Garfield
Senior Member
- Jan 13, 2020
- 109
- 370
Morning Glory ilikuwa ngumu..Helmet zilikuwa zimekata mkaliBaharia, ungempiga na cha asubuhi asee.
Kwa nini hujuchukua namba yake asee?
Ulimwakilisha baharia Toni vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app


Kuhusu namba hata mwenyewe nilifaham nimezingua.
Ila the fact it was only a 1 night stand and JUST THAT..makes it unique kwangu. Hakunifaham..Sikumfaham..Na Hatufahamiani mpaka sasa.
Kama yuko sambamba na huu uzi aje PM kama hatojali. @@@ dem ya MchiziBoat Ton
Sent using Jamii Forums mobile app

