mboperatransy
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 316
- 1,293
Jambo kama jambo
Hujawahi kuzini?wazinzi wazinzi tu
Kilichokuleta nini wewe Mtakatifu wa Kusini?Naona wazinzi wote mnafurahi![]()
NdioHujawahi kuzini?
Kuwa patia neno la BwanaKilichokuleta nini wewe Mtakatifu wa Kusini?


Wanasema Mungu na mbio, karibu ila humu unaweza kujikuta wewe ndo unapewa NENO.Kuwa patia neno la Bwana![]()
Naona ushatia timu mzee mwenzanguKuwa patia neno la Bwana![]()
Naomba kujua jina la Wakili wetu.Hatimaye tumeshinda rufaa
Ban uliyopewa ilikuwa kisa nini?Eeeh...kumbe hii Bado ipo?..