Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 2,744
- 6,581
Solomon mtaji wa Uchinga utakufa utarudi kigoma kwa lift ya magari ya magazetiIla solomoni we...View attachment 3237489
Solomon mtaji wa Uchinga utakufa utarudi kigoma kwa lift ya magari ya magazetiIla solomoni we...View attachment 3237489
Solomoni unalitendea haki hilo jina la role modal wa wanaume duniani mfalme solomoniLove is crazy...
View attachment 3239088
Kamanda ulipotea sana nowdays upo Kituo gani!??Solomoni unalitendea haki hilo jina la role modal wa wanaume duniani mfalme solomoni
Mbølō yako inajua kusoma??Pisi hata kuandika haijui ya nini sasa?
HahahaNasisitiza msioe,kuna mwalimu fulani wa chuo fulani Arusha,kaoa mwaka jana binti fulani wa asili ya kaskazini,jamaa wanamtombea sana,halisanuki liko kama ndezi,x wa mke wake anaichapa sana,kuweni makini na ndoa vijana
Hahaha kataa ndoa oyeeDemu ni mzuri kiasi,ila kinachonisikitisha ndoa haina hata mwaka,jamaa bwege yaani hajui kitu,last month nilikuwa Arusha kikazi nikafikia lodge moja hivi nikakutana na demu na jamaa yake wa zamani,ndoa ni utapeli
Inahuzunisha kakaHahaha kataa ndoa oyee
Mi namshukuru Mungu nimejua hili ingali mi bado kijana mbichi sana namshukuru mwenyezi Mungu kwa kunipa haya maarifa maana yatanisaidia niwe na msimamo thabiti wa kukaa mbali na ndoaInahuzunisha kaka
Usije ukajaribu,kwa umri wangu na niliyoyaona usijaribu kabisa ndoa,kesho naenda Morogoro kikazi ila kuna mke wa mtu naenda kumchapa piaMi namshukuru Mungu nimejua hili ingali mi bado kijana mbichi sana namshukuru mwenyezi Mungu kwa kunipa haya maarifa maana yatanisaidia niwe na msimamo thabiti wa kukaa mbali na ndoa
Acha wadau waendelee kushusha visa
Huyo mke wa mtu mnafahamiana vipi mpaka umeweza kumchapa?Usije ukajaribu,kwa umri wangu na niliyoyaona usijaribu kabisa ndoa,kesho naenda Morogoro kikazi ila kuna mke wa mtu naenda kumchapa pia
Nilifahamiana nae huko 2022,kanizidi umri,anamatako makubwa sana na ni mtamu piaHuyo mke wa mtu mnafahamiana vipi mpaka umeweza kumchapa?
Je ni mzur tako na sura?
Ulimtongozaje hadi ukaweza kumlala!? Hukuogopa?Nilifahamiana nae huko 2022,kanizidi umri,anamatako makubwa sana na ni mtamu pia
Sura je ina ridhisha!!Anamatako makubwa sana
Alinipenda huyu mama,alinikubalia kirahisi sana nilipomkuta ofisini kwake mara ya kwanza alionyesha kila dalili,ni wale wamama waswahili swahiliUlimtongozaje hadi ukaweza kumlala!? Hukuogopa?
Sura imepelea kidogoSura je ina ridhisha!!
Oh sawasawa pesa anayo?Alinipenda huyu mama,alinikubalia kirahisi sana nilipomkuta ofisini kwake mara ya kwanza alionyesha kila dalili,ni wale wamama waswahili swahili
Sawa kama tako liko hamna shidaSura imepelea kidogo