THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,548
- 7,515
Leteni threads hata kama ni chai maandazi, chapati zipo
Demu anavuta shisha,halafu unauza mechi?Hongera lakini kwa kukutana na mrembo!Amazing
Njoo tugawane dhambiKuna agent wa shetani ka like post yangu ya 2021, ikanirudisha kwenye huu uzi na nilishatubu sitarudi tena hapa, ngoja niwape one more
Huyu ni my work colleague kabisa, mke wa mtu, fak it ni pombe tuu hata hivyo
End of the year party 2022, masaki
Kama nilivyosema huko mwanzoni nilishaacha uhuni kitambo sana, siku hizi nimeamua kutafuta hela tuu nizitunze zipumzike, wanawake wanarudisha nyuma mzee, hasa kama hamna makubaliano ya kulipana, one night stand au uchumba. Ukila mwanamke bila makubaliano hayo hapo juu jiandae kuliwa vile vile, ndio maana wakulungwa wanachapa malaya tuu, vyombo classic unalipa service fee mnaachana
Chaap tupo hotel kwa ajili ya party ya kampuni yetu, mimi huwa ninaenda mwenyewe kwenye party kama hizi kwa kuwa kuna after-party ambayo mimi ndio organizer, wanawake siku zote asilimia kubwa hawaendi kwenye hizi party wakija na waume zao huwa wanaondoka mapema
Kuna dada mmoja nilikuwa ninamuelewa sana, kabla hajaolewa niliapa nitamtomba tuu one day, kabla sijaanza mkakati, akachumbiwa, mara kaolewa...kwa heshima i kept it cool mda wote sijawahi hata kumletea utani wa kijinga, strictly work. Miaka yote tunafanya kazi, kiasi kwamba nikasahau hata hisia zangu, kashazaa mara mbili hivi hivi namuona na tumbo lake, mimba yake ya pili ilinivutia sana mpaka nikatamani nimtie na mimba yake hivyo hivyo, mbaya zaidi anajua michongo yangu videmu ninavyopita navyo ofisi za jirani n.k ila kunasiku akitupia nguo zake nawaza kumtia nikikumbuka ana watoto wawil na ni mke wa mtu mawazo yanafutika
Hajawahi kuja kwenye party yoyote ya ofisi, alikuja kwenye hii, mume wake kasafiri na anajisikia kuwa included, tumemaliza party hotelini, tukaamisha jeshi waliolala wakalala (end of the year party kila mfanyakazi anachukuliwa room kwenye hotel tunapifanyia party) ila yeye akasema anatoka na sisi wanaume ambao lengo letu ni kulewa na malaya, tukachukua gari chache hao kwenye sehemu za starehe maeneo ya ufukweni.
Saa 9 usiku hapo mme wake anamzingua vibaya n.k akaniomba nimrudishe hotelini, jamaa nao wakaniomba nimrudishe, nikaaga sitarudi, tumefika hotelini, kaingia room kwake nami nikazama kwangu hapo nasuburia anipe mrejesho kama mume wake kamuelewa, nizame zangu chimbo nikachukue malaya kwa kuwa nishatema team yote, kaja kanigongea analia, nikamfungulia kaingia analia, nikamwambia relax, ni hasira cha msingi mwambie awasiliane na uongozi kama ana wasi wasi.
Mama kaanza kulia tena, mwanaume mwenyewe malaya, wanawake wapya kila siku, i never cheated on him...bla bla bla, then the wolf i want you to f**k me now, fuuuck meeee!
Well, i did it, very very well. Nilimyonya k yule mama, nahisi nililamba hadi mknd, sikumbuki vizuri ila aliniambia nilifanya kitu hajawahi kufanyiwa, kwa umri wake lazima kashalambwa k, na sikumla kiboga, i kept it cool sijataka kumuuliza ni nini.
Halafu jamaa asubuhi akamuomba msamaha kw aku overreact, yakaisha kati yao.
