Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,611
- 8,096
Ahahaaaa...! Hebu niambie mkuu huu uzi uko namba ngapi? Ametia folailikuwaje hii muendelezo aisee sikuona kabisa aisee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaaaa...! Hebu niambie mkuu huu uzi uko namba ngapi? Ametia folailikuwaje hii muendelezo aisee sikuona kabisa aisee?
#3,425Ahahaaaa...! Hebu niambie mkuu huu uzi uko namba ngapi? Ametia fola
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani namtafuta sana huyo I see.hivi yule aliyekula chiiz alikuja kumalizia? nitag niisome




....! Huyo ndio bingwa wa kula kimasihara. Hebu niambie mkuu iko namba ngapi yeye kama yeye? Maana nimeisoma juu ya nyingine 


...! Wewe ndio umetia fora mkuu. Ilikuweje muendelezo baada ya kumla yule chizi?. Halafu kwa maelezo yako hakuwa chizi,huyo alikuwa spy sema alikuelewa,halafu alikaukiwa. Sio kwamba alikuwa ana-kuspy wewe!. Ila alikuwa na kazi nyingine tu. Post ujinga baniiii






Haa ha ha... Achaa tu mkuuMkuu rikiboy ,ulipokuwa jela umekula ngapi kimasihara?
Kwa heshima ya RIKIBOY kwa kutoka kifungoni kuwa huru
Nitafanya kama zawadi au kumpongeza ndugu yetu
Nitashusha ushuhuda ambao nilikuwa nikiuficha na kuulinda kwa mda kidogo
Kama wewe ni mpenzi wa huu Uzi utakiwi kukosa ni kosa kisheria
Hii itawajia Leo ndio Leo kwaiyo mda saa yoyote kitashuka kitu
Kama shukrani kumkalibisha tena ndugu yetu
Naludia hutakiwi kukosa huu ushuhuda
Haa ha ha noma sana mkuu jina limevuka mipakaa.kaka naona sasa PM yako Imejaa namba za watu kibao maana umekuwa star boy hadi Kenya
nimelikuta jina lako chuo kimoja flani hivi Kenya kwa wanaosoma hicho chuo wanajua huyu riki boy jina lake limeandikwa sehemu gani ha ha
kuna demu pia eti aliniomba namba zako si unajua tena nilijifanya nakujua kindakindaki mzee ha ha
nahisi kupitia wewe lazima nitamla Yule demu
Mtunza mazingira
Nimeliwa kimasihara wiki iliyopita, Baada ya Mechi ya yanga kuisha, nilichanika nilikaa ndani siku 3, nilikutana na mguu wa mtoto

pole sana bibieKaribu .
Walikupiga ban ya muda gani?
Unapika chai kama kawaida yakoKwa heshima ya RIKIBOY kwa kutoka kifungoni kuwa huru
Nitafanya kama zawadi au kumpongeza ndugu yetu
Nitashusha ushuhuda ambao nilikuwa nikiuficha na kuulinda kwa mda kidogo
Kama wewe ni mpenzi wa huu Uzi utakiwi kukosa ni kosa kisheria
Hii itawajia Leo ndio Leo kwaiyo mda saa yoyote kitashuka kitu
Kama shukrani kumkalibisha tena ndugu yetu
Naludia hutakiwi kukosa huu ushuhuda
Mzee wa kula dada jambazi. .baby jini. .ndugu mchawi. .sister mwizi safari hii bila shaka itakuwa story ya kula devil mwenyewe lusifer








