Haya mambo yapo aisee. Yaliwahi kunikuta, na pia kuna mshkaji wangu mmoja naye yalimkuta. I can confirm he's not lying.
Nimeyasikia kwa mshkaji pale SUA mwaka 2007. Mshkaji alitoka na Mrs wa mtu mwenye watoto 2 lakini hajawahi kojozwa tangu azaliwe. Alizimia kwa dakika kadhaa na kwa kuwa walikuwa ".nyumba za wenyeji" zile za kujitegemea (self contained rooms), alimwagia ndoo nzima ya maji ndo "akafufuka".

Malawi kuna malaya aliwahi uwa mzee wa watu sababu ya utamu

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee nimecheka mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madomo zege hawawezi kuamini maana kwao kutongoza demu ni mtihani achilia mbali kula kimasihara

Halafu kwani wameambiwa humu kuna uthibitisho wa video kwamba mabaharia tunatakiwa tuuweke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wanawake wachache sana wenye uelewa km huyo mwanamke mwenzangu aliokuwa nao

Sent using i phone x
 
Hahaha ni kama jamaa alikuwa anatoa story ya kukimbiza swala, akafika kwenye kumpiga ngwara swala, simu ikaita. Amemaliza kuongea na simu anauliza hivi niliishia wapi, wana wakamwambia ulimpiga ngwara. Jamaa akaendelea, nikamvua bra na chupi.... Watu wakamkumbusha mzee ni swala unaongelea!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mermer e
Sent using Jamii Forums mobile app
 
k
kataaa kubali huyu ni mke wa mtapigwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…