Saved some money that night, na somo kubwa kabisa nawakumbusha, set a goal, the universe will always find a way for you to accomplish it. See nilisema nitamla na nikamla wakati ambao hata sikuwa namuhitaji. Same na kwenye maendeleo n.k
Goodbye guys please msilike wa ku quote mkanirudisha kwenye ushetani wenu
Na ukijua kuna kisa chochote unaconnect dots eeeh? alafu? Unafanyaje mkuu ukihisi ndo mkeo kaliwa kimasiharasie ambao wake zetu wamesafiri tunapitia pitia humu kama kuna kisa chochote
unaishia kusonya tuNa ukijua kuna kisa chochote unaconnect dots eeeh? alafu? Unafanyaje mkuu ukihisi ndo mkeo kaliwa kimasihara
Kimasihara ni kama Isidingo. HaiishagiKimasikhara ziendelee.
Ukweli unaambiwa wake zenu/zetu wanakosa uhuru katika mazingira ya nyumbani/mtaani. wakipata mwanya wa safari hizi za kiofisi au biashara huko anajiachia bse hakuna anayemfuatilia. Akipata fursa yeyote lazima aitumie ipasavyo. Kitu kingine wakiwa safarini akikutana na mwanaume anayemjali walau kulipa lipa bill za hapa na pale anasevu hela kama msosi, vinywaji au hata lodge kupitia mgongo wa huyo aliyekutana naye huko safarini. Ni wajanja sana aisee.unaishia kusonya tu
ChaiBaadae nitawaletea jinsi nilivyomla mwalimu wangu kimasihara
ww n Eng.......Natamani nilete nilivyomla mkuu wa wilaya fulani kimasihara ila naona code zitashitukiwa maana ni ngumu kuzificha
Usinge delete namba kuna wengine tunaitakaInawezekana ni kweli mbona ni wengi wa aina hiyo mkuu? % kubwa ya kimasihara huwa ni hivyo sema tunaipindisha. Kuna siku nimesafiri kwenye basi nakuja Dar akaja dada mmoja siti moja na mm. Yeye ndo kaanza kunichangamkia. Safari ilivyoanza tu akaniomba kaka samahani naomba nikuegemee. Nikashangaa kwanza anataka anilalie begani mwangu. Nikamruhusu, baadaye kidogo akawa analala kwenye mapaja yangu. Nikaona huyu malaya wazi wazi. Nikimwangalia kila sikio limetobolewa matundu manne alafu akavaa hereni kila tundu. Uvaaji wake kavaa sile jeans zenye kuchanwa chanwa magotini, ulimi kautoboa nao kavalisha urembo, usukaji wake wa nywele ni wa kimalaya malaya tuu. Tuliposhuka kupata chakula kaniletea soda... Wakati safari inazidi kukolea nikafanya jaribio la kupima oil kwa kupitisha mkono kwenye nyonyo naona katulia tuu, nikipitisha kiunoni katulia tuu. Nikasema huyu fala sana. Nikaomba namba kwa kumzuga ili aone kama namtaka alivyoshuka mbezi akaniacha mimi naenda ubungo. Nikadelete namba yake fasta
Sister mkatoliki aliliwa, naruhusiwa kuleta ushuhuda au atanigundua?Kimasikhara ziendelee.
Chai ya sukari guluWiki iliyopita nikiwa jijini hapo nikafika taasisi flani ya serikali kupata huduma flani. Hiyo ofc nikatumia siku 3 hadi nakamilisha mishe zangu. Nikaelekezwa niende ofc husika, nikamkuta wadada wawili ila mmoja ndo mhusika wa ishu yangu. Akanielekeza mambo kadhaa nikaendelea na issues siku ikaisha. Siku ya pili nikaendelea nilipoishia jana yake, hapo ndo shida ilipoanzia. Nikaona ananiuliza au kunisemesha kirafiki sana hadi nikawa najiuluza mbona huyu kawa mwema sana kwangu. Kuna wakati document ya kuprint au kutoa copy ananitolea tu kwa mashine ya ofc, wakati wengine wanahangaika kwenda kutoa nje ya ofc.
Tukiwa tumeshapeana namba za sim mawasiliano ya hapa na pale yakaendelea. Hiyo siku ya 2 mpaka wanafunga ofc na mm ndo natoka, kumbe anaenda njia moja na mm. Sasa mm nimefikia lodge, ila yeye anakaa kwao ni mbali kidogo pembezoni mwa jiji la Dar. Nikawapa lifti yeye na rafiