monta
JF-Expert Member
- May 6, 2014
- 1,297
- 1,861
Wakuu, kuna kisa nimekikumbuka kwamwe sitokisahau nikaone niweke hapa jukwaani ili tuweze kushare safari kutoka mkoa kwa mkoa ambayo huwezi isahau. Nakumbuka kipindi nipo chuo mwaka wa pili nilikua natoka Dar naenda Iringa (mara nyingi natumiaga IT) gari zinazotoka bandarini kwenda nchi zisizo na Bandari k.v Zambia, Congo, Rwanda. Nimefika pale Kibo napopandiaga gari sa 3 usiku nasubiri IT nianze safari. Hadi saa4 na nusu sikupata gari njia ya Iringa. Kwenye saa5 usiku ikaingia Toyota Brevis nyeupe pale Kibo. Nikanegotiate na dereva(Anaitwa Janaary ana asili ya kiarabu) mpaka Iringa akahitaji 20k nikampatia.
Saa 5 na dakika zake tukaanza safari wawili tu kuitafuta MK yeye akielekea Tunduma border ya Zambia. Ebana e sijawahi ona chuma inatembea kama ile siku wallah. Jamaa alitoka na mwendo wa kawaida tu mpaka Misugusugu akapiga kibali tayari kwa safari. Akaniambia Hapa Iringa nitaingia kwenye saa 10 nikaona haiwezekani akasema subiri uone.
Mimi nakakaa siti ya nyuma ili niweze kuona speed bar inavyoyoma. Jamaa katoka Misugusugu saa 5 na Nusu nachek katoka na speed 180kph nakumbuka ameshuka sana 140kph yani Moro tumeingia saa 6 kama na nusu hivi.
Gari zote za IT zilizokua njiani aliziovertake kwa speed ya ajabu. Saa 10 na robo Brevis imeingia Iringa pale sheli, nilipigwa na butwaa na sikuamini kama tulifika salama, na kila dereva aliyekuja pale sheli anamshangaa jamaa wewe ndiye ulinipita sehemu fulani aisee sikuwezi.
Tulitumia almost masaa ma5 Dar-Iringa, Je!ulitumia masaa mangapi kwa safari Mkoa mmoja hadi mwingine ambayo hutokuja kusahau?
Sent using Jamii Forums mobile app
Saa 5 na dakika zake tukaanza safari wawili tu kuitafuta MK yeye akielekea Tunduma border ya Zambia. Ebana e sijawahi ona chuma inatembea kama ile siku wallah. Jamaa alitoka na mwendo wa kawaida tu mpaka Misugusugu akapiga kibali tayari kwa safari. Akaniambia Hapa Iringa nitaingia kwenye saa 10 nikaona haiwezekani akasema subiri uone.
Mimi nakakaa siti ya nyuma ili niweze kuona speed bar inavyoyoma. Jamaa katoka Misugusugu saa 5 na Nusu nachek katoka na speed 180kph nakumbuka ameshuka sana 140kph yani Moro tumeingia saa 6 kama na nusu hivi.
Gari zote za IT zilizokua njiani aliziovertake kwa speed ya ajabu. Saa 10 na robo Brevis imeingia Iringa pale sheli, nilipigwa na butwaa na sikuamini kama tulifika salama, na kila dereva aliyekuja pale sheli anamshangaa jamaa wewe ndiye ulinipita sehemu fulani aisee sikuwezi.
Tulitumia almost masaa ma5 Dar-Iringa, Je!ulitumia masaa mangapi kwa safari Mkoa mmoja hadi mwingine ambayo hutokuja kusahau?
Sent using Jamii Forums mobile app


vipi kiuno ilikuwaje