Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mtaani kwetu, jumamosi majira ya saa 11 alfajiri naitwa kupitia dirishani na mmoja wa wapangaji wenzangu.
Nauliza tatizo, ananiambia ndugu zake wanasafiri lakini dereva bajaji waliyekubaliana awapeleke ubungo hapokei simu.
Naamua kumpigia bajaji ninayemtumia kwa safari za alfajiri na hatimaye anakuja.
Nasaidia kuweka mabegi yao na hatimaye wanaondoka.
Tunabaki nje na jirani, stori mbili tatu anasema yeye akiamka mapema huwa hawezi kurudi kulala tena.
Namwambia muda wa watu kupata "morning glory" huu. Anacheka huku anaelekea chumbani kwake.
Nami narudi chumbani kwangu huku na kupanda kitandani kumaliza usingizi wangu.
Dakika kadhaa dada anarudi na kufika dirishani kwangu huku akisema ndugu zake wamesahau kubeba chapati alizowaandalia. Nainuka kichovu kuelekea mlangoni, nafungua mlango. Dada hakuniuliza chochote, anavuka kizingiti cha mlango na kuingia ndani.
Kumsogeza kitandani, pandisha dera juu nikajilia vyangu.
 
Mtaani kwetu, jumamosi majira ya saa 11 alfajiri naitwa kupitia dirishani na mmoja wa wapangaji wenzangu.
Nauliza tatizo, ananiambia ndugu zake wanasafiri lakini dereva bajaji waliyekubaliana awapeleke ubungo hapokei simu.
Naamua kumpigia bajaji ninayemtumia kwa safari za alfajiri na hatimaye anakuja.
Nasaidia kuweka mabegi yao na hatimaye wanaondoka.
Tunabaki nje na jirani, stori mbili tatu anasema yeye akiamka mapema huwa hawezi kurudi kulala tena.
Namwambia muda wa watu kupata "morning glory" huu. Anacheka huku anaelekea chumbani kwake.
Nami narudi chumbani kwangu huku na kupanda kitandani kumaliza usingizi wangu.
Dakika kadhaa dada anarudi na kufika dirishani kwangu huku akisema ndugu zake wamesahau kubeba chapati alizowaandalia. Nainuka kichovu kuelekea mlangoni, nafungua mlango. Dada hakuniuliza chochote, anavuka kizingiti cha mlango na kuingia ndani.
Kumsogeza kitandani, pandisha dera juu nikajilia vyangu.
mkuu siku yako ilianza vizuri
 
Mtaani kwetu, jumamosi majira ya saa 11 alfajiri naitwa kupitia dirishani na mmoja wa wapangaji wenzangu.
Nauliza tatizo, ananiambia ndugu zake wanasafiri lakini dereva bajaji waliyekubaliana awapeleke ubungo hapokei simu.
Naamua kumpigia bajaji ninayemtumia kwa safari za alfajiri na hatimaye anakuja.
Nasaidia kuweka mabegi yao na hatimaye wanaondoka.
Tunabaki nje na jirani, stori mbili tatu anasema yeye akiamka mapema huwa hawezi kurudi kulala tena.
Namwambia muda wa watu kupata "morning glory" huu. Anacheka huku anaelekea chumbani kwake.
Nami narudi chumbani kwangu huku na kupanda kitandani kumaliza usingizi wangu.
Dakika kadhaa dada anarudi na kufika dirishani kwangu huku akisema ndugu zake wamesahau kubeba chapati alizowaandalia. Nainuka kichovu kuelekea mlangoni, nafungua mlango. Dada hakuniuliza chochote, anavuka kizingiti cha mlango na kuingia ndani.
Kumsogeza kitandani, pandisha dera juu nikajilia vyangu.
Hahahahah, Mkuu hizo chapati alizosema kumbe ilikuwa yale mashavu mawili, ya kwenye mlango wa uzazi!? Maana inaonekana umezichomoa kwenye hotpot (dera) ukazitafuna Asubuhi Asubuhi!!!
 
