Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kwa heshima ya RIKIBOY kwa kutoka kifungoni kuwa huru
Nitafanya kama zawadi au kumpongeza ndugu yetu
Nitashusha ushuhuda ambao nilikuwa nikiuficha na kuulinda kwa mda kidogo
Kama wewe ni mpenzi wa huu Uzi utakiwi kukosa ni kosa kisheria
Hii itawajia Leo ndio Leo kwaiyo mda saa yoyote kitashuka kitu
Kama shukrani kumkalibisha tena ndugu yetu
Naludia hutakiwi kukosa huu ushuhuda
Unapika chai kama kawaida yako
 
Mwanangu ukipania Sana utakula kiduchu
Sasa fanya kununua karanga mbichi kg 1,asali mbichi kichupa kimoja, kunywa maji ya kutosha, ushushie na mihogo mibichi ya kutafuna. All the best usisahau kuni tag! [emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo kupiga bao nyingi kunatemeana na mwili wa mtu (Strength), vyakula anavyokula haswa protein, umri (Huwezi ukamlinganishi kijana wa chini ya miaka 25 na yule wa above 35 wakiingia kula mizigo huyo wa umri mkubwa atapiga bao chache), muda wa kufanya mapenzi naamanisha interval ya siku, Stress haswa za maisha au kazi nk.
 
Back
Top Bottom