Atomic orbital
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 375
- 486
Maandiko matakatifu yako wazi mungu kwanza mengine badaeAisee niliwahi pata kisa kama chako, nafika tu form 5 moyo ukadondokea kwa binti mmoja wa shule ya jirani! Yeye alikuwa form 2..
Nilifanya jitihada zote nimpate, hakuonesha interest yeyote na mimi, kidume nakomaa lakini wapi (story yake naweza andika kitabu), mengi nilipitia na mengine ya aibu hata kusimulia, ningefanyeje na moyo ushapenda, miaka miwili yote mpka naondoka ule mji mambo yalikuwa bila bila ila atleast nilikuwa na namba yake!
Baada ya kuondoka kule akaja akanikubalia, nadhan ile kutaka kuniridhisha tu maana nilikuwa mbali na sina madhara, kuna kipindi nikiwa nshaanza chuo nikamfunga safari kumfuata, dah yan alinikana hadharan akadai hata kusema ananipenda huwa anajilazimisha tu, nilijibebesha mwenyewe maua na kadi, ikabidi nimpe tu, pengine aliyatupa huko mbele ya safari.
Nilipiga moyo konde, nikaamua kusonga mbele..sikupanga kumtafuta tena na yeye alijua hilo, na akabaki kimya. Miaka ikaenda nikamaliza chuo, nikawa nshaanza kazi na maisha yanaendelea.
Basi siku moja napokea simu akajitambulisha kwamba ni yeye, story zikawa nyingi kama huyo prisca wako, akauliza kama nshaoa na akadai eti ananipenda [emoji3][emoji3]
Nikaona isiwe kesi, nikamuuliza nitaamini vipi sasa, akadai anakofanya kazi ana likizo tayari hivyo kabla hajaenda kwao atasafiri kuja kwangu atakaa wiki.
Sikuwa na kipingamizi, alisafiri na akapika na kupakua wiki nzima, kiukweli nilikuwa bado nampenda ila target yake kuu niliiona ni kuolewa maana ndan ya hiyo wiki akataka anitambulishe kwa baba ake, niliwaza sana na nilichokuja kugundua ni kwamba mambo yake hayakwenda vile alivyopanga hasa baada ya kufeli form 4,hivyo akaona mimi ndo option ya mwisho kwake.
Baada ya wiki aliondoka na ndo ukawa mwisho wa story, miaka 8 sasa imepita bado sijapata mbadala wake, bado najuta kwanini sikujenga naye maisha, hasira ziliniponza maana kuna ajabu gani mtoto wa o level kukukataa!
Mkuu fuata moyo wako, kama unampenda mchukue tu.. mimi nataman siku zirudi nyuma ila ndo hivyo haiwezekani!
Tena toleo jipya kontena kibao mtaani.Kaka apo 100% ni Jumba Bovu sikushauri kuwa nae...Apo karuka ruka wee kaona mambo sio mambo anae mtaka hamtaki sasa anatafuta atakae mtaka...cha kufia nini si alijitia jeuri funika kombe nasema funika. Nakushauri ivi kwasababu lolote litakalo kuja kutokea uko mbeleni tofauti na matarajio yako ndugu yangu utakuja kulalamika sana na utapata stress mbaya haijawai tokea.
Good thing ni kwamba alisha kutoka japo sio mazina as you said ila fanya mishe zingine mpotezee atakutoka kabisa. Wanawake wapo wengi Kaka songa mbele kama ambulance uku unalia. ukifika utanyamaza
Anafeli sanaTatizo la huyu mwamba anampenda sana prisca halafu anahisi hawezi kupata mwingine mithiri ya prisca
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]James Hadrey Chess....."Hit & Run"
enhe vp feedback?Nashukuru kwa kunishauri. Ntazingatia ushauri wako.
hovyo kabisa yan hawa viumbe kuwaelewa kazi kwel kwelTena toleo jipya kontena kibao mtaani.
Aachane na huyo aliyefeli...karingakaringa sasa hv anaona hana soko!
Hata mzigo asile, kwa sababu anaweza kung'ang'aniwa aoe mazima. Mie nashauri ampotezee. MOVE on mleta madaKula mzigo sepa huyo kafata future kwako tu
Hii comment imenifanya nitamani ungekuwa Dada yangu.Natamani JF ingekua na uwezo wa Kutuma Voice note...
Anyways huyo dada anajijua yeye mzuri sasa wewe hukua type yake wakati mpo shule akawa anacheza na monta wenu ndo alikua type yake. Kaenda UDSM keshachezewa vya kutosha type yake sio type zao sasa kaona arudishe mpira kwako kwa kua anajua ulikua unampenda at one point. Huyo akija jmoc anakuja tayari kwa kuliwa. Na ukimla tu basi hakuachi huyo. Danny Unataka kumla au hutaki? Kama unataka kumla kulipiza alivyokua anakukataa enzi za shule, hapa nakushauri kama mwanamke peleka hiyo manzi gesti/lodge tena usimfuk bila condom. Huyo sio manzi ya kula getto atakuganda sana. Piga pita hivi ikiwezekana hata kwako asipajue.... labda ana mimba anaitaftia baba. Akili kumkichwa.
Ukweli mwenyewe nimeshangazwa na jamaa kuomba ushauri kwenye hatari kama hii.Yale yale kijana mbichi anataka kuowa malaya!
"Hakupendi huyo, ila tu anakuja kwako kupooza machungu kwa sababu aliowataka yawezekana kagombana nao. Sasa we jiangalie wewe unampenda ama humpendi?".
Siyo maneno yangu ni maneno ya rafiki yako Kishore,hivi kwani wewe mgeni humu?huwa hukutani na mada zinazohusiana na kusisitiza sana kuowa mwanamke bikra?na huyo anayejitongozesha kwako kiasi hiko umri umeshamtupa na huko alikotoka hakuna hata aliyemwambia kwa utani nakuowa ameona bora ajiegeshe kwako na wewe unaweweseka kabisa “nataka kuowa sitaki kuchezea” umejipa muda kujiuliza wangapi wamemchezea hadi uje wewe kukokotana naye akimiliki kopo la choo cha stand katikati ya mapaja yake?
Acha undezi.....nakwambia tena acha UNDEZI!!!