cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,289
Kitubio kinahitajika kwa kwelihuruma. Ni zahma
Kwan unadhan humu kuba masikhara bas dea? Michosho tyuuh hapa lolNajaribu kupitia match zangu ila sioni hata moja ya kimasihara![]()



Aaaaah wapi, yaaan tunachonga fresh kabisa hapa afu iwe mzaha, hapan kwa kweliTunatafuta mazingira ya kimaskhara.. tunayapata




Mengi yasiwe mambo, endelea kufurahia kimasihara..Aisee kwani nimekukosea nini? Ni suala la id tu au una mengine??
Mbali na kwamba sina hizi dhambi kihivyo kwakweli mbona kama hizi dhambi zako nimezipenda sana
Mbona dhambi zako ni nzuri sana jamani. Na zinanukiaheh.... ila una ujasiri balaaaa. Khaaa... me wishing u all the bests aiseee.
Kumbe kuna level za dhambi? Walokole wenzangu munasemaje juu ya hili![]()







daaaaahUnajishusha ni vile hujui tu.Mengi yasiwe mambo, endelea kufurahia kimasihara..
ikikupendeza tupia kisa chako
Nimekushangaa sana, heshima ni kitu cha bure.Mengi yasiwe mambo, endelea kufurahia kimasihara..
ikikupendeza tupia kisa chako
heheheehKatika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.
Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana.
Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.
Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?
===========
TAKE NOTE:
===========
Moderator: Hii thread imerejeshwa na owner wa mjadala amekuwa rikiboy kama ilivyoombwa na wadau. Mnaombwa kuzingatia lugha katika uwasilishaji wa maoni
Yaan namshangaa mpaka saa hii sijamuelewa kabisaUnajishusha ni vile hujui tu.
daaaaah




imagine mtu anaelezea dhambi zake na unajisikia vizuri kama ninj wala huoni tatizo. We hujazipenda shoo? Nzuri hizooo...

Endelea kujichekeshaNinacheka hapa
Nisamehe mimi
Nimekosa sana
Nakubali chief, nimekuwa mzembe hadi najishangaa! Muda mwingine huwa naacha ili maisha yaendelee!Wewe ndio Mzembe wa kwanza kukuona kwenye huu uzi.
Na hivi ni mume wa mtu ukuye alipewa night stand ila kwenye kuomba rematch akapigwa TKO moja matata akaishia kulilia tu. Watu wana roho mbaya nyieeeedaaaah
😂😂 FAnya tukutane campus, afu utaonaAaaaah wapi, yaaan tunachonga fresh kabisa hapa afu iwe mzaha, hapan kwa kweli![]()
Lazma lipo , kama halipo basi lipo njianiaaah wapi. Siwezagi kuwa na ids 2. Na hata ingewezana ningetumia kbs jina langu official. Mimi ni good story teller ila hapana sina hayo matukio ya kihalifu kihivyo kwakweli. Nilivyo na kauoga kangu? Hataaa.
Huyo alitisha San ni legendary kwa kweli, hebu appy na ukitoa convey nitag.imagine mtu anaelezea dhambi zake na unajisikia vizuri kama ninj wala huoni tatizo. We hujazipenda shoo? Nzuri hizooo...
Naona kama ndo kachukua kombe hivi... ujue nadra sana kukumbana na maplay girls eh? Kama niapply hivi mambo yake![]()



