Mwatulole
Member
- Oct 16, 2017
- 55
- 192
Hongera baharia kwa ukarim wako mpk binti akapata kazi Nina Imani kiporo hiki huwa hakichachi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati naishi mitaa fulani hapa Dar miaka kadhaa nyuma, katika eneo ambalo lilikuwa na nyumba kadhaa ndani ya uzio mmoja baada ya kumla yule single parent kimasihara, nilifanikiwa pia kumla kimasihara dada mmoja ambaye alikuwa akiishi kwa mmoja wa mpangaji; huyu dada alikuwa amemaliza chuo kimojawapo hapa nchini.
Nilikuwa nikimuona mara kadhaa huyu dada akisindikiza watoto asubuhi kwenda shule. Nyumba niliyokuwa nikiishi ilikuwa karibu kabisa na geti kubwa, hivyo nilikuwa nikimuona mara kadhaa akipita hapo.
Huyu binti mara nyingi alikuwa akipita akiwa amevaa ‘’night dress’’ na kujifunga khanga ama kitenge na alikuwa akionekana kama amechokachoka hivi. Kazi yangu ikawa kumwangalia tu na kummezea mate kila siku asubuhi nikiwa najiandaa kwenda kibaruani.
Siku ya tukio, Mei Mosi nikiwa nimepumzika nyumbani nikaona mama na watoto wake wakitoka nadhani kwa matembezi lakini huyu dada hakutoka. Nikiwa nawaza jinsi ya kufanya ili walau nipate wasaa wa kuongea naye, baada ya kama dakika kumi hivi huyu dada alitoka na nilisikia muungurumo wa bodaboda nje ya geti; nikaona hapa nishafeli. Nikatoka na kukaa nje karibu na kibanda cha mlinzi, nusu saa baadaye huyu dada alirudi ndipo nikajua kuwa alikuwa amekwenda sokoni, alipita akanisalimu kwa shikamoo iliyojaa heshima zote akiwa na mizigo yake na kwa bahati mbaya mfuko wa plastiki uliokuwa na viungo ukakatika na nyanya kadhaa zikaanguka, nikajisogeza na kumsaidia kuokota, alishukuru nikamsindikiza kwa maneno ukimaliza kupika unifuate nije kula, aliitikia sawa huku akitabasamu.
Muda wa saa saba nikasikia mlango unagongwa, nilipotoka nikakutana na huyu binti akiwa amebeba sahani iliyofunikwa kwa sahani nyingine, akasema nimekuletea chakula nimeona nikikuita uje kule usingekuja. Nikapigwa na bumbuwazi maana huyu binti wakati huu akiwa amevaa tshirt laini na jeans huku akitoka kijasho laini ndipo nikajua kuwa ana vishimo shavuni (dimpoz) na mwanya maridadi. Nikapokea chakula na kushukuru huku nikimkaribisha aingie ndani japo binti alikataa na kuniambia nikimaliza kula nimwite aje kuchukua vyombo. Nikaona hii ndio nafasi ya kupata namba, nikaomba namba na binti bila hiyana akanipatia namba. Nilirudi ndani na sahani ya chakula huku binti akirudi nyumbani kwao.
Nikiwa nakula nikamtumia whatsapp meseji ‘’chakula kitamu sana, umeweka nini?’’ binti akajibu ‘’sijaweka chochote, labda mate yangu’’ huku akiweka emoji za kutosha. Nikamjibu ‘’hayo mate kwenye chakula yapo hivi, yakiwa yenyewe yatakuwa matamu zaidi’’ binti akajibu ‘’mi sijui labda niulize waliowahi kuyaonja’’nikaona huyu anapoeleka lipo jambo analitaka nikaandika ‘’acha na mimi niyaonje leo ili nijue utamu wake’’binti akaandika na kufuta kwa muda kisha akaandika ‘’kula chakula haraka kabla mwenye nyumba hajarudi’’. Nilimaliza kula na kumtumia meseji ‘’ nimemaliza mrembo’’ binti akajibu ‘’nakuja kufuata vyombo’’.
Binti alikuja ila wakati huu alikuwa amevaa zile sketi pana wenyewe wanaita charanga na blauzi moja ya pinki, nilimkaribisha na kumkabidhi vyombo kisha nikauliza ‘’vipi naweza kuonja’’binti akaniangalia na kuniambia ‘’nilikuwa nakutania tu kaka yangu mate yangu hayana utamu wowote’’huku akiangalia chini, nilimsogelea karibu zaidi na kuchukua vile vyombo mkononi mwake na kuviweka mezani, nikamshika mikono kwa kupishanisha vidole (jigsaw fit) nikaona binti anabana vidole vyake na vyangu, nikaona tayari huyu hana upinzani. Nikaachanisha mkono wa kulia na kukamata sehemu ya nyuma ya shingo yake na kumsogeza na kumpelekea mdomo, binti hata hakusita akanipokea vizuri kwa dry kiss, kisha akafungua mdomo na kuanza kunipa denda kwa dakika kadhaa. Nikiwa naendelea kujilia mate simu yake ikaita hivyo akajitoa na kupokea ile simu, ilikuwa ya mama mwenye nyumba akimweleza kwamba atachelewa sana kurudi hivyo aandae kila kitu ikifika jioni. Hii ikawa habari njema sana kwangu. Tukaendelea na shughuli yetu maana yule binti ni mtaalamu hasa wa kula denda maana alikuwa anaingiza hadi ulimi mpaka kwenye matundu ya pua zangu.
Nikamsogeza kwenye sofa na kumlaza, vua kile blauzi nikakutana na vinyonyo vidogo na kuanza kushughulika navyo, binti akashusha skirt na kunitoa pensi huku akiunganisha na boxer na kukamata mhogo na kuuelekeza kwenye kitumbua. Tukamaliza pale baada ya dakika kadhaa binti akashauri tukaoge, tukapiga kingine bafuni kisha binti akaangalia mazingira na kutoka mle ndani.
Tuliendelea kuchati usiku ule na binti akaniambia anahitaji tena mhogo kesho yake asubuhi,japo ilikuwa siku ya kazi lakini nikahairisha kwenda kazini, nikajilia tena binti wa kanda ya ziwa. Nikawa najilia mzigo ndani ya uzio bila kupata tabu. Nimekukumbuka ‘’Cheupe dawa’’ wangu.
Huyu nilimfanyia mpaka mpango wa kazi kwenye ofisi moja hapa mjini. Waoaji wakamwona huko mjini wakaoa.
Tuendelee na majukumu yetu Watanzania
Sent using Jamii Forums mobile app



