Ulizia hapa kuhusu Shule uliyo chaguliwa 2014/2015

Ulizia hapa kuhusu Shule uliyo chaguliwa 2014/2015

hooligan01

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2013
Posts
664
Reaction score
540
jamani naombeni mnijuze lolote kuhusu hii shule ya serikali ya kipaji yani kwa yeyote aleisoma au bado anaisoma au anaijua vizuri hii shule yani kuhusu mazingira(umeme,chakula,ufundishaji na material) ni mazuri?au lolote baya pale mana nimepangiwa iyo shule ila sina maamuzi ya moja kwa moja kwenda.
msaada wa ushauri jamani
 
Mimi nimepangiwa hiyo shule ipo makete iringa...kama upo jamii forums tuelezee kidogo kuhusu hiyo shule
 
kwanza niwape hongera kwa kupangiwa moja ya shule ngumu na ya zaman tanganyika,umbwe boyz a.k.a MTI SAFI kwa historia fup ni shule iliyojengwa na wamisionary wa katoliki miaka hiyo kabla ya uhuru, ikabinafishwa na serikali na sasa ni ya government,LOCATION, shule iko mkoa wa kilimanjaro mosh vijijini, nauli ni elfu moja kutoka mosh town unashukia kituo kinaitwa kwalafaeli, hapo ukiuliza tu umbwe boyz unaelekezwa, kwa mguu panaendeka but kama una mizigo ni vyema uchukue boda boda,MAZINGIRA ni mazuri sana koz tuko chini ya mlima mrefu africa kilimanjaro, na kuna ukijani thru out the year, ko kwa mtu anayejielewa ni pazuri kwa kujisomea, upande wa walimu kama kawaida ya shule za government hawapo wa kutosha but ushirikiano wa wanafunzi ndo unatupa matokeo mazuri, competitor wetu wakubwa kiacademic ni weruweru girls na shule friend ni machame girls, pia pale pana starehe ya kila aina ko onyo ukifika jiangalie xanaa 2, mimi niko pale now kidato cha sita, YOUR WELCOME.
 
kwanza niwape hongera kwa kupangiwa moja ya shule ngumu na ya zaman tanganyika,umbwe boyz a.k.a MTI SAFI kwa historia fup ni shule iliyojengwa na wamisionary wa katoliki miaka hiyo kabla ya uhuru, ikabinafishwa na serikali na sasa ni ya government,LOCATION, shule iko mkoa wa kilimanjaro mosh vijijini, nauli ni elfu moja kutoka mosh town unashukia kituo kinaitwa kwalafaeli, hapo ukiuliza tu umbwe boyz unaelekezwa, kwa mguu panaendeka but kama una mizigo ni vyema uchukue boda boda,MAZINGIRA ni mazuri sana koz tuko chini ya mlima mrefu africa kilimanjaro, na kuna ukijani thru out the year, ko kwa mtu anayejielewa ni pazuri kwa kujisomea, upande wa walimu kama kawaida ya shule za government hawapo wa kutosha but ushirikiano wa wanafunzi ndo unatupa matokeo mazuri, competitor wetu wakubwa kiacademic ni weruweru girls na shule friend ni machame girls, pia pale pana starehe ya kila aina ko onyo ukifika jiangalie xanaa 2, mimi niko pale now kidato cha sita, YOUR WELCOME.
Bango zuri la kuelekeza wageni ingawa limejaa majigambo.Kuhusu competitors wa Umbwe, mbona umewasahau majirani wenu Lyamungo? Kwa nini umevutiwa sana kutaja hizo shule za wasichana Machame girls na weruweru?
 
Anayekijua hiki chuo tafadhali naomba kupata details zake,nimekiona tu kweny website ya nacte....7
 
kwanza niwape hongera kwa kupangiwa moja ya shule ngumu na ya zaman tanganyika,umbwe boyz a.k.a MTI SAFI kwa historia fup ni shule iliyojengwa na wamisionary wa katoliki miaka hiyo kabla ya uhuru, ikabinafishwa na serikali na sasa ni ya government,LOCATION, shule iko mkoa wa kilimanjaro mosh vijijini, nauli ni elfu moja kutoka mosh town unashukia kituo kinaitwa kwalafaeli, hapo ukiuliza tu umbwe boyz unaelekezwa, kwa mguu panaendeka but kama una mizigo ni vyema uchukue boda boda,MAZINGIRA ni mazuri sana koz tuko chini ya mlima mrefu africa kilimanjaro, na kuna ukijani thru out the year, ko kwa mtu anayejielewa ni pazuri kwa kujisomea, upande wa walimu kama kawaida ya shule za government hawapo wa kutosha but ushirikiano wa wanafunzi ndo unatupa matokeo mazuri, competitor wetu wakubwa kiacademic ni weruweru girls na shule friend ni machame girls, pia pale pana starehe ya kila aina ko onyo ukifika jiangalie xanaa 2, mimi niko pale now kidato cha sita, YOUR WELCOME.


Tuwekee ile picha ya kupiga kutokea uwanjani na kuonyesha mlima kilimanjaro.
 
Wakuu,naomba msaada kuhusiana na ifunda girls..me niko arusha na ndo nimepangiwa huko...naombeni maelezo yoyote yakunisaida na joining instructions kwa anayefahamu
 
Safi, nothng 2 add...tc a very gud xcul...kwa waliopangwa kwenda umbwe never dare to mic t....naijua umbwe vzuri, nlimalza apo 2012......
 
Tanga school of nursing

Details zake zipi tukiachana na location sijakuelewa vizuri ?

yaan walimu, mazngira ya kujifunzia,hospital ambayo ipo kwa ajil ya mafunzo kwa vtendo
 
bango zuri la kuelekeza wageni ingawa limejaa majigambo.kuhusu competitors wa umbwe, mbona umewasahau majirani wenu lyamungo? Kwa nini umevutiwa sana kutaja hizo shule za wasichana machame girls na weruweru?

jamaa ana bif na lyaboyz
 
Wadau naomba mnijulishe kuhusu hii shule inayoitwa "Myovozi high school"
plz wadau
kuhusu location na details nyengine
 
Kwa waliochaguliwa Ndanda wasiwe na wasiwasi shule ni nzuri, maji na umeme vipo muda wote chakula kizuri walimu wapo masuala ya afya kuna hospital karibu.

Karibuni sana
 
jamani me naombeni tu maelezo ya ifunda girls,vitu gani muhimu kutambua kuhusu hiyo shule
 
Back
Top Bottom