jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,350
Nakumbka ilikuwa 2012 maeneo ya uknga nimepng na mwngu nyumb moja ila kila MTU na gto lake
Ilikuw burdan sn maisha Yale maana kila join lzma tukutane kijiweni kW ajili ya str mbili tatu baada ya harakati za maisha
Dah! SKU isiyokumbukw jna si ndo wakahamia wapangji wawili MTU na dada yake baas
Kumbe mmoja pale ni shetani mvunja amani
Kwanza balaa lilianza palepale str zikbadlika tukwa tunawajadili wao tuu
Ooh! Mi wngu yule mwna huyo ananiambia akimaanisha mdg mtu.. Mi nikamjibu we tu hta ukiwataka wote kaz kwk hii inaitwa kifo cha mbuzi kW muuza supuu na wakati huo mwna ndo katoka kukimbiw na dem aliyekuwa anaishi nae binafsi huwa snaga muda hasa mwna akisema ile niachie
Basi mwna akaanzsha harakt kujipendkeza kw sna tu shda ikaja dgo kumuelewa ikawa shuhuli mwna akiingia huku dm anatokea huku basi ikaw tafrani
Isiwe tabu jamaa yng akaona bora amtumie dada MTU na mwna alidhamiria kweli kuishi nae
Dada mtu alikuw mtu wa tamaa c ndo akaanza kumvuna jmaa akimtumia mdg ake.. Jamaa akaona mbona mkwnja unakata halafu matokeo sioni so ikabid aanze kudai pesa zake Dada mtu kuambiwa ikabidi amkalishe mdg ake... Jiongeze we!
Kwl km utani jamaa akafanikiwa kuamsha goma lile ila kW dgo ilikuw shngo upande
Wakati huo mi hta str na dgo wala dd mtu cna zaidi ya salaam tu baas
Kula tunda kimasihara picha linaanza narudi zngu maskani mida ya sa mbili kasoro usk namkuta DM kakaa nje jirani na kijiwe chetu mi salam nikapta
Sjafika mbali naskia kk samahani nataka tuongea... mm Haina shda nikarudi nikakaa
Niambie dd! Samahani! Mi. Bila samahani .... Wamama wanalalamika ukienda kuoga unavaa vbaya taulo... Mi. Navaaje? Hasemi ila akaniambia uwe tu unavaa na kaoshi ukienda kuoga
M. Sawa nimekuelewa dd
Mi naenda kula nikamuacha nikaingia zng ndani nikafnya kilichonipeleka km dk mbili tatu HV natoka sasa niende kula naombw kusindikizwa na wakt huo wote jmaa hajarudi
Twenzetu tukaongozna na demu mi nimegonga msosi tunarudi namkuta mwna amepoa kijiwen na dgo kumbe alishamuulza dgo na wakat tunatoka alituona baada ya salaam dah! Mi full kujiongelesha maana hta SKU moja skuwahi kuwa na mazoea na dem Leo inakuaje mpk nimetoka nae na nnjiani zaidi ya utani dm wal hakukuwa na dalili yoyte km ningekula tunda
Tukakaa pale na mwna ila kadri muda ulivyokuwa unaenda str pale zilkuwa hazieleweki
Naona mwna anaaga ..oya! Mi naenda kulala..dah! mi pia ilibdi niage wakati huo tuko pmj na dem
Nae akaondoka maana hpo kunguru kishasema kila MTU kwao tenaa
Naingia ndani nacheki muda sa tano kasoro nasaula nachukua taulo nikaoge nakuta bafuni kuna mtu isiwe tabu uswhilini tenA mi choon nikapga maj natoka nakutana na dm ndo alikuwa anaoga nikamchomekea ningejua km ww ningekujata tuoge wote
Kumbuka wakati huo jamaa alishaingia kwk mda tuu
Tunaachna na dm mi naingia ndani dm kaingia kwao nafka tu ndn baada kujikausha maji nifunge mlango dem huyu hpa mlngoni.......mini tena hajaongea chochote ndni
Isiwe tabu nikafunga mlango kwnz ili nimuhoj vzr, nisiongee sna dgo alikuwa amenikubali since day one
Nikapiga mzigo na dgo alikuwa mtamu asikuambie mtu
Ila sasa haikuwa siri ten japo tulibaliana tufanye siri jamaa yng asijue kumbe toka pcha linaanza jamaa alishchezw na machale aisee mgogo yule kumbe alishuhudia gemu yote Niko kati kat ya gem niliona sm inaita asubuhi kuja kucheki kumbe yeye mwana
Nampgia asubuh ananihadithia kila kitu ilikuwa noma sema uwezo wa kunipga hna
Ila urafiki uliishia hpo aiseee
Kusoma mabandiko kama haya unahitaji nguvu ya ziada
Hivi wenzetu huwa mnaruka kutoka chekechea au nursery mpaka sekondari eeeh
kwa sababu kama ulifuata mtiririko vizuri wa shule huwezi kyhara namna hii
am sorry bro.