Daah!! Mkuu siku njema uonekana Hasubuhi ongera sana mkuu
Mtaani kwetu, jumamosi majira ya saa 11 alfajiri naitwa kupitia dirishani na mmoja wa wapangaji wenzangu.
Nauliza tatizo, ananiambia ndugu zake wanasafiri lakini dereva bajaji waliyekubaliana awapeleke ubungo hapokei simu.
Naamua kumpigia bajaji ninayemtumia kwa safari za alfajiri na hatimaye anakuja.
Nasaidia kuweka mabegi yao na hatimaye wanaondoka.
Tunabaki nje na jirani, stori mbili tatu anasema yeye akiamka mapema huwa hawezi kurudi kulala tena.
Namwambia muda wa watu kupata "morning glory" huu. Anacheka huku anaelekea chumbani kwake.
Nami narudi chumbani kwangu huku na kupanda kitandani kumaliza usingizi wangu.
Dakika kadhaa dada anarudi na kufika dirishani kwangu huku akisema ndugu zake wamesahau kubeba chapati alizowaandalia. Nainuka kichovu kuelekea mlangoni, nafungua mlango. Dada hakuniuliza chochote, anavuka kizingiti cha mlango na kuingia ndani.
Kumsogeza kitandani, pandisha dera juu nikajilia vyangu.
 
Bas nimeshindwa kula kimasikhara leo kisa ndomu, mtoto wa watu kaondoka ivi ivi sijui kanionaje daaaaah ,
Back up plan ya tende inakuhusu,,uwe nazo muda wote unakula kwa ajili ya afya Mzee kipara hatakuja k kuangusha .
 
Mtaani kwetu, jumamosi majira ya saa 11 alfajiri naitwa kupitia dirishani na mmoja wa wapangaji wenzangu.
Nauliza tatizo, ananiambia ndugu zake wanasafiri lakini dereva bajaji waliyekubaliana awapeleke ubungo hapokei simu.
Naamua kumpigia bajaji ninayemtumia kwa safari za alfajiri na hatimaye anakuja.
Nasaidia kuweka mabegi yao na hatimaye wanaondoka.
Tunabaki nje na jirani, stori mbili tatu anasema yeye akiamka mapema huwa hawezi kurudi kulala tena.
Namwambia muda wa watu kupata "morning glory" huu. Anacheka huku anaelekea chumbani kwake.
Nami narudi chumbani kwangu huku na kupanda kitandani kumaliza usingizi wangu.
Dakika kadhaa dada anarudi na kufika dirishani kwangu huku akisema ndugu zake wamesahau kubeba chapati alizowaandalia. Nainuka kichovu kuelekea mlangoni, nafungua mlango. Dada hakuniuliza chochote, anavuka kizingiti cha mlango na kuingia ndani.
Kumsogeza kitandani, pandisha dera juu nikajilia vyangu.
Safi sana 'morning glory' swadakta!
 
Natoka mwanza kuja kahama kwa gari ya ofisi,Dem mmoja wa chuo katuomba lift tukampa. Tumefika ofsn tukasign out then nikachukua pikipiki ya ofisi ambayo huwa naitumia ili nimsindikize kwao Ila nkamwambia tupite geto ili nkabadilishe nguo Dem kakubali. Tumefika him dem kagoma kuingia ndan nikamtishia nje sio kuzuri akaingia. Kulikuwa na kabarid so nkachukua Sweta nkampa akakataa nkamwambia ntalichukua nkimfikisha akavaa nikampiga picha tukasepa. Nikipodrop kwao nkachukua namba nkageuka hom. Chatting zetu hazikuwa nzuri Sana maana mwenzangu alikuwa anajibu kwamkato. Siku moja nikaona nitinge kwao nikamkuta narafiki take nkamwomba aje kunitembelea akakubali kwa sharti la kuja na rafiki yake.
siku ya bahat.
Weekend moja mchana wakaja. Ile wanaingia wakakuta bonge la picha nililompiga akiwa na Sweta langu halafu nimeandika maneno flan hv. Wakati anajiandaa kuniuliza Mara rafiki yake akapigiwa cm na mama yake sense dukan akaahid atampitia akirud. Kifupi ananyonyesha na anadi anampango na mm
 
