Nipo mkuuNaona ushatia timu mzee mwenzangu

Wanasema Mungu na mbio, karibu ila humu unaweza kujikuta wewe ndo unapewa NENO.






yani nimepiga makofi kama niko bungeni baada ya kuuona uzi huu pendwa...
.
haya wadau tuendelee kushusha mastor masiara yaliyotokea wakt uzi wetu upo likizo...
Woyoooo uzi wetu umerudiiiii![]()
Nipo mkuu
Vijana wanataka kunifukuza![]()
Mkuu sumbai karibu,
Tunakuomba ukaimu ukatibu wa uzi.
Hamjafanya malipo ya rufaa nasubiri malipo yanguTumeshinda rufaa yetu![]()
Hamjafanya malipo ya rufaa nasubiri malipo yangu
Nipo hapa wakili wenuNaomba kujua jina la Wakili wetu.
Nipe hapa






Toka hapaNipo mkuu
Vijana wanataka kunifukuza![]()