Nimecheka sana.
 

Nimeipenda aya ya tatu toka mwisho. Piga biti ya kufa mtu huku mke kaliwa halafu wote wanakuwa kama wafu

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu bila shaka ulikaimu nafasi ya RSO..

Tuko pamoja...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ni kiboko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimecheka hadi nimepaliwa na pilau, maji tafadhari mkuu nakufaaaaaaaa
 
Baaharia umetisha sana[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa 2015's nimetoka zangu dsm narudi home . Ilikuwa ni likizo time.
Nikiwa naendelea kuenjoy likizotime siku napita kitaa flani ivi nikakutana na demu mmoja ivi tulimaliza nae shule ya msingi miaka ya 2005's. Kama kawaida tulisalimiana kwa bidii sana na kupeana contact. Wakati kipindi hicho tunasoma tulikuwa hatuna hata urafiki.

Kama kawaida tukaendelea kuwasiliana na kuzoeana kiaina kadri siku zilivyosonga mbele. Kiukweli uyu binti kiumri kanizidi na alinambia kuwa anawatoto wawili.

Siku moja asubuhi nimetoka zangu misele, nikasema ngoja nimpigie simu huyu Mama nanilii ili nipige nae stori ,nikapitia maeneo anayoishi na kupiga stori mbili tatu. Hafu nikawa naondoka akanisindikiza uku tunapiga stori . Tulipofika karibu na gheto akataka kurudi. Nika mplease na kumuomba tufike napo ishi ili apafahamu. Nikambembeleza mpaka akakubali. Nikamkaribisha sebuleni . Tukapiga stori kiaina . Hafu nikwambia njoo chumbani uku. Binti kaja Bila shida .

Tukiwa chumbani tukapiga stori mbili tatu ivi mashine ikaanza kuenda hewani . Sikuogopa kuanza kupeleka mkono kifuani na kuanza kumpiga tachi tachi na binti hakatai.
Nikaanza kumvuashati na kumpiga romance . Mara kaanza kuniambia kuwa Niko bleed hatuwezi fanya kitu unachohitaji. Moyo ukaanza kuniuma kwa jinsi binti alivyoumbika na kumuacha aende Bila kumpa dudu.
Du sikukata tamaa nikaanza misihara na kuanza kumwambia nione kama kweli uko bleed. Nikaendelea kumtoa nguo na akabakiwa na Chu...p . Kiukweli binti alikuwa bleed .
Kimasihara tu nikwambia njoo niingize dudu nione kama nikichomoa itatoka na damu. Kimasihara tu mchezo ukaendelea.

Nasikia hamna madhara kula tunDa binti akiwa bleed et?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Asubuhi hiyo ulitoka misele wapi?? Au ulilala huko miseleni??
 
Haha ha ha ha daah...Watu wana visaaaa na mikasaaa
 
Nmetoka kula tunda apa muda sio mrefu kiutani utani tu ...haha ni demu nmemaliza Naye chuo kaja Chuga apa kesho ana interview kampuni moja kule Kisongo ..demu bahili kakataa kukaa gest ..ivyo nmemseti akae hadi interview iishe nitafaid sana ilo zigo ..toka mwaka wa kwanza nilikuwa namtamani ila dah kama zali kajileta mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23] Siku wa na mazoea Naye kivile zaid ya uklasimeti tu ...mazoea nimeanza naye wiki tatu zilizopita ambapo aliniambia atakuja Arusha kwa ajili ya interview ..basi katika kuchat Naye akanambia atafikia kwangu ..nikajua ni utani ..Mara paap nikiwa zangu mishe mishe mida ya jion naona call yake ..kwamba yuko stand nikamchukue ..basi mze apo chap nikatimba ...mtoto yuko geto apa na chill kidgo niendelee na show...[emoji23][emoji23][emoji23]

Aahgh huu mwaka mpya banaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni baharia uliye iva
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huu mwaka wako.

Angalia yule mwenye makalio kama stuli asikufume
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…