Natoka mwanza kuja kahama kwa gari ya ofisi,Dem mmoja wa chuo katuomba lift tukampa. Tumefika ofsn tukasign out then nikachukua pikipiki ya ofisi ambayo huwa naitumia ili nimsindikize kwao Ila nkamwambia tupite geto ili nkabadilishe nguo Dem kakubali. Tumefika him dem kagoma kuingia ndan nikamtishia nje sio kuzuri akaingia. Kulikuwa na kabarid so nkachukua Sweta nkampa akakataa nkamwambia ntalichukua nkimfikisha akavaa nikampiga picha tukasepa. Nikipodrop kwao nkachukua namba nkageuka hom. Chatting zetu hazikuwa nzuri Sana maana mwenzangu alikuwa anajibu kwamkato. Siku moja nikaona nitinge kwao nikamkuta narafiki take nkamwomba aje kunitembelea akakubali kwa sharti la kuja na rafiki yake.
siku ya bahat.
Weekend moja mchana wakaja. Ile wanaingia wakakuta bonge la picha nililompiga akiwa na Sweta langu halafu nimeandika maneno flan hv. Wakati anajiandaa kuniuliza Mara rafiki yake akapigiwa cm na mama yake sense dukan akaahid atampitia akirud. Kifupi ananyonyesha na anadi anampango na mm
Hapo mwishoni kaa utulie umalizie vizuri.
 
Mtaani kwetu, jumamosi majira ya saa 11 alfajiri naitwa kupitia dirishani na mmoja wa wapangaji wenzangu.
Nauliza tatizo, ananiambia ndugu zake wanasafiri lakini dereva bajaji waliyekubaliana awapeleke ubungo hapokei simu.
Naamua kumpigia bajaji ninayemtumia kwa safari za alfajiri na hatimaye anakuja.
Nasaidia kuweka mabegi yao na hatimaye wanaondoka.
Tunabaki nje na jirani, stori mbili tatu anasema yeye akiamka mapema huwa hawezi kurudi kulala tena.
Namwambia muda wa watu kupata "morning glory" huu. Anacheka huku anaelekea chumbani kwake.
Nami narudi chumbani kwangu huku na kupanda kitandani kumaliza usingizi wangu.
Dakika kadhaa dada anarudi na kufika dirishani kwangu huku akisema ndugu zake wamesahau kubeba chapati alizowaandalia. Nainuka kichovu kuelekea mlangoni, nafungua mlango. Dada hakuniuliza chochote, anavuka kizingiti cha mlango na kuingia ndani.
Kumsogeza kitandani, pandisha dera juu nikajilia vyangu.
Sasa haya ndo masikharaa haswaa
 
Sikusifii kwa jinsi ulivyowakaza hao wanawake ila nikupongeze tu wa jambo moja toka nimeanza kusoma visa vya wadau kwenye huu uzi naona angalau wewe unakumbuka kutumia zana.
Hamu ya siku moja tu inaweza kukuharibia future nzima ya maisha yako, sijui wengine wanapata wapi unajasiri wa kufanya mapenzi bila kinga, aiseh Mungu awasaidie sana.

