ya kutembea na kupata exposure nchi mbali mbali na mikoa tofauti nimekuja kugundua kuwa Umasikini ni kitu kibaya sana ambacho natakiwa kukikataa kwa namna yoyote ile, tangu nimearealize hilo naitumikisha akili na mwili wangu kwa bidii sana ili kizazi changu kijacho kisionje ladha ya umasikini.

Pia umasikini sio sifa hakuna raha yoyote ya kuwa masikini au mnyonge, hakuna raha yoyote ya kuchukia matajiri na kuona kuwa ni wachawi, hakuna raha yoyote kwenye kukosa huduma nzuri za afya, makazi mazuri na kukosa pesa.

Inawezekana ni kweli Pesa hainunui furaha lakini Umasikini unanunua nini ndugu zangu?

Tuukatae umasikini.
 
Umasikini mbaya sana nimekulia kwenye umasikini uswahilini ambako wizi, uchawi, umbea, uvivu, umalaya, uhalifu roho mbaya, chuki n.k ni vitu vya kawaida sana. Huko shule si kipaumbele na watu wanaamini mtoto akiwa hana akili hata akienda shule ni kazi bure, wanaamini utajiri ni bahati na uchawi kwa mtu ambaye hajawahi kuishi huko anaweza kupata shida sana.

Lakini Sisi tuliozaliwa huko tuliona ni maisha mazuri na tumepewa na Mungu na yeye ndiye apangaye nani ampe ushua nani asimpe.

Baada ya kutembea na kupata exposure nchi mbali mbali na mikoa tofauti nimekuja kugundua kuwa Umasikini ni kitu kibaya sana ambacho natakiwa kukikataa kwa namna yoyote ile, tangu nimearealize hilo naitumikisha akili na mwili wangu kwa bidii sana ili kizazi changu kijacho kisionje ladha ya umasikini.

Pia umasikini sio sifa hakuna raha yoyote ya kuwa masikini au mnyonge, hakuna raha yoyote ya kuchukia matajiri na kuona kuwa ni wachawi, hakuna raha yoyote kwenye kukosa huduma nzuri za afya, makazi mazuri na kukosa pesa.

Inawezekana ni kweli Pesa hainunui furaha lakini Umasikini unanunua nini ndugu zangu?

Tuukatae umasikini.
Hayo ni mambo unatakiwa uyaelewe ukiwa na miaka 15 tu alafu upambane kama now ndio unastuka basi endelea kusindikiza wanaoishi duniani
 
Umasikini mbaya sana nimekulia kwenye umasikini uswahilini ambako wizi, uchawi, umbea, uvivu, umalaya, uhalifu roho mbaya, chuki n.k ni vitu vya kawaida sana.
Umasikini ni nini ?

Je umasikini ni kama unavyodhani :-wizi, uchawi, umbea, uvivu, umalaya, uhalifu roho mbaya, chuki n.k ni vitu vya kawaida sana.

Unadhani masikini hata ana muda wa kupiga umbea; nadhani unachotaka kukitibu huenda sicho ambacho unadhani ndicho.......

 
Umasikini ni nini ?

Je umasikini ni kama unavyodhani :-wizi, uchawi, umbea, uvivu, umalaya, uhalifu roho mbaya, chuki n.k ni vitu vya kawaida sana.

Unadhani masikini hata ana muda wa kupiga umbea; nadhani unachotaka kukitibu huenda sicho ambacho unadhani ndicho.......

Umasikini unaambatana sana na hivyo vitu ili ulielewe lazima uwe umewahi kuishi maisha ya kimasikini.
 
Umasikini mbaya sana nimekulia kwenye umasikini uswahilini ambako wizi, uchawi, umbea, uvivu, umalaya, uhalifu roho mbaya, chuki n.k ni vitu vya kawaida sana. Huko shule si kipaumbele na watu wanaamini mtoto akiwa hana akili hata akienda shule ni kazi bure, wanaamini utajiri ni bahati na uchawi kwa mtu ambaye hajawahi kuishi huko anaweza kupata shida sana.

Lakini Sisi tuliozaliwa huko tuliona ni maisha mazuri na tumepewa na Mungu na yeye ndiye apangaye nani ampe ushua nani asimpe.

Baada ya kutembea na kupata exposure nchi mbali mbali na mikoa tofauti nimekuja kugundua kuwa Umasikini ni kitu kibaya sana ambacho natakiwa kukikataa kwa namna yoyote ile, tangu nimearealize hilo naitumikisha akili na mwili wangu kwa bidii sana ili kizazi changu kijacho kisionje ladha ya umasikini.

Pia umasikini sio sifa hakuna raha yoyote ya kuwa masikini au mnyonge, hakuna raha yoyote ya kuchukia matajiri na kuona kuwa ni wachawi, hakuna raha yoyote kwenye kukosa huduma nzuri za afya, makazi mazuri na kukosa pesa.

Inawezekana ni kweli Pesa hainunui furaha lakini Umasikini unanunua nini ndugu zangu?

Tuukatae umasikini.
Si wapo ambao wame himarisha umaskini kwa kuona kwamba hili life ni kula , kunywa na kuzaa,,,Ili imradi basic needs anazipata but no development! Au wewe umebase umaskini upi kwenye kupata basic needs only?? Au basic needs + development??
 
It's never too late kama unamipango na una connection zenye kufanya utoke level ya chini upande juu. Kuna watu wanajua nn cha kufanya ila hawana miundombinu na hawataki au hawana watu wa maana kuwatoa sehemu moja kwenda nyingine
Mkuu naamini ukiwa unajua nini cha kufanya kinachokosekana ni opportunity ambayo utaipata tu no matter what huwezi kuwa sawa na mtu ambaye hafanyi lolote
 
Umasikini unaambatana sana na hivyo vitu ili ulielewe lazima uwe umewahi kuishi maisha ya kimasikini.
Utajiri unaanzia kiasi gani; kwamba Umasikini ni Wizi (Matajiri sio Wezi)? Umbea (wenye pesa sio gossipers); Kwamba ukiwa mchawi ukipata pesa unaacha uchawi ?

Ufukara ndio ni mbaya sana tena ni mbaya kwa wenye nacho zaidi hata ya hao wasionacho wewe kama unavitu alafu waliokuzunguka hawana hata chakula wala sehemu ya kulima na kupata hicho chakula fahamu kwamba siku ya mavuno unawalimia hao.... (Kwahio ni muhimu kwa kila kiumbe duniani kupata basic needs - Chakula, Mavazi, Malazi) unless otherwise watakuchukia na kukunyangaya ulichonacho na ukizingatia katika kundi lako kuna baadhi wanatumia shortcuts wote mtawekwa kwenye kundi hilo.....

Utajiri ni fikra wewe kama una vitu kumi na unataka ishirini hauwezi ukawa na peace of mind kama mwenye vitatu wakati anataka viwili.... (Ukiwa na fikra hizo nadhani utakuwa na utajiri wa hekima na busara - hivyo maisha utayafurahia na pesa zitakutumikia na sio vice versa)
 
It's never too late kama unamipango na una connection zenye kufanya utoke level ya chini upande juu. Kuna watu wanajua nn cha kufanya ila hawana miundombinu na hawataki au hawana watu wa maana kuwatoa sehemu moja kwenda nyingine
uko sahihi kaka kunawatu tuna mitaji Lakini tumekosa connection
 
Back
Top Bottom