Nimekusoma neno kwa neno, na kukuelewa, Pole sana, Kiufupi bado una safari ndefu kimtazomo.Hii Haina uhakika mkuu,Mana mtu hawezi piga kelele kiasi icho. Huwezi mlazimishia mtu kuwa aje umpe njia ya kupata hela.
Pia real legitimate broker huwa hawana leverage kubwa.
So huwazi hapo mtu Ana hela afu anataka hela Tena.
Hizo testimonial zinatengenezwa elewa.
I don't trust easily kiivyo.
Pia Nina ka plan kangu mwenyewe. Na hiyo unayonipa top five prop firms nilikuwa nayo sema hizo fee hapo ndo njia yao ya kumeki hela.
Mfano hapo ukizama unaambiwa Kuna gharama.
Kama mganga wa jadi anakuomba hela ili akupe utajiri so why asikupe atakata hukohuko.
Ama umeshinda zawadi ya 100M tuma 50k Kama ada ya kukutumia hela so wakate huko huko kwenye 100M.
Hata wale jamaa wa aliyekiona kiberiti Cha njiti nimewaona tokea nikiwa msingi.
Wanakupa ya kujaribisha ukipata unaambiwa kuwa onyesha Kama hii upewe iyo. Nilionyesha akataka kuishika nikasema mbona huyo hapo akakuonyesha tu ukampatia.
Mara mtu ameokota gold kwa ajali afu akaambiwa kuwa akiipeleka kwa wahusika atapewa 200M Ila yeye Ana haraka Ana mgonjwa anataka 100k.
So unaona Kuna uhalali hapo
Sijakataa mkuu haya makitu yapo zamani sana. Kama ulikuwa ivyo sure uko poa. Hii makitu nimejitoa even 20yrs to come. Ila nachojua ukiamua kukumwagia hela utashangaa. I really appreciate it.Nimekuwa kwenye forex business toka wakati Ontario yupo sekondary.
I supported his idea ya kusambaza forex knowledge to the masses ila i was very against idea ya kufundisha mtu ndani ya week na next week afungue account kwa broker wa Ontario na the other week uanze trading. Na mbaya zaidi watu ambao hawajui hata pips ni nini.
Moja ya emphasis niliokuwa naisema ni kuwa watu wajifunze zaidi na zaidi, ila wengi walipenda hela za short cut, likawatokea la kutokea.
Asilimia kubwa walijifunza in a hard way, waka bounce back. Waliokata tamaa ndo hao wanakwambia forex ni scam.
All in all, kila mtu anajua destiny ya maisha yake anataka yawe vipi.
Poa mkuu. Ni kaama mchungaji anayeleta vijembe kwenye ibada yake naona Ile roho ya kiutumishi Hana unaachana nayo.Ilibaki kidogo nijiunge kwenye IPTM yake wakati huo natafuta mentorship ya great traders wa Stocks. Video zake zilinihamasisha ila ile ya kupondea wenzako ili uonekane unafaa ilinifanya nianze kujiuliza maswali mengi sana. Nikaachana nae.
Nipo Dar.
Haina shida kwa kunisoma kwako Mana pia na taaluma inakubeba.Nimekusoma neno kwa neno, na kukuelewa, Pole sana, Kiufupi bado una safari ndefu kimtazomo.
Kila lakheri.
Sure katika trading Kuna vitu vitatu platform, psychology na rm basi. Na kwa kiufupi trader ni risk manager.yaani wewe ni mwendo wa kumanaje risk mkuu. Mana this is probability game.Anyways, nilitaka nijue timeframe ili nijue risk management na position sizing yako.
Huwa nikiangalia mtaji wa mtu na trades zake najua vitu vingi kwa urahisi.
99% ya forex traders wanachoma mitaji yao wanapokosea risk management na position sizing. Ila strategy zao zipo vizuri tu.
Sio kila siku forex market inakuwa very perfect kwamba utapata consinstent profits everyday.
Ila RM na PS ndo zinakulinda yanapotokea majanga sokoni.
