castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,793
- 3,212
Mkuu siku moja ilinitokeaga hivyo dem alinibania hivyo hivyo tukachapana romance ikaisha hatukufanya kitu baada ya hapo niligeuka kituko anaanza niambia eti sikumchapa pluss shit kibao eti mimi muoga wa mademu oh sijui nilikuletea k ukashindwa piga acha tu ilinichukua mwaka kuja kukutana nae kwe scenario kama hio imagine mwaka mzima mtu anakusema kwamba ...mda mwingine bila kuforce unaonekana unapigo zà kiboyaHii sio kimasihara, huu ni ubakaji uliopelekea kimasihara next day
Alexander The Great
Sent using Jamii Forums mobile app

