atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,292
- 9,390
Changamkia fursa hio...Umeoa?
Changamkia fursa hio...Umeoa?
Hata mleta uzi amewataka wasimulie waliokula sio walioliwaSijaiona walioliwa kimasihara
Naona waliokula kimasihara tu
Hii nafananisha na shule kila anaehadithia utasikia nilikuwa enzi zangu Mimi ni wa kwanza tu
Zaidi utapata wa pili au watatu
Mbona sijasikia mtu wa mwisho au humu madarasani hakuna wa mwisho?
Nini hichi mnaongelea?
Duh we kiboko hadi sasa badoHapana ila Mungu akijaalia nitaoa muda sio mrefu
wanawake wanaoteseka na ndoa kwa migogoro hutafuta faraja njeMwaka 2010 31-December natoka zangu Vikindu shambani naelekea zangu kujumuika na Wana pale Banana UEFA Bar kuaga na kuukaribisha mwaka mpya 2011. Mida ya Saa kumi jioni nimefika zangu Mbagala Rangi Tatu napanda UDA la Mbagala kwenda Ubungo Simu2000 ili nishukie Tazara then nichukue gari nyingine mpaka Banana. Kuingia kwenye gari kukaa kwenye siti namkuta Dada mmoja white mwenye umbo la kuvutia matata,nikampa Hi akaitikia.
Baada ya pale kikapita kimya kirefu sana kila mtu na hamsini, washkaji wakawa bize kunipigia simu mbona sifiki,nikawaambia nipo njiani nakuja.
Tulipofika Uhasibu nikaanzisha maongezi,Demu akawa anajibu vizuri sana,akaniambia ametoka Chamazi kusalimia ndugu yake na anaelekea Ubungo Simu 2000 kupanda Gari la Mbezi maana anaishi Kimara Suka. Nikamuuliza Mwaka mpya anaukaribishia wapi akajibu kuwa anaenda home tuu sababu hajapata mwaliko wowote ule, nikamwambia vipi nikupe kampani akasema wewe tuu. Mara papp Tazara hiyo hapo,akili za fasta zikanijia kuwa nisishuke pale ngoma ikaenda mpaka simu2000,kufika pale mida ya saa1 kasoro usiku.
Tulipofika tukatoka nje ya kituo tukakaa kwenye vile vibanda vya wakina Mangi wanavyouza bia,kufika nikamwambia agiza unachokunywa,mara paap kaagiza Serengeti Lager Kubwa nikasema hapa ndio nilipokuwa napasubiri,na Mimi nikachukua Kilimanjaro Kubwa,tukanywa pale mpaka saa5 usiku demu akasema nitafute usafiri nimpeleke kwao. Nikatafuta Bajaji fasta tukaondoka zetu,huko kwenye Bajaji full kumnawa tuu,tukafika anapoishi,bonge la hekalu ndani mbwa wa kutosha akaja beki tatu kufungua,Mimi nikamuaga naondoka demu akasema hakuna kuondoka ingia ndani. Nikaingia akanipeleka kwenye Kota Moja ya uani nikaingia mpaka ndani, akaniambia subiri niende kule nyumba Kubwa nakuja akaniacha nimeenda kuoga,akarudi na msosi nyama choma na whiskey black lebel. Nilikula mzigo hadi asubuhi,demu asubuhi saa1 akaenda church akaniacha nimelala,aliporudi tuu nikaendelea kupiga mzigo,akaenda kuniandalia chai nikanywa nikapiga tena mzigo,akaenda kupika msosi wa mchana huku Mimi nipo ndani napiga whiskey nyingine.
Nilikula mzigo mpaka jioni yake nikaondoka saa2 nipo hoi. Nilipokuwa pale nilimuuliza hapa ni kwa nani na mbona jumba lote hili mpo wawili tuu wewe na beki tatu, akajibu hapa ni kwa Kaka yangu Mimi nimekuja kwa muda sababu nina mgogoro na Mume wangu wa ndoa nilikuwa naishi Arusha,Kaka yangu na familia yake wote wameenda Arusha Kula sikukuu. Kuanzia pale nikawa najilia vyangu tuu kila ninapohitaji.
Duh we kiboko hadi sasa bado
Sio kweli, hata. Hivo Naona umeacha watoto sehemu Tofauti TofautiSiku hizi nyie wadada nao mnafurahia kuwa single mother’s
Hii chai, 2010 hatukuwa na kituo cha simu 2000Mwaka 2010 31-December natoka zangu Vikindu shambani naelekea zangu kujumuika na Wana pale Banana UEFA Bar kuaga na kuukaribisha mwaka mpya 2011. Mida ya Saa kumi jioni nimefika zangu Mbagala Rangi Tatu napanda UDA la Mbagala kwenda Ubungo Simu2000 ili nishukie Tazara then nichukue gari nyingine mpaka Banana. Kuingia kwenye gari kukaa kwenye siti namkuta Dada mmoja white mwenye umbo la kuvutia matata,nikampa Hi akaitikia.
