Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hii picha ilipovuja mama ake alifanyaje???

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada angu chapombe tu yulee kwake hata haikua bug deal.Yan ishu ilipita normal sana.Sema jamaa ambae alikua kazaa nae huyu manzi alikua anahangaika sana kuhusu hiyo ishu maana nae ni mtu wa vyombo vya usalam i thnk ni jeshi.Route za kutosha home kwa mzee amsaidie sijui kama alifanikiwa maana walipgana chin akawa anataka kumchukua mwanae
 
Dada angu chapombe tu yulee kwake hata haikua bug deal.Yan ishu ilipita normal sana.Sema jamaa ambae alikua kazaa nae huyu manzi alikua anahangaika sana kuhusu hiyo ishu maana nae ni mtu wa vyombo vya usalam i thnk ni jeshi.Route za kutosha home kwa mzee amsaidie sijui kama alifanikiwa maana walipgana chin akawa anataka kumchukua mwanae
Khaaaaa [emoji3]
Dadeki, nyie mnaona soo, yeye hana habari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami demu akiwa msumbufu hivyo jamaa ndo anasinyaa. Napenda atoe ushirikiano wa kutosha. Denda nk.

Nasikia mara nyingi mademu wasiotoa ushirikiano kabisa ni wale waliokeketwa... Akifika kitandani analala na kutazama juu kama anasubiri kufanyiwa upasuaji. Hapo mzee hawezi kuumuka vizuri na mapema...
 
Mwaka 2017 nikiwa nipo Bunju...kuna jamaa alikuja na Bint wawili wakiitaji Huduma ofisini kwangu,jamaa ninamfahamu ni jamaa yangu kwa juu juu tu.
Demu mmoja alikuwa pini balaaa hadi unachanganyikiwa.,na mwingine alikuwa wa kawaida sana.baada ya maongezi wakaondoka zao.
Sikuweza pata namba ya yule manzi nzuri.
Baada ya wiki kupita nikaona SMS inaingia hellow mambo,mim ni P unaweza ukaja Leo kuona flemu yangu maana ni expert wa biashara furani mjini hapa wengi huwa wananitumia kuangalia na za kwao pia.
Basi nikaenda chap,kufika tu nikamkuta na yule jamaa yangu basi story mbili Tatu nikaangalia kibanda chake kisha nikampa maelekezo namna ya kufanya.
Badae ya siku 3,nikapata SMS asante sana umenipa mawazo mazur na nimeanza biashara.kuanzia pale akawa anachati na mim sana tu,lakin sikuwa na uhakika juu ya yule jamaa yangu maana nae kitombi tu,halafu manzi mzuri vile asimtom**be
Nikamuuliza vipi,jamaa yangu ndio anapumzika hapo ,demu akakanusha,basi mm nikampa live Wewe ni mzuri sana.manzi akacheka tu
Next day nikamuuliza upo wapi akasema nipo home,njoo maana haikuwa mbali na ofisi yangu ,nikawasha boxer yangu nikaenda,kufika geto kwake duuuuu,nikakaribishwa ndani,eehh bwana naingia ndani seblen hakuna hata kochi moja,akasema njoo huku,nikazama room,Mara paaa kitandan
Story zikaanza,yule manz ni mzur jaman na ameumbika kwel,chuchu SAA sita.
Akasema ngoja nioge nakuja ,akatoka nje kuoga,mara akarudi aliporudi tu,nikasema huyu simcheleweshi,nikambeba mzima mzima nikaanza kunyonya matiti,demu kumbe ndio ugonjwa wake,akalegea pale then nikamlaza,ile nataka niuze mechi,akachomoa kondom, akanipa,nikapiga dude la fasta fasta .
Hadi Leo nakula tunda ingawa mpenz wake yupo Holland anakula kitabu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoto wa ko ratiba zao zote za kuja town (raskazone) lazima ziwe zinafahamika , mnatupia vyenu nguo za kibabe mnazama town

Yaani wakija watoto wa ko ukikosa number unaona kama vile umefaik necta[emoji23][emoji23][emoji23] daah
Hahahaa K.o noma saana kuna jamaa yangu kama utani alichukua namba wapipokuja kwenye graduu wakaaanza relation mwaka jana walioana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom