Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,450
- 3,379
Fanya kazi acha majunguWe jamaa ni mpumbavu Sana Yan kichwani hamna kitu huna creativity kabisa....
Sent using Jamii Forums mobile app
😂Niliitwa na katoto ka kike hadi kwenye mahindi,
Kakanifunulia gauni.. mimi nae ni nan kipind hicho nikala nduki (nikakimbia home).
Yaani hizi mada hamjui Kama zinawaathiri vipi watu na kuwaangusha
Wengine ndo huja na majuto sijui ya kuuza mechi
NGONO SIO OXYGEN...TUPUNGUZE KUTUKUZA NGONO,TUPAZE SAUTI KUTANGAZA ATHARI ZA NGONO PIA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja ntie neno hapa....
Nshawahi kula tunda kwa mbinde sana kwa bidada mmoja hiv...
ILIKUA HIVI...
Wakati tuko advance kuna binti mmoja hivi nimuite Sarah,alikua classmate wangu O'level baadae akahama,matokeo ya kidato cha 5 yalipotoka tukawa tunawasiliana katika mawasiliano nkamtongoza binti akakubali,wakati huo yeye yuko morogoro nami nko dar..wiki chache baadae kila mmoja ikabidi akaripoti shule,yeye alipangwa morogoro palepale mimi nkapangwa moja ya mikoa ya kaskazini...
Basi mapenzi ya kwenye simu yaliendelea kila weekend tulikua wenye kutafutana tukawa tunawasiliana na kila kitu kikawa sawa.
Likizo ya mwez wa 12 nkarudi moro...nae pia akawa moro...nkamuomba tunda akawa anapiga chenga basi bhana ile likizo nzima sikupata kitu...nkarejea shule patupu....huku ahadi yake ikiwa ni likizo ijayo yaani ya mwezi wa 6....
Tukaendaaa likizo ya kidato 5 mwezi wa sita nkarudi tena moro...mtoto namuomba mechi yeye anabadili mada...daah nkaona hili zahma gani sasa...nkaona sio kesi....nlipoingia form 6 tu nkamtumia mesej hukohuko kuwa mimi na yey basi...mtoto akalalamika sana,mi nkawa nmempotezea lakin yule binti alintafuta sana sikutaka kumuelewa...hakukata tamaa aliendelea kunshawishi baadae nkakubali tukarud penzini...likizo ya mwezi wa 12 tupo form 6 ikafika nkarudi moro..
Bado zoezi la yeye kutoa mechi likawa gumu....nkaona isiwe tabu nkamtia kadi nyekundu tena...hakuchoka akawa anaomba msamaha turudiane lakini sikutaka kurudi nyuma nkachukua hatua kali zaidi...nkafuta namba yake na nkambloku....akawa anawatafuta marafiki zangu anaongea nao na wao wanantafuta kunisihi nisimwache nifanye hata kumuigizia tu lakini sikukubali....
Siku zikaenda tukamaliza kidato cha sita nkarudi moro...nkampata binti mmoja shombeshombe (nlimla kimasihara,story yake ntaandika kwenye uzi pendwa) nkawa najilia vyangu kwa huyo binti......Sarah akantafuta tena akanisihi turudiane hatimae nkajipata nko nadate nae tena
Akachaguliwa jeshi kambi moja hivi nami pia nkachaguliwa ila kambi moja mikoa ya kusini.... mapenzi yakaendelea kwenye simu wakati huu nna shombeshombe wangu na huku sarah nampelemba...karudi nkampanga kuhusu mechi akakubali
Basi baharia nkatafuta lodge nkamseti mtoto akaja nkasema leo nakula vitu...basi huku na huku zoezi likashindikana nkafosi sana nlitumia mbinu zangu zoote ila ikawa nmelipa pesa ya bure na hakuna lilotokea...nkaapa tokea siku ile mimi na yeye BASI.
kidume nkamchunia,huku nakula neema ya shombeshombe habari sipati,sarah akajiseti tena....sijui nlikumbwa na nini nkamkubali tukawa tunaishi kama mtu na dadàe (yaani nlikubali kuwa nae tu kumridhisha,bila tunda) mpaka selection za chuo zilipotoka,tukachagua vyuo tofauti akabaki mororgoro nami nkapapenda dar....basi ile mwezi wa 11 nkatimkia dasalama kwaajili ya masomo....huku penzi na shombeshombe alekuwa kidato cha 6 wakati huo likiendelea kunoga haswaaa sarah nae alkua akipambania kombe kwa nafasi yake.
Sasa wakati niko chuo..nikawa namseti sarah kwamba nikirudi asinfanyie kama alivyofanya siku za nyuma akanijibu nisijal atanipa tunda.basi kwa matumaini makubwa baada ya kumaliza tests nkajirudisha moro...wao walichelewa kufunga...nkawa namsubiri
siku ya siku akawa karejea home... nkamkumbushia ile ahadi ya tunda akawa ANAPIGA CHENGA TENA....nakumbuka siku hyo nlikutana nae mahali nikawa nampanga kuhusu mechi akakataa eti nisubiri mpaka mwezi wa pili,daah nlimjibu kistaarabu tu huku namfanyia mzaha kwa majibu yake nae akawa anacheka akadhani nmeridhika kungoja mpaka mwezi wa pili......kidume nlimsindikiza kwao huku nkiwa natabasamu kabisa kuficha hasira nlizonazo...nliporudi home usiku saa 6
Nkamtumia ujumbe "mimi na wewe tuachane maana hatuendani"
Kisha nkafuta namba yake nkavuta shuka nkalala nkiamini kesho naianza siku mpyaaaa
Asubuhi siku ya jmos ambayo alitaraji kurudi chuo kukakucha....hakujibu kitu nami nkaendelea na pilikapilika zangu tuu.....simu ikawa inanletea shida siku hiyo hivyo nkaelekea kwa fundi kuirekebisha...basi ile fundi ananipa simu yangu tu baada ya matengenezo inaingia text namba ngeni "mamb"
Me: poa
Sarah: yani ndo umeniacha?