Baada ya pale kikapita kimya kirefu sana kila mtu na hamsini, washkaji wakawa bize kunipigia simu mbona sifiki,nikawaambia nipo njiani nakuja.
Tulipofika Uhasibu nikaanzisha maongezi,Demu akawa anajibu vizuri sana,akaniambia ametoka Chamazi kusalimia ndugu yake na anaelekea Ubungo Simu 2000 kupanda Gari la Mbezi maana anaishi Kimara Suka. Nikamuuliza Mwaka mpya anaukaribishia wapi akajibu kuwa anaenda home tuu sababu hajapata mwaliko wowote ule, nikamwambia vipi nikupe kampani akasema wewe tuu. Mara papp Tazara hiyo hapo,akili za fasta zikanijia kuwa nisishuke pale ngoma ikaenda mpaka simu2000,kufika pale mida ya saa1 kasoro usiku.
Tulipofika tukatoka nje ya kituo tukakaa kwenye vile vibanda vya wakina Mangi wanavyouza bia,kufika nikamwambia agiza unachokunywa,mara paap kaagiza Serengeti Lager Kubwa nikasema hapa ndio nilipokuwa napasubiri,na Mimi nikachukua Kilimanjaro Kubwa,tukanywa pale mpaka saa5 usiku demu akasema nitafute usafiri nimpeleke kwao. Nikatafuta Bajaji fasta tukaondoka zetu,huko kwenye Bajaji full kumnawa tuu,tukafika anapoishi,bonge la hekalu ndani mbwa wa kutosha akaja beki tatu kufungua,Mimi nikamuaga naondoka demu akasema hakuna kuondoka ingia ndani. Nikaingia akanipeleka kwenye Kota Moja ya uani nikaingia mpaka ndani, akaniambia subiri niende kule nyumba Kubwa nakuja akaniacha nimeenda kuoga,akarudi na msosi nyama choma na whiskey black lebel. Nilikula mzigo hadi asubuhi,demu asubuhi saa1 akaenda church akaniacha nimelala,aliporudi tuu nikaendelea kupiga mzigo,akaenda kuniandalia chai nikanywa nikapiga tena mzigo,akaenda kupika msosi wa mchana huku Mimi nipo ndani napiga whiskey nyingine.
Nilikula mzigo mpaka jioni yake nikaondoka saa2 nipo hoi. Nilipokuwa pale nilimuuliza hapa ni kwa nani na mbona jumba lote hili mpo wawili tuu wewe na beki tatu, akajibu hapa ni kwa Kaka yangu Mimi nimekuja kwa muda sababu nina mgogoro na Mume wangu wa ndoa nilikuwa naishi Arusha,Kaka yangu na familia yake wote wameenda Arusha Kula sikukuu. Kuanzia pale nikawa najilia vyangu tuu kila ninapohitaji.
Teh kwa hiyo mtu atashindwa kuunganisha dots kwaajili ya hiyo simu 2000 tu? Kalete chai nyingine hii haijakolea majaniUnataka kila kitu kiwekwe wazi ili wahusika waunganishe dots? Jiongeze
BroUzi wetu pendwa wa "madomo zege" haki ya nani vile umeniongezea ka komfidensi flani, jana niliuacha pg 58, nafurahi kukuta unasoma pg. 63!
Sio kweli, hata. Hivo Naona umeacha watoto sehemu Tofauti Tofauti
Marangu mi nipo mbona, vipi lakini you good?Sio kwa ukimya huu best
Nimeuliza tunaruhusiwa na sisi wahanga kucomment tulivyo hangwa kimasihara?Si mmegoma kushea story za hilo tunda kuliwa kimasihara jaman
Mkuu sikutegemea kama kangekimbia maana baada ya kufika orgasm ndiyo akili ya genye ika katoka ndiyo kaka anza kuwaza kutumia kichwa sasa hahahaha kumbe siyo wanaume tu kipindi cha genye tuna waza kwa kichwa cha chini hata wanawake akili ya antenna ikiwa ina waza ni hatari nadhani anaweza kubaka kuku hahahaha.Ungekapelekea motooo kwazaa...
Ulitaka kufanya kampeni huku ushashinda uchaguzi?Nipo chuo mwaka wa 3,kuna demu wa mwaka wa kwanza nilimkuta yupo sehemu kama ana maumivu, nikamsogelea kujua nini tatizo, kumbe demu anamaumivu kisa kapata sup somo moja, kidume nina sup 3 afu sina habari, tukapiga piga story paleee, nikamshawishi twende geto tuchk movie, aiseee kilaani nikala tunda bila kumtongoza, baada ya wiki niakaanza kumtongoza, eti akanikataa...... wanawake wakiwa na mahasira mpka raha
Nilikula bure hiyo kitu,yule manzi alikuwa vizuri aiseeAkati tunda ulipewa bure
Kuonga mm kwakweli HAPANAila wanaume jmn mkiombwa hela mnatoka mbio