*Wakati fulani kuna bar moja nilikua napenda sana kwenda kuangalia mpira (Epl) ila bar acha masihara, ina wanawake wazuri wenye kila sifa (wahudumu) waliokamilika kila idara, kuanzia sura, shape, makalio makubwa ndio usiseme, kifupi walikua kama kivutio cha utalii, ile bar wazungu wengi walikua wanapenda kufika sana kifupi ilikua classic kwenye kila kitu.
Kufuatia kwenda na kushinda pale kila weekend, nilitokea kuzoeana na dada mmoja hivi, mrembo balaa, since hakuna mtu ambaye hajawahi ku watch porn yule dada alikua anafanana sana na "Cherise Roze" mwanzo yule dada alikua anajibebisha (mdangaji) alitaka nikamtafune kwa elfu 60, nikamwambia hio pesa sina, tulivyotokea kua ma best akawa anataka hata bure tu nikamkaze. Nilimwambia kwa kazi yake na aina ya maisha anayoishi hata kwa kondom mia siwezi, nashukuru mwisho wa siku alinielewa na tukaishia kua marafiki, na katika urafiki huo nilikua na lengo la kumsaidia aachane na aina hiyo ya maisha aliyokua nayo, bahati mbaya sikufanikiwa kwa sababu baada ya muda fulani mkataba wake wa kazi uliisha akahamia sehemu nyingine tukaishia kuwasiliana kwa simu.

Lengo la kuandika hili bandiko, ni hili, katika siku tulizojuana na yule dada nilijifunza kitu kimoja kutoka kwake, yule dada alinieleza ukweli (uhalisia) aliniambia hivi namnukuu

"Katika maisha yako yote usimuamini mwanamke hata kama akiwa mke wako wa ndoa, mimi ni mwanamke na nimefanya kazi bar mbalimbali katika uzoefu wangu wa kazi hii nimekutana na nimeona mambo mengi, nimeona wake za watu wakigongwa, wanavyuo wakidanga, watoto wa kike wa mitaani, ma house girl wakiliwa kifupi nimeshuhudia uchafu mwingi kwa wanawake mbalimbali, japo waaminifu wapo ila katika mia moja unaweza kukuta hata kumi hawafiki, akaniambia tena katika maisha yako yote "USIFANYE MAPENZI NA MWANAMKE YOYOTE YULE BILA KINGA, HATA AWE BIKRA (wapo wanaozaliwa navyo)" utakuja kufa kwa ukimwi.

Nakumbuka nilimuuliza mfano kama nimeoa hata mke wangu nitumie kinga, alinijibu "Kwa mkeo sawa nenda dry ila usimuamini kabisa kama inawezekana siku ukiwa na familia jenga mazoea ya kupima afya kila baada ya kipindi fulani.

Yule dada alinipa elimu kubwa sana mambo mengine mengi siwezi kuyaandika hapa. Ila nitoe wito kwa kaka zangu, wengi humu familia zetu zinatutegemea uwe umeoa au ujaoa "ukiacha mke na watoto bado wazazi wetu pia wanatutegemea tuwape back up ili wa survive, siwasemi vibaya watu wenye maambukizi hapana, ila kijana ukiupata huu ugonjwa kuna energy fulani ya kupambana na maisha inapungua.

Msisahau kutumia zana, pamoja na ugwadu sio kila msichana na wa kupita nae.
Samahani sana kama nimeharibu uzi ila wakati tunafurahi kula tunda kimasihara tusijisahau tukaja kufa kimasihara.
Mkuu tangia nianze kuusoma uzi huu miezi michache iliyopita leo ndio nimekoment. Nini kilichonifanya nikoment? Ni aina ya ushauri ulioutoa na maudhui yake kiujumla. Pamoja na kwamba sometimes tunacheat wenza wetu inapobidi (kuna mazingira cheatings haziepukiki) hongereni wale mnaoweza kwa namna yeyote ile ila ZANA TUSISAHAU
 
Mkuu tangia nianze kuusoma uzi huu miezi michache iliyopita leo ndio nimekoment. Nini kilichonifanya nikoment? Ni aina ya ushauri ulioutoa na maudhui yake kiujumla. Pamoja na kwamba sometimes tunacheat wenza wetu inapobidi (kuna mazingira cheatings haziepukiki) hongereni wale mnaoweza kwa namna yeyote ile ila ZANA TUSISAHAU
Shukrani mkuu tutendelee kujilinda.
 
Back
Top Bottom