Me: ndio
Sarah: nambie kimoja ndo umeniacha??
Me: ndio nmkuacha maana hatuendani
Sarah:sawa
Sarah: ila nakuomba nkiwa nakutafuta ujibu meseji zangu na upokee simu zangu maana nmekuzoea sana siweizi ishi bila wewe
Sikujibu meseji yake,huku siku za kurudi chuo zikiwa zinasogea...sarah akawa anafanya jitihada za kuongea na watu wangu wa karibu ili turudiane..akatuma tena meseji kuwa kashindwa kurudi chuo kisa anaumwa kwa ujumbe nlomtumia jana yake...
Mimi sikujibu kitu....akatuma tena meseji nyingine kuwa anaondoka jpil anaomba nimsindikize
Nkamkubalia...basi ilipofika muda akanistua nkamchukua boda haoo mpaka stendi akapanda gari mi nkarejea home....usiku kanipigia simu tukaongea kidogo usiku ule simu ikakata....tukahamia kwenye kuchati
Katika mazungumzo akauliza kwanini nmemuacha nkamjibu siwezi kuwa nae kama hataki kunipa tunda,akasema kama nataka kesho yake ambayo ilikua tarehe 1/1/2020 niende maeneo ya morogoro mjini ntapata nnachokitaka basi nikakubali kwenda lakin nlikua nkiwaza sana vipi nikienda na yeye asitokee au atokeee na aninyime?
Nkapuuza fikra zile,Nkajilipua mwanaume nkapanda gari huyooo mpaka moro town...kwanza nikatafuta sehemu nikapiga msosi wa maana kisha nkatafuta Lodge safii ambayo nlipanga aidha kulala mwenyewe au kulala nae kiufupi nlijipanga kwa lolote maana hakuwa wa kutabirika...nlipomaliza kula nkampigia simu
Akanambia ndo anatoka chuo...saa 4 usiku hiyoo.... kidume nkajipa moyo nimsubiri,nkakaa barabarani kuvuta time mpaka afike...baada ya dakika 20 simu inaita anauliza uko wapi nkamuelekeza kweli binti akafika cha kwanza akanikumbatia na tabasamu tele usoni nkawa sielewe elewi ila nikapiga moyo konde...nikamwambia twende tukale akajibu yeye keshakula nikasisitiza tukale ila akashikilia kuwa keshakula, basi nokamtafuta boda nikampa maelekezo atupeleke kule lodge nlibook chumba
Punde tukafika mpaka chumbani...nkampigisha story story akawa anafurahi mwenyewe...nkaanza mipapaso mtoto anaitika...nkaona miaka miwili nliovumilia leo ndo italipa huku na huku nkatoa blauzi alokua amevaa kikabaki kifua kitupuu naona chuchu tu nkazifakamia kwa hasira...nkahamia chini katika purukushani nkafanikiwa kuitoa chupi alovaa... nakumbuka nilipiga deki ili kupunguza mkataa alokua nao akilini, katika hili nlifanikiwa hakuleta upinzani mkubwa kutokana na myegeo aloupata...nkashika miguu sasa naingiza dushe naona haiingiii....kumbe ni kabikira asee
Nkasema leo ndio leo....nkakazana kidume polepole mpka dushe ikazama hapo nkajisemea "mshindi mimi" nkamwambia akajisafishe mtoto akanyanyuka kuelekea bafuni nikawa natazama mzigo aloubeba mtoto alikua na umbile zuri sana ... yaani katika umbile sioni cha kumkosoa...
Akarudi toka bafuni sasa balaa likawa hapa...kwanza akabadilika akawa si mcheshi tena halafu kalala kajifunika na shuka hasemi kitu...nikawa nauliza shida nini mama mbona hivyooo...nkabembeleza sana ndo akaja kusema...kumbe alikua na habari zangu zoooote kumhusu yule shombe alichonambia ni kwamba "nmekupa unachokitaka sasa utulie sitaki tena nkusikie upo na yule mwarabu wako"
Mi kusikia hvyo nkawa mdogo kimtindo nikaomba msamaha akaelewa....nkampapasa tena akajaa nkambanjua tena.....hatukulala usiku huo maana hasira nlizokuwa nazo dushe likikuwa linasimama masaa yote tu kukojoa ni baada ya dakika 50 mpaka akawa anachukia lakin kidume sijali....asubuhi kukacha...sikurudi home nkampigia simu bi mkubwa na mzee nkawaaaga nikatafuta Abood huyoo nkatembea dasalama...maana kuna demu alikua anasubiri shoo nae aliahidi kabla hatujafunga kuwa nikirudi ana zawadi yangu ambayo ni tunda...
Nawasilisha....
LeoSisi ambao hatuna papara na hayo makitu sijui uzi wetu utapandishwa lini.
Ndiyo mkuu tupo pamoja ila mambo yanaelekea ukingoni
Vipi mkuu kwa upande wako hukuwahi kukutana na kisanga cha aina hii?
Anzisha uzi wa Ukimwi uone kama watu watajaa kama kule kwa masiharaYaani hizi mada hamjui Kama zinawaathiri vipi watu na kuwaangusha
Wengine ndo huja na majuto sijui ya kuuza mechi
NGONO SIO OXYGEN...TUPUNGUZE KUTUKUZA NGONO,TUPAZE SAUTI KUTANGAZA ATHARI ZA NGONO PIA
Sent using Jamii Forums mobile app