Gigo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2006
- 454
- 46
Kama Mswahili-una Akili kiasi hiki.basi tuanze Kuona Mafanikio- tumechoka kusubiri-!
Lakini,Hatuwezi kuendelea kwa Kasi hiyo..Twendeni 'hatua kwa hatua'-Tutengeneze mambo ya msingi-Ulinzi na Usalama- Hapo-nikiwa nina maanisha Elimu yetu-Ufahamu wetu,Lugha yetu,Sisi na wenzetu!,Upendo wetu,Amani yetu,Hekima yetu,Furaha yetu,Ujuzi wetu,na kila kilicho chetu...
Chakwetu ni furaha yao,hao wasio wenzetu!!.........nao hao ni- Wakina nani?
Ona tunavyo Cheka- nahii ni kwasababu tuna fahamiana,Ona tunavyo Chukia hii ni kwasababu tuna heshimiana.
Maisha ni Magumu, lakini lazima iwe ni Changa moto kwetu-badala ya kua maisha ni shida, umasikini,taabu na mateso.
kabla sijaendelea Hivi Umasikini ni nini?
Lakini,Hatuwezi kuendelea kwa Kasi hiyo..Twendeni 'hatua kwa hatua'-Tutengeneze mambo ya msingi-Ulinzi na Usalama- Hapo-nikiwa nina maanisha Elimu yetu-Ufahamu wetu,Lugha yetu,Sisi na wenzetu!,Upendo wetu,Amani yetu,Hekima yetu,Furaha yetu,Ujuzi wetu,na kila kilicho chetu...
Chakwetu ni furaha yao,hao wasio wenzetu!!.........nao hao ni- Wakina nani?
Ona tunavyo Cheka- nahii ni kwasababu tuna fahamiana,Ona tunavyo Chukia hii ni kwasababu tuna heshimiana.
Maisha ni Magumu, lakini lazima iwe ni Changa moto kwetu-badala ya kua maisha ni shida, umasikini,taabu na mateso.
kabla sijaendelea Hivi Umasikini ni nini?