Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Joe alitaka kununua pikipiki. Alikuwa hana bahati ya kuzipata hadi, siku moja, alipokutana na San LG na imeandikwa "inauzwa" . pikipiki ilionekana bora zaidi kuliko mpya, ingawa ina umri wa miaka 10. inang'aa na iko katika hali nzuri kabisa. Akainunua mara moja, na kumwuliza muuzaji jinsi gani ameiweka katika hali nzuri kwa miaka 10.

"Kwa kweli, ni rahisi sana, kwa kweli," muuzaji akasema, "wakati wowote pikipiki ikiwa nje na mvua ikanyesha, chukua Mafuta ya Vaselini paka kwenye chrome. Inailinda kutokana na mvua." Akasema hivyo,huku anampa Joe chupa ya Vaselini.

Usiku huo, rafiki yake wa kike, Sandra, akamwalika akaonane na wazazi wake. Kwa kawaida, wanachukuaga pikipiki kwenda hapo. Mara tu kabla ya kuingia ndani ya nyumba, Sandra alimzuia na kusema, "Lazima nikwambie kitu kuhusu familia yangu kabla hatujaingia. Kwa kweli,huwa hatuzungumzi wakati wa kula, mtu wa kwanza ambaye atasema chochote wakati wa chakula cha jioni lazima aoshe vyombo. " "Hakuna shida," Joe alijibu. ila walipoanza kuingia. Joe alishtuka. katikati ya sebule ni wingi mkubwa wa sahani chafu. Jikoni kuna lundo lingine kubwa la vyombo vichafu. Vingine vimewekwa juu ya ngazi, katika ukanda, kila mahali panaonekana, vyombo vichafu.

Wakakaa chakula cha jioni na, hakika, hakuna mtu aliyesema neno Wakati chakula cha jioni kinapoendelea, Basi Joe akaamua kuchukua fursa hiyo na kuzunguka na kuanza kumbusu Sandra. Hakuna aliesema neno. Kwa hivyo akafika juu na kufungua matiti yake. Bado, hakuna mtu anaesema neno. akasimama, akamkamata, akararua nguo zake, akamtupa mezani hapo hapo, mbele ya wazazi wake. Akafanya mapenzi mbele yao,

ni wazi baba yake na mama yake walishtuka wakati anakaa chini, lakini hakuna mtu aliyesema neno.
Akamtazama mama yake. "Ana mwili mzuri," akafikiria. Kwa hivyo akamkamata mama, akamgonga juu ya meza ya chakula cha jioni, na akamgeuza katika kila nafasi hapo kwenye meza ya chakula cha jioni. Sasa mpenzi wake akakasirika na baba naye akawaka moto, lakini bado, kimya kabisa. Ghafla kuna kelele kubwa ya radi na mvua ikaanza kunyesha. Joe akakumbuka pikipiki yake, kwa hiyo akatoa kopo la Vaselini kutoka mfukoni mwake. Ghafla baba akaruka mbali na meza na kupiga kelele, "kumamae, hiyo inatosha. Nitaosha vyombo tu hamna namna."

Sent using Jamii Forums mobile app
We Fala umefanya nicheke peke yangu Ka mwehu.... Inatosha sasa vyombo ntaosha mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pendekezo,,,,kutokana na huu Uzi wa kura tunda kinasihara kuwa na wadau wengi(wahanga na wachangiaji)napendekeza tungepanga siku ,mda na tarehe ili wadau wote tukutane tumpongeze kwa kumpatia nishani bwana liki boy ambaye ni muanzilishi wa Uzi huu,,

Pili tuwapatie tuzo kwa yule bwana wa how I meet wit my wife,,,2)yule aliyekula kichaaa3)yule mzee wa Lindi aliyesafir ndan ya meli toka dar to Lindi 4)na yule aliyekula Dada jambazi na aliyekula mchawi..hawa ndio men of the Uzi.baada ya hapo tutafanya hafla fupi itakayoambatana na vyakula na vinywaji kisha tutaendelea kulana kimasihara hapo hapo ukumbini kwenye hafla.

Sent using Jamii Forums mobile app
ngoja uchaguzi ukiisha kwanza. mtatuteka nyie,
 
NILIVYOKULA KIMASIHARA TUNDA LA MWANAFUNZI WA CHUO CHA DIPLOMASIA

Nina visa vingi sana vya kula TUNDA kimasihara kabla ya kuacha ushenzi ule na kuamua kupunguza kama sio kutulia. Wengine wapo humu ila wanajua ID moja maarufu sana humu, hii hawawezi kujua kamwe kama ni mimi.

Miaka mitatu nyuma nilikuwa natokea Arusha nikija zangu DSM, nilichukua usafiri wa Kilimanjaro Express basi linalochelewa kutoka, nadhani likiwa linaanzia safari Nairobi. Wakati nimeketi kwenye siti yangu na gari tayari kuondoka, akaja mwanamwana mmoja mzuri kwa sura na weupe wa mwili, badae katika maongezi yetu nilijua ni mchaga kwa kabila

Alikuja moja kwa moja na kukaa siti iliyo pembeni yangu, baada ya safari kuanza nakupiga stori mbili tatu aliniomba aniegemee achape usingizi kwamba usiku uliopita alikesha. Sikuwa na hiyana mtoto akanilalia, ili ajisikie murua nikawa napapasa nywele zake ili alale vizuri.

Safari ikaendelea mpaka Korogwe kwenye hotel ya K'njaro, akaninunulia msosi tukala na kunywa na safari ikaendelea. Tukapiga stori nyingi sana nikajua kuwa ni mwenyeji wa Arusha lakini anasoma Dar.

Safari haikuwa mbaya maana yule dada anaongea jamani na vingereza kibao.Tulifika salama Shekilango akaniambia uelekeo wake hivyo nikachukua nae bajaji ikanipitisha kwangu... nikachukua namba yake na tukakisiana shavuni, yeye akaendelea na safari mpaka alipofika.

Mawasiliano yaliendelea na nikamualika kwangu ila akasema mpaka akienda chuo ndo atakuwa free.

Baada ya kurudi chuo, weekend moja akaniambia atakuja.basi kidume nikajiandaa kiakili,kilishe na kiafya. Mtoto alifika akiwa kapendeza na tukaanza kulisongesha huku yeye akipiga bia(siikumbuki jina), huku mimi nikikata bapa na maji na ndimu. Baadae alimuita rafikiye mmoja so tukawa watatu na mimi nikakaalika kajamaa fulani kapo humu na watu wengine tukawa sita hivi. Mbuzi mguu,kuku,sigara,bangi na mziki vilitawala mpaka hapo nyege zilipoanza kutawala miili yetu.

Bwanaee, kale katoto kengine kulikuwa na jamaa wanataka kula tunda kimasihara na mwisho wa siku mwenye kisu kikali ndo alifanikiwa kula tunda.

Mimi nilichukua manzi yangu nikaenda nayo chumbani na kula mzigo kimasihara usiku kucha, mtoto alikuwa machachari sana kunako uwanja wa Kaitaba, ogopa videmu vinavyoongea kiingereza ukiwa navyo kwenye game, maneno yao ya kiingereza kwenye kutiana ni raha tosha.

Kulivyokucha nikapasha pasha kwa nyakati tofauti mpaka alivyosepa jioni yake.

Yule mrembo nilitafuna tena mara moja na ukawa mwisho wetu.
Hongera, ila hii sio kimasihara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom