Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,244
Unashangaa nini kuna wanawake wana phd 8 mdogo wangu tembea uonesema elimu sio kiviile maana kaishia masters tu.
Unashangaa nini kuna wanawake wana phd 8 mdogo wangu tembea uonesema elimu sio kiviile maana kaishia masters tu.
😀😀😀 bongo tunachukuliana poa sanasema elimu sio kiviile maana kaishia masters tu.
Sawa mkuuUnashangaa nini kuna wanawake wana phd 8 mdogo wangu tembea uone
😂sanaa😀😀😀 bongo tunachukuliana poa sana
Kwann mkuu avatar yangu imekaaje!Yaani inaonekana imekuuma sana😊😊😊sema avatar yako tu inaonesha we ni mtu wa aina gani
mambo mshangazi wangu wewe utanipeleka hotel gani..?Sawa mkuu
Na wewe una mshangaz mkuu!Hawa mama zetu they are so good kweny swala la kujal furaha yao nafkiria nitatoka kwa mlango upi yote ameifunga! bravoo ma di**k.
We dogo 🤣mambo mshangazi wangu wewe utanipeleka hotel gani..?
Koma we mtoto🤣🤣🤣🤣🤣🤣mambo mshangazi wangu wewe utanipeleka hotel gani..?
tuliaWe dogo 🤣
Mh! acha ushamba nani mtoto hapa we nipeleke Zanzibar kule tukale bata utaujua lini mji!, fanya hima mpenzi valentine kesho tuKoma we mtoto🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yeah yuko care sana nampenda pia sio muongo siwez kueleza yote ila nafurahiNa wewe una mshangaz mkuu!
Ana tako kubwa mkuu!Yeah yuko care sana nampenda pia sio muongo siwez kueleza yote ila nafurahi
Mkuu ili awe mshangazi lazima awe na hivi vitu1.nyash 2.pesaa3.awe mweupe.4.35+Ana tako kubwa mkuu!
Mods walishaona ndio sehemu ya kuhifadhia nyuzi ambazo hawazielewielewihuu uzi bado upo tu
Elimu sio kiviiile ila kaishia Master. Unataka awe na elimu ya mpaka wapi?🤣🤣🤣Hili jambo limeniumiza na kunifurahisha at the same time nina mshkaji wangu nasoma nae chuo 3rd year yeye ni mzaliwa wa dar hivyo alikuwa anakaa kwa wazazi wake tu basi bana ikatokea kwenye pita pita zake sister wa mshkaji alikua na rafiki wake wa kike age ni 40+ maji ya kunde, baby face na slim waist thick thighs in short hilo limama linalipa
Jamaa kama kidume akaanza kumtongoza since 2022 pindi tupo first year kaja kukubaliwa 2024 juzi hapo ila msemo ule unasema kuwa mvumilivu hula mbivu nimeuamini asee maana jamaa kapangishiwa apartment kali sinza pesa anapewa na kwa wazazi kasepa hilo limama lina pesa chafu sio poa vitega uchumi kama vyote sema elimu sio kiviile maana kaishia masters tu
Mimi hii valentines nipo kivyangu as usual ila jamaa anakojolea pazuri asee daah hadi basi
Anyway hii valentines jaribuni kulambana kwa hisia wakuu sio tamaa
N.b usikate tamaa kwenye kutongoza 😄
Phd 8Elimu sio kiviiile ila kaishia Master. Unataka awe na elimu ya mpaka wapi?🤣🤣🤣