Kuna x wangu mmoja ilikia kila akiudhiwa na bwana ake anakuja kumalizia hasira kwangu, utaona tu sms "jose kanikera sana leo nna hasira mnoo" afu badae atatuma nyingine "ukitoka kazini pitia lodge flani chumba 3.4 nakusubiri" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Mambo ya kuanza maisha.
Baada ya kumaliza chuo nilirudi zangu zoo kupumzika, baada kama ya mwaka hivi nikatimba mjini.nikafikia kwa mshkaji tuliyekuwa nao chuo, tayari ana ajira,anaa chumba kimoja,sinza.
Demu wa jamaa akawa anakuja jamaa anapiga mashine,na mimi nipo gheto,mateso makubwa nilikuwa nipata.yule binti mwanafunzi wa IFM,kila weekend lazima amletee jamaa anapiga mashine na mimi nimo bila huruma. Kuna siku washenzi wale walianza kupigana mashine mchana na mimi nipo,nikasepa zangu, yaani tulikuwa tunakula story fresh tu mara ghafla mizuka ikawapanda,nashangaa,yule demu tayari kakalia mashine,nikatoka nje machozi yananilenga lenga.
Sasa jamaa akaja pata demu mwingine kazini kwake huko,akaanza kumkwepa mkwepa yule denti,mpaka ikafikia point yule denti akagundua jamaa anademu mwingine na ndio maana jamaa anamkwepa. siku ya siku demu kaja kabana mitaa ya jirani,tukawa tunachat ananiambia yuko kwao,tegeta huko,ananiuliza kama jamaa kaisharudi,jamaa naye tunachat ananiuliza kama yule denti kaja,mi nawajibu wote ukweli,ila sikuwaambia kama kila mmoja ananiuliza.MISTAKE.
Baada ya muda,jamaa kaja,kumbe kaja na yule demu wake mpya,huyu hakuwahi kumlia mle ndani walikuwa wanaenda lodge ya jirani,ile namtumia meseji denti kwamba jamaa kafika,yaani ile naisend tu,demu mpya na yeye anaingia.MISTAKE NO.2
Hazikupita dak kumi,yule denti akatimba gheto,ukatokea ugomvi wa kuuwa mtu,jamaa na demu wake mpya wakakimbia baada ya kuwa nimemdhibiti huyu denti sababu alikuwa kama kichaa sasa. saa mbili usiku.
Namtafuta jamaa kwa simu kazima,hapatikani,Ijumaa hiyo,tukaa na shemeji mle ndani,nikamuambia twende tukale nimsindike,akasema ye haondoki hadi jamaa arudi anataka aelewe msimamo wa mahusiano yao.nikaenda zangu kupiga msosi,nikiwa huko akanitumia sms nimpelekee kitimoto na ndizi na bia mbili,nikambebea.
Kwa kifupi usiku huo nikala mzigo,asubuhi jamaa ananipia simu nikamuambia huyu yupo kalala hapa anamsubiri,akasema yeye harudi hadi jtatu jioni,nikamuambia amuambie ili aelewe,jamaa hataki hata kumtext demu wake,nikala tena mzigo siku nzima.jumapili nikamsindikiza mpaka kwao,nikala mzigo hapo hapo kwao,akachukua nguo tukarudi gheto,nikala mzigo,mpaka nilikonda.
Umenikumbusha jamaa angu tulikua tunashea geto, mi nna mademu lkn siwaleti geto yeye analeta tu, siku kanifanya nimelala sebuleni mpaka asubuhi yaani wanakulana kimyakimya tu huskii hata miguno zaidi ya mshikaji wakati akiachia mzigo... Nilipata hasira sana siku hiyo, nkajisemea lazima nilipe,Mambo ya kuanza maisha.
Baada ya kumaliza chuo nilirudi zangu zoo kupumzika, baada kama ya mwaka hivi nikatimba mjini.nikafikia kwa mshkaji tuliyekuwa nao chuo, tayari ana ajira,anaa chumba kimoja,sinza.
Demu wa jamaa akawa anakuja jamaa anapiga mashine,na mimi nipo gheto,mateso makubwa nilikuwa nipata.yule binti mwanafunzi wa IFM,kila weekend lazima amletee jamaa anapiga mashine na mimi nimo bila huruma. Kuna siku washenzi wale walianza kupigana mashine mchana na mimi nipo,nikasepa zangu, yaani tulikuwa tunakula story fresh tu mara ghafla mizuka ikawapanda,nashangaa,yule demu tayari kakalia mashine,nikatoka nje machozi yananilenga lenga.
Sasa jamaa akaja pata demu mwingine kazini kwake huko,akaanza kumkwepa mkwepa yule denti,mpaka ikafikia point yule denti akagundua jamaa anademu mwingine na ndio maana jamaa anamkwepa. siku ya siku demu kaja kabana mitaa ya jirani,tukawa tunachat ananiambia yuko kwao,tegeta huko,ananiuliza kama jamaa kaisharudi,jamaa naye tunachat ananiuliza kama yule denti kaja,mi nawajibu wote ukweli,ila sikuwaambia kama kila mmoja ananiuliza.MISTAKE.
Baada ya muda,jamaa kaja,kumbe kaja na yule demu wake mpya,huyu hakuwahi kumlia mle ndani walikuwa wanaenda lodge ya jirani,ile namtumia meseji denti kwamba jamaa kafika,yaani ile naisend tu,demu mpya na yeye anaingia.MISTAKE NO.2
Hazikupita dak kumi,yule denti akatimba gheto,ukatokea ugomvi wa kuuwa mtu,jamaa na demu wake mpya wakakimbia baada ya kuwa nimemdhibiti huyu denti sababu alikuwa kama kichaa sasa. saa mbili usiku.