Utakuta mtu anamtaji wa $1000 ila ana risk almost 10% ya mtaji wake in a single trade. Manake ndani ya trades 10 ameshachoma kila kitu.
Mkuu Kama uliipiga wazo la watu kufungua akaunti kwa broker wa Ontario sio kabisa.jamaa hapa alikuwa na overhead pips zake kabisa.hata zile saanaa zao akina cley ni kutuzuga tu. So why upate hela kijanja na sio kuumiza brain Kama vijaana hao anaokuwa anawatolea mfano akina Elon Musk,dogo wa sport pesa Mara wa twita so wao waliotumia vichwa vyao kupata halali sema janja janja sio kabisa otherwise ni kutafuta cheap popularityNimekuwa kwenye forex business toka wakati Ontario yupo sekondary.
I supported his idea ya kusambaza forex knowledge to the masses ila i was very against idea ya kufundisha mtu ndani ya week na next week afungue account kwa broker wa Ontario na the other week uanze trading. Na mbaya zaidi watu ambao hawajui hata pips ni nini.
Moja ya emphasis niliokuwa naisema ni kuwa watu wajifunze zaidi na zaidi, ila wengi walipenda hela za short cut, likawatokea la kutokea.
Asilimia kubwa walijifunza in a hard way, waka bounce back. Waliokata tamaa ndo hao wanakwambia forex ni scam.
All in all, kila mtu anajua destiny ya maisha yake anataka yawe vipi.
Duu Kama iyo ya ku risk 10% ya akaunti in single trade sio kabisa.Anyways, nilitaka nijue timeframe ili nijue risk management na position sizing yako.
Huwa nikiangalia mtaji wa mtu na trades zake najua vitu vingi kwa urahisi.
99% ya forex traders wanachoma mitaji yao wanapokosea risk management na position sizing. Ila strategy zao zipo vizuri tu.
Sio kila siku forex market inakuwa very perfect kwamba utapata consinstent profits everyday.
Ila RM na PS ndo zinakulinda yanapotokea majanga sokoni.
Utakuta mtu anamtaji wa $1000 ila ana risk almost 10% ya mtaji wake in a single trade. Manake ndani ya trades 10 ameshachoma kila kitu.
Tofauti ya pin bars na hammer ni Kama unachosema kuwa tofauti ya singida na Tanzania.
So singida ndio awe hammer na pin bars awe Tanzania.
So pin bars ni zile candlestick zinazokuwa na kivuli kikubwa kuliko body. Mfano hammer inafanyika during downtrend. Yaani watu waliingiwa na greed wakauza wakapitiliza baadaye bulls wakaja na wengine wakateki profit so utaiona kwa chini Ina pin Kama pini ndefu afu body ndogo Sana yaweza kuwa ya bearish or bullish,sema bullish ndo Ina uzito Sana. Afu top yake shadow inakuwepo sema ndogo Sana mkuu ama isiwepo kabisa.
Iyo low shadow inakuwa na ukubwa karibu twice or thrice ya real body.
Sasa pin bars imejumuisha baars zote zinazofanyika ni general term. Sasa pin bars zinazoongelewa hapa ni zote Kama hammer,inverted hammer,hanging man,dojis nazo zinaingia kwa pin bars Mana implications yake inakaribia kuwa sawa,
Ninakuomba kwenye pin bars or candles kiujumla usihangaike kujua majina yake ,ishu kubwa hangaika kujua nyuma yake Kuna i.e the anatomy of candles ndugu nadhani you won't bothered to know the names.
Na hizo pin bars zinakuwa relevant Sana kwenye zones, or support/resistance levels,Tena ukijua kucheza na ya Ile higher timeframe from 4h 1d and 1w ziko na uzito Sana Tena Sana.
