kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,290
- 1,655
Kuna mdau huku kauliza kama Tanzania tuna submarine[nyambizi], napenda kumjulisha kwamba tunazo za kutosha, pale ziwa victoria tuna sangara, sato, mba na dagaa wa kutosha, ukienda bahari ya hindi kuna tassi, pweza na wengineo kibao, kwenye mito kuna kambale, vyura n.k.....kazi kwako....tupo vizuri kiulinzi!!!!!!!!!!!