Namtafuta jamaa kwa simu kazima,hapatikani,Ijumaa hiyo,tukaa na shemeji mle ndani,nikamuambia twende tukale nimsindike,akasema ye haondoki hadi jamaa arudi anataka aelewe msimamo wa mahusiano yao.nikaenda zangu kupiga msosi,nikiwa huko akanitumia sms nimpelekee kitimoto na ndizi na bia mbili,nikambebea.
Kwa kifupi usiku huo nikala mzigo,asubuhi jamaa ananipia simu nikamuambia huyu yupo kalala hapa anamsubiri,akasema yeye harudi hadi jtatu jioni,nikamuambia amuambie ili aelewe,jamaa hataki hata kumtext demu wake,nikala tena mzigo siku nzima.jumapili nikamsindikiza mpaka kwao,nikala mzigo hapo hapo kwao,akachukua nguo tukarudi gheto,nikala mzigo,mpaka nilikonda.
Aisee [emoji23] kijana unastahili viboko kwa niaba ya mabaharia.Nahisi mmi ndio mzembe pekee nilie lala na manzi(crush) room moja hadi morning bila kumla. Maana aligoma nika kausha nika muachia bed nkalala kwa sofa hadi morning ....
Daah me huwaga sipendi ku force yani uwepo ushirikiano kwa 100% ndio tunaenda sawa manzi akionesha kuto kua tayari kidogo tu nakua staki tena na mood ina isha hapo hapo.....
We acha tu mkuu wangu.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzi wa vidume wa kwelii!! Hawarembii show
[emoji44][emoji44][emoji44] inamaaana hakunaaaa aliyekulaa mtoto mbayaa kiutaniutani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kilaa mtuu alikulaa mtoto mkalii kisuu kwamaana hiyo hakunaaaa mbayaa wanawakee woooooteee visuu mnisapotii kwa hiliiiii
Kwa harakaharaka inaonekana kitandani ni 0 manake kama ungekuwa unayaweza mambo lazima angekukubali....hakunaga mwanamke anayekunwa vizuri halafu akaja kumkataa mkunaji
Usicheke,jitafakari
Hii imetokea mwaka 2017 nipo field sehemu flani.
Sasa amekuja client mmoja ni bongo movie lakini sio maarufu sanaaaa... lakini ni mkali balaaaa.
Sasa mkubwa anayenisimamia hakuwepo basi nikaanza kumuhudumia mimi mwenyewe... nilitumia lugha flani za kistaalabu na kujari hadi yule dada akajihisi ni princess flani hivi...
Kabla ya kusepa akanishukuru akasema nimpe namba atanialika siku moja nipate hata lunch...basi nikampa kila siku naangalia simu anipigie lakini wapi...
Baad ya kama week 2 nikaona namba mpya ile kupokea akajitambulisha nikajifanya nimemsahau... akatambulisha vizuri nikajifanya nilishamkumbuka.
Akanikaribisha nikapige dinner hotel flani hivi jijini..
Basi kama saa moja nikapanda zangu daladala nikaenda ile sehemu alipoelekeza.... nikamkuta alishafika maana alikua na ka IST ameshaagiza vitu..
Nilikua sina konfidensi hata kidogo maana manzi ni mkali ,classic na ana pesa za kununua hata gari wakati mimi nategemea boom ,nikiwa chuo nakaa hostel , napanda daladala...
Nimefika pale sina hata story za kumpa lakini nikajitahidi kutunga story za kwenye movie najiweka mimi kama muhusika.. baada ya kumaliza kula akasema tuhamie sehemu ya bar tuchukue drinks... akaagiza wine ..mimi sio mnywaji sana lakini nna uwezo wa kutorelate vinywaji kama wine... sasa tumepiga ile winee baada ya saa kama 1 akaongeza savanna..
Baada ya masaa mawili anasema anataka kupumzika nikamchukulie chumba.. basi akanipa pesa nikaenda kuchukua chumba nikampeleka ndani.. nikajifanya namuaga nataka kusepa akasema nibaki nae kidogo hadi alale...
Mala akaanza kupunguza nguo ili akaoge ndio alale... alikua na paja jeupeeee baada ya kuvaa taulo ,chura ilikua ni hatari.. hapo mzee mashine imesimama balaa ukijumlisha na akili za pombe....
Nikajitoa muhanga nikamuomba tukaoge wote... akasema poa.... nikapunguza nguo nikavaa taulo na mimi.... tukaingia bafuni akavua nguo zote na mimi nikavua nikaanza kumuogesha huku nampapasa mdogo mdogo... akaanza kulalamika ...nikamuinamisha mule mule nikapiga doggie ya kusimama...
Nikamrudisha room nikapiga kama viwili tena hadi asubuhi... baada ya hapo ikawa official nimepata sponsor..
Hahahahha wabaya ata wakiliwa watasifiwa ni wazur[emoji44][emoji44][emoji44] inamaaana hakunaaaa aliyekulaa mtoto mbayaa kiutaniutani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kilaa mtuu alikulaa mtoto mkalii kisuu kwamaana hiyo hakunaaaa mbayaa wanawakee woooooteee visuu mnisapotii kwa hiliiiii
Nop .... baadae nilikuja kushtuka kumbe anatoka na majamaa wakubwa wakubwa wanaoweza kunipoteza..Vipi hadi sasa upo na sponsor au story iliishaje