willpower
JF-Expert Member
- Dec 3, 2019
- 412
- 2,346
Mtaani kwetu, jumamosi majira ya saa 11 alfajiri naitwa kupitia dirishani na mmoja wa wapangaji wenzangu.
Nauliza tatizo, ananiambia ndugu zake wanasafiri lakini dereva bajaji waliyekubaliana awapeleke ubungo hapokei simu.
Naamua kumpigia bajaji ninayemtumia kwa safari za alfajiri na hatimaye anakuja.
Nasaidia kuweka mabegi yao na hatimaye wanaondoka.
Tunabaki nje na jirani, stori mbili tatu anasema yeye akiamka mapema huwa hawezi kurudi kulala tena.
Namwambia muda wa watu kupata "morning glory" huu. Anacheka huku anaelekea chumbani kwake.
Nami narudi chumbani kwangu huku na kupanda kitandani kumaliza usingizi wangu.
Dakika kadhaa dada anarudi na kufika dirishani kwangu huku akisema ndugu zake wamesahau kubeba chapati alizowaandalia. Nainuka kichovu kuelekea mlangoni, nafungua mlango. Dada hakuniuliza chochote, anavuka kizingiti cha mlango na kuingia ndani.
Kumsogeza kitandani, pandisha dera juu nikajilia vyangu.
Nauliza tatizo, ananiambia ndugu zake wanasafiri lakini dereva bajaji waliyekubaliana awapeleke ubungo hapokei simu.
Naamua kumpigia bajaji ninayemtumia kwa safari za alfajiri na hatimaye anakuja.
Nasaidia kuweka mabegi yao na hatimaye wanaondoka.
Tunabaki nje na jirani, stori mbili tatu anasema yeye akiamka mapema huwa hawezi kurudi kulala tena.
Namwambia muda wa watu kupata "morning glory" huu. Anacheka huku anaelekea chumbani kwake.
Nami narudi chumbani kwangu huku na kupanda kitandani kumaliza usingizi wangu.
Dakika kadhaa dada anarudi na kufika dirishani kwangu huku akisema ndugu zake wamesahau kubeba chapati alizowaandalia. Nainuka kichovu kuelekea mlangoni, nafungua mlango. Dada hakuniuliza chochote, anavuka kizingiti cha mlango na kuingia ndani.
Kumsogeza kitandani, pandisha dera juu nikajilia vyangu.


