Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Tafuta siku nzuri nenda zungumza naye kiume. Kama huwa mnaonana mueleze wazi unahitaji kumuona kuna jambo nyeti mnahitaji kuliweka sawa. Muombe msamaha na umweleze kuwa wewe ndio mhusika wa mtoto wa mdogo ake. Kama muelewa atakuelewa tu ila sio hiki unachofanya.
Hili huwezi kulificha ni swala la muda. Siku akigundua yeye na wakati ulikaa kimya mnaongea Kama hakuna jambo limetokea itakuwa mbaya. Kibaya unasema huna malengo na mdogo ake.
Nimekupata mkuu
 
Habari za jumapili watanganyika wenzangu?
Hebu tupeane experience,ushawahi kutoka kimapenzi na mdogo wa mshikaji wako,ilikuaje kuaje na mpaka saivi status yenu iko vipi?
Mimi kiukweli kuna mshikaji wangu haswa wa kushibana,nina mahusiano ya kimapenzi na mdogo wake na tumezaa nae mtoto mmoja but mshikaji hajui lolote mpaka leo na huu ni mwaka wa nne jamaa hajashtuka kitu.
Iko hivi huyu mdogo wa mshikaji wangu nilianza kumuona baada ya yeye kuwa amemaliza darasa la saba miaka mingi tu nyuma huko,so ktk harakati za hapa na pale me sikuwahi kumuona tena but kaka yake tuliendelea kuwa washkaji wa karibu sana tu,sasa baada ya miaka mingi kupita huyu demu akawa kamaliza form 6 na ilitakiwa kujiunga na chuo kikuu tena kozi ambayo mimi nimeisoma,so ktk harakati za kutaka kujua abc za hicho chuo na kozi niliyosoma akapewa number yangu ili mimi ndo niwe kama muongozo wake,akanicheck nikampa abc zote akaenda chuo,kwa wkt ule mimi sikua na time nae coz nilimuona kama mdogo wangu tu ingawa ni pisi kali haswa...so siku moja ilikua Christmas nadhani nikaona kanicheck kuniwish heri ya sikukuu nikamuuliza yuko wapi akaniambia kalala tu hostel coz hana pa kwenda,me nikamtania yani mtoto mzuri ka wewe unakosa pa kwenda?akaniambia ndo hivyo yupo tu,shetani akaniingia nikamwambia mida flani ya jioni aje mitaa flani walau anywe bia mbili tatu,kweli mida ilipofika akaja,tukala na tukanywa,akaniambia yeye siku hiyo harudi hostel hivyo nimtafutie pa kulala,nikamwambia twende kwangu tutalala mzungu wa nne....basi kwenda ghetto me nikajipigia kisela,nikajua labda ilikua ni just one night stand kumbe pisi ilikua imeelewa mchezo,yakawa ndo mazoea kila weekend akawa ndio kama mother house lazima aje kwangu kufanya usafi na kuweka mambo mengine sawa,nimemla weee mpaka akamaliza chuo,bahati nzuri baada ya chuo akapata kazi bank flani hivi kubwa tu bado nikawa naendelea kumla,akapata ujauzito tukakubaliana asiseme ni nani aliyempa hiyo mimba..so mimi mpaka leo bado namtia huyu manzi na sina mpango nae wowote wa kumuoa.jamaa yangu nae hajui kama mimi ndo nimemzalisha dada yake mpaka leo.
Je kuna mwingine ashawahi kupitia hii scenario kama yangu?
Asante Mzee wa Kitalamanka
 
MASIKHARA KAMA MASIKHARA 🤔🤔🤔🤔🤔🤔


Picha linaanza nimemaliza bachelor yangu huku Nina stress ya breakup ya hatari,muda so mwingi nikabahatika kupata ajira kwenye NGO kubwa Ina matawi kibao ndani na nje ya nchi...hapa ndio balaa lilipoanza,Ile naenda report huyo boss nusu nizimie kwa mstuko jinsi alivyokuwa chombo,,,Boss alikuwa anamvuto yule jamani Kaka flan hivi anatokea Kilimanjaro hiyo body,rangi,anavyoongea uwiii hakuna mwanamke anachomoka pale..jamani boss alikuwa anajua kunukia mipafyum ya hatari yule ,anajua kuvaa kuanzia pamba zake mpaka mikanda na saa zake aisee siwezi maliza muelezea.Tatizo la boss alikuwa kauzu Sana,anampenda huyo mkewe Mara watumie gari moja asubuhi mkewe anamdrop jioni anapitia waliokuwa wapya wapya kwenye ndoa..

