Mada za uchumi awamu hii wanaziogopa coz mtu anaweza itwa mchochezi na anapotea na wasiojulikana 😂 😂, bora kujadili ujinga 🙈🙌🙌🙌Mada za mabaharia vijiweni ukijifanya unaleta mada za uchumi unaonekana snitich wana wanakutema kimtindo
Wanangu nawakubali sana
Kweli kabisa maana wangu anamwaga bila kuchezewa kisimi ndani kuna miguso utakayo gusa bao hiloo anatoa labda aseme mwanamke anahofia kujiweka kwa mwanaume sababu ya maumbile yake yalivyoKufika kileleni ni atafika tu kwakua kisimi siyo chenyewe tu chenye uwezo wa kufanya mwanamke afike kileleni.
Hilo la kwanza. La pili kuna utafiti ulionyesha ya kua kisimi ni zaidi ya haka kaishu ka hapa juu. Kimeanzia ndani mpaka huku nje, hata inayodaiwa ni G Spot actually ni sehemu ya kisimi ya ndani.
La tatu. Kumekua na ripoti za watu kufika kileleni kwa kupapaswa nywele au mikono, au kwa kupitia kuchezewa mknd so kukeketwa siyo mwisho wa mdada kufika kileleni.
Badala yake kukeketwa ina hatari zaidi ya kufika kileleni, mfano ni chanzo kikuu cha fistula na kumuachia mkeketwaji PTSD.
daah bora iwe hvyooMada za uchumi awamu hii wanaziogopa coz mtu anaweza itwa mchochezi na anapotea na wasiojulikana , bora kujadili ujinga
HABARI ZENU WAKUU, kuna story leo kijiweni kwetu tulikua tunaizungumzia wadau wanadai eti mwanamke aliekeketwa hawezi fika kileleni wala hana hamu na tendo Je nikweli au niuzushi tu? Nawasilisha ✍️
Waje kina nani waliokeketwa au?