Hata hiyo 2500 usd unaweza kabisa kutrade standard lot kwenye lower timeframe kama 15min or even 30min especially kama wewe ni day trader coz stop loss pips haziwezi kuwa kubwa sana per single trade kiasi cha kuhatarisha capital yako.Mkuu Nina kamuda Sana Nina lengo ikifika laki nitie kitu Kama Dola 2500 angalau nianze na mini lot ,Mana ndoto yangu aisee ni kufanya standard lot. Kama yule mtunzi wa Bible of trends trading anakuambia angalau uanze na 10k$ Kama kweli uko serious.
Yaani Kuna jamaa Wana tredi zile 300 lot mpaka nawamezea mate.
Ila kiukweli ukishafikia standard lot sijui Kama itakuzuia Nini kuwa bilionea..
Nimesoma comments zote,, mpk nimemaliza nimepata elimu yakutosha, nimegundua maisha siyo marahisi kama watu wanavyofikiria, lazima ufanye research ya maana kuanza hii business. Unahitaji upata mda na kujifunza. Asante sana mr keisangora na wengine kwa kutupa madini yakutosha.Duu Kama iyo ya ku risk 10% ya akaunti in single trade sio kabisa.
Mana hii ni series of trades perceptive na sio not by single trades.
Inaruhusu probability ifanye kitu.
Mtu anatakiwa ajue theory of probability na statics kiujumla anafanya kitu gani. Pia behavioral economy ajitahidi apitie.
Sure Kika kitu ni hustle Tena Sana. Afu Kama hii trading ni ngumu na ugumu wake ni kuwa kila kitu unachofanya ni counter intuitive to our nature.Nimesoma comments zote,, mpk nimemaliza nimepata elimu yakutosha, nimegundua maisha siyo marahisi kama watu wanavyofikiria, lazima ufanye research ya maana kuanza hii business. Unahitaji upata mda na kujifunza. Asante sana mr keisangora na wengine kwa kutupa madini yakutosha.
Nitaku pm kwa maelezo zaid, namna yakupata broker mzuri na mambo mengine wakadha.
Sure mkuu,sl pips ni ndogo sanaHata hiyo 2500 usd unaweza kabisa kutrade standard lot kwenye lower timeframe kama 15min or even 30min especially kama wewe ni day trader coz stop loss pips haziwezi kuwa kubwa sana per single trade kiasi cha kuhatarisha capital yako.
Thanks,sure.you can't change oceans tides.Trading should not be complicated. Just negotiate with your trading psychology through your trading plan. Keep It Simple coz you can not change the market structure. Never fight the fx market!
Sure mkuu,sl pips ni ndogo sana
Hata hiyo 2500 usd unaweza kabisa kutrade standard lot kwenye lower timeframe kama 15min or even 30min especially kama wewe ni day trader coz stop loss pips haziwezi kuwa kubwa sana per single trade kiasi cha kuhatarisha capital yako.
Hujaelewa nilichokisema na pia huelewi unachosema.Kuwa na sl pips kubwa hakuwezi hatarisha capital yako, never! Unless uwe na poor risk management.
Kama unafwata proper risk managent basi kama una sl ya pips nyingi maana yake utatumia lot ndogo na kama una sl ya pips chache, say 10 utajikuta unatumia lot kubwa.
Lakin mwisho wa siku kama sl ikifikiwa au soko likaifikia sl yako then, kwa case zote hizo mbili, basi utajikuta una the same loss.
Unafanya position sizing mkuu katika trades zako.Kuwa na sl pips kubwa hakuwezi hatarisha capital yako, never! Unless uwe na poor risk management.
Kama unafwata proper risk managent basi kama una sl ya pips nyingi maana yake utatumia lot ndogo na kama una sl ya pips chache, say 10 utajikuta unatumia lot kubwa.
Lakin mwisho wa siku kama sl ikifikiwa au soko likaifikia sl yako then, kwa case zote hizo mbili, basi utajikuta una the same loss.
Two men one says I can't and another says I can , both are really correct.Uzi mzuri sana na inafurahisha kuona watu wapo wanaumiza vichwa jinsi ya kujua hii biashara!..
Naamini miaka 5 ijayo na sisi tz tukuwa si wasindikizaji kabisa.