Basi Mimi nikaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa Kama kawaida,nilivyojua hapendi shobo Mimi ndio nikajitune zaidi Sina mazoea Wala shobo nae.

Miezi mitatu kupita ikatokea tunatakiwa kwenda semina Arusha,Tulitakiwa kwenda wanne boss,Kaka mwingine,Dada mwingine na mimi....Nakumbuka siku ya Safari Dada alipata udhuru mtoto wake alivunjika mguu so akaomba abaki amwangalie,..Basi mida ya saa mbili asubuhi siku ya jumamosi tuliondoka maeneo ya ofisini sisi watatu dereva akawa huyu Kaka mwingine,huyu Kaka mwingine na boss Ni washkaji Ila sikujua Wana ukaribu kiasi hicho,haooo kufikia stop over gari imesimama naona tuna mdada mpya kaingia nikajua tu bila kutumia nguvu Ni chombo ya huyu Kaka mwingine,tukasafiri salama kabisa muda mwingi nikitumia kulala boss alikuwa anaangalia nini sijui kwenye laptop yake huku anakunywa Jack Daniels mdogomdogo...
Tulifika Kama saa mbili kasoro hivi,hao mpaka hotelini,kukodi room wanasema vimabaki 2 tu Ni high season,Sasa Kaka mwingine akasema yeye Basi atenda lala hotel nyingine yeye na mgeni wake,,,boss akajibu no no nooo!sisi tutashare chumba hakuna kitu kitachotokea,halafu akanigeukia kwa utani eti Joannah au utanidhuru nikajibu siwezi boss...Basi tukagawana vyumba nikaingia chumbani na boss wangu kinanda..Nikaingia kuoga maana ilibidi twende dinner na wadau waliotoka mikoa mingine,nikasema moyoni leo sijuii!nikaoga fresh nikavaa nikakaa namsubiri boss aoge tofauti na Mimi yeye hakuvalia bathroom nikasema rohoni boss unanibip au?
Tukaenda dinner tukaenjoy Sana japo sikuwa na ukaribu na boss hata kidogo nikawa busy na Kaka mmoja alitokea mbeya yeye nikawa namchek boss ananitupia jicho la wizi wizi nikasema eeeh mbuzi kafia kwa muuza supu..sijui na yeye alikuwa anawaza nini

Saa 1:45 tumerudi hotel,boss ana JD zake kichwani Mimi nilikunywa glass Kama 3 za wine, nilikuwa na akili timamu kabisaa...nilivyoingia room Nikaanza kuvua nguo nikaoge maana huwezi lala kitanda kimoja na senior wako bila kuoga,Ile nimengia kuoga maji matamu Yana joto la wastani si mnnajua kulivyo baridi kule,naskia mtu kaingia nimejipaka shower gel najisugua bila brush taratibuuu(ilikuwa show tu yaani,boss nae akajaa)boss huyu hapa Kama alivyozaliwa kaja kashika kiuno..Mimi Tena nazuga aaaaaaaaaah boss mapigo ya Moyo yamebadili speed,boss kaniwekea kidevu chake maeneo yakati ya mabega na shingo ndevu zinachochoma kwa mbalii,"Jo naomba nikuogeshe"Kabla sijajibu mkono umepita kunako nyonyo analiminyaminya,mie ooooooh lakini we ni......."kanigeuza"shhhhhhhhhhh forget it,call my name"....Kanirukia lips boss jamani anajua Mambo Nyie, sijakaa vizuri boss ananawa jamani....nilipewa mbilinge za maandalizi huku vimaji Moto vinatumwagikia nikaaomba poooh....hakunifanya kitu tukarudi chumbani,,Boss ndio kawa mtenda kazi mkuu kanifutaa na taulo vizuriii kanirushia kitandani Ile kufumbua na kufumbua my darling boss anadeki kila kona ya mwili.....siwezi maliza hii kitu Ila usiku ule ulikuwa the Night to remember! Darling boss alienjoy maana nilikuwa sijafanya hizo shughuli muda so nilikuwa high Sana alipata ushirikiano wa kutosha.....Basi ndio hivyo Tena tukalana kimasihara na penzi nikaendelea Kama miaka 4 mbele japo lilikuwa la Siri mno Ila nilienjoy kitandani na matunzo kwa ujumla hakuwa bahili my darling boss.....msiniulize alikwenda wapi,yupo tuliachana baada ya kupata hili ngalangala langu.....jmosi njema tunywe kistaarabu
😙😎
 
Back
Top Bottom