Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Habari, nataka kuagiza simu ya apple kule apple store, nataka kujua kama kuna mdau yeyote alisha wahi agiza na changamoto zipi alipitia mpaka kuipata..
1. Gharama ni ile ya pale uliolipia naada ha ku checkout au kuna ziada baada ya kufika
2. Ilikuwaje? Hukubadilishiwa? Ilikubali kwa network zetu za bongo?
N.K ….
1. Gharama ni ile ya pale uliolipia naada ha ku checkout au kuna ziada baada ya kufika
2. Ilikuwaje? Hukubadilishiwa? Ilikubali kwa network zetu za bongo?
N.K ….