kadagala1
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,941
- 6,213
Hivi hadi leo yapo?Mkuu la ticha siunajua mambo ya kujiongeza!
Hivi hadi leo yapo?Mkuu la ticha siunajua mambo ya kujiongeza!
kwa bongo haiwezekani ni stori i hizoooShule niliyo kuwa nasoma ukichelewa au ukiwa mtundu shuleni unapelekwa kwenye room flani special unapewa ushauri nasaha! wanakuandaa kisaikologia kesho yake wew mwenyewe utaona aibu kurudia lile kosa
Mwalimu akiwa rafiki wa mwanafunzi, na mwanafunzi akawa rafiki na mwalimu adhabu hizo utazipewa wapi?
Ukienda kwa wazungu mambo kama hayo hayapo ndiyo maana mnapigwa bao kwenye mambo mengi ya msingi
Yapo mkuu!Hivi hadi leo yapo?
Sema "nilikuwa napelekwa shuleni KWA gari".Nilikuwa napelekwa shuleni na gari!
Siku soma bongo! bongo nimesoma kiswahili tu tena na mwalimu binafsikwa bongo haiwezekani ni stori i hizooo
Point yako ni ipi mkuu? Shule nilikuwa napelekwa na gari ya nyumbani, get it on your headSema "nilikuwa napelekwa shuleni KWA gari".
Unaposema "Nilikuwa napelekwa shuleni NA gari" maana yake gari yenyewe ilikuwa "mwanafunzi" mwenzio.
Hivi shule ulienda kusoma ujinga?
CC FaizaFoxy
hongera ila mwalimu wako hakuwa mahiri ktk somo la kiswahiliSiku soma bongo! bongo nimesoma kiswahili tu tena na mwalimu binafsi
Ukipelekwa na gari huwezi kuchelewa au gari lilikuwa likifika linageuka kuwa mwalimu wa zamu?
Hii adhabu ilikua inaitwa Kushika Masikio.Wachelewaji wengine hawa
si kwa najibu hayo duh!!!!Ukipelekwa na gari huwezi kuchelewa au gari lilikuwa likifika linageuka kuwa mwalimu wa zamu?
Mwaka gani pls?Point yako ni ipi mkuu? Shule nilikuwa napelekwa na gari ya nyumbani, get it on your head
Nikikuta mwanangu namna hii basi namkata makofi mwalimu tu.Wachelewaji wengine hawa
Hayakunikuta hayo, nilikuwa nakula kiranja. namba nawekewa kila siku hata kama nikichelewa.
beba dunia Mkuu, jkt hyoHa ha ha! Yote tisa, kumi ni ile adhabu ya "KUBEBA ARDHI" ... Niliichukia sana ile.