Collage mate wangu wa discussion(Mdada) wakati tunasoma aliwahi kunisimulia kuwa kuna hadithi nyingine huwa kuzisimulia kwake mara baada ya kutokea ni nadra sana. Akanambia kuwa yeye na dadake wa kuzaliwa wameolewa, na familia zao ni kama family friends na familia za waume zao. Kila misimu ya sikukuu huwa wanaalikana kwa zamu kwenda kusherekea sikukuu kwenye moja ya nyumba ya mwenzao. Na baadae usiku huwa wanamalizia na outing matata, baba na mama kwa familia zote mbili kwenda kwenye hotel za fukwe kufurahia music na maisha.

Tabia hiyo ilijengeka kwa muda, na licha ya kufahamiana sana pia walipata kuzoeana mno. Yaaani dada wawili kwa kuzaliwa na waume zao. Siku moja mkesha wa mwaka mpya, baada ya pilikapilika za kufurahia kuufunga mwaka mchana, ilipowadia usiku Dec 31, walipata kwenda out wakiwa kama couples kwenda kuufunga mwaka kama waswahili wasemavyo. Walifika kwenye hotel moja nzuri kwenye fukwe za jiji la Dar na walipanga kuwa wangelala huko hadi January Mosi.

Wakati wakifurahia kuuona mwaka mpya usiku wa Manane, walijikuta wamekunywa kiasi kingi cha WINE huku wakicheza muziki mlaini kwenye ukumbi wa hotel ile huku wakiwa wamebadilishana mtu na shemejiye huku wakiwa wanacheza kwa kujiachia bila ya woga na wasiwasi wowote.

Ilipotimu mida ya saa tisa usiku, waliamua kwenda kujipumzisha kwenye vyumba vyao.

Cha ajabu, walishtuka asubuhi na kujikuta kila mmoja akiwa amelala na mume wa Mwenzie.
Sasa swali linakuja: je ni wote walifanikiwa kugegedana wakati wakiwa wamelewa? Je! Aliyefanya ku-spare ili agegede asubuhi, angeweza kuwa na hiyo nguvu ya kufanya hivyo baaada ya kubaini kuwa aliyelala naye ni shemeji yake?

Alichoniambia huyu college mate wangu,
Kuna baadhi ya Story zinapoanzia, basi ndio hapo hapo mwisho wake. Hutoweza kuzisikia au kusimulia kwingine[emoji23][emoji1787]

Nilipomdadisi kama bado mahusiano ya kifamilia yapo kama hapo awali, alikubali kuwa bado yapo, ila outing hawakuwahi kwenda tena, na hakuna mtu aliyewahi kumuuliza mwenzie ilikuwaje hadi hali ile ikatokea. Ila Dada wa mdogo mtu, alimpa vitisho mdogo wake, kuwa iwe ni mwanzo na Mwisho kama ile siku walipeana utamu. [emoji1787][emoji23]

Dunia ina Mengi hatari.

Sent using [Iphone XS Max]
 
Pombe gani hiyo, kuna mmoja wapo alipanga
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchuchu una avatar yenye mvuto

[emoji3][emoji3][emoji3]

Si mpaka aniweze sasa

Itakuwa labda yale mafuta amesema anapaka kwene uzi fulan ivi, kqakua ana avatar nzuri nimescreenshot wese analotumia ili nimnunulie mwanamke mwenzie,

si mpaka aniweze sasa , depal umejuaje hakuwez, umeshajitengenezea rank tayari, ahahaha wanawake kwakujiwekea madaraja bwana,

Ivi mwanamke mgumu kumvua chupi ndio anathaman eti ? manake anaweza akusumbue wewe mwaka mzima ila kuna mjanja wake anamvulia chupi everyday,

Anyways mkuu kasema tuchape kazi me corona imenikuta likizo nashinda tu maghetoni karibuni tushindie popcorn na movies


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii ndo lugha ya wanawake DECENT wote (ondoa wa ku-act), lakini huishia kuliwa... Na wanaume wengine walivyo mabazazi, huwauliza hivi ilikuwaje ulianza kwa kunijibu NYODO vilee..?? majibu huwa yanatoka kwa utata sana
Nacheka moyoni tu
 
Hahaha we usinifurahishe, ukishamnunulia usisahau kuleta mrejesho. Kwanza akipaka tu utakuwa unatamani umuhug kila dk wese lile lina kiharufu kitamuu.

Sijajitengenezea rank, me nilisemea si mpaka aweze sasa kunila kimasihara. Yataka moyo sana kuvua chupi bila malengo, I mean kwa mtu usiyem-admire

Hizo popcorn nitumie kwa BM zitanifikia
 
Kila muda nikiona id yako(ina display kweny huu uzi) nakuja mbio , najua tayari.

Kumbe hakuna kitu.[emoji21]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ahahahaha badala useme unakuja tule wote unataka nitume, your not serious, are you ? ahahaha nimezingatia sana lile somo la mafuta, JF is not worthless at all japokuwa kuna makenge maji mengi sana sema tunayavumilia tu...

kama ngozi yako inafanana na hyo avatar yako mwanamke mwenzako ntamnunulia yale mafuta, BTW nimewasaidia mabaharia wakisoma hapa the'll jump to the mafuta link/uzi waangalie umeandika nini na wao wapate knowledge, Alafu hawatanishukuru walivyo na mioyo migumu kama ya shetani 🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ndomu hukutumia.....baharia utakufa kizembe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dadeq.... aahahaha jamaa yako kiazi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Khaaa..... sasa vip ndomu bado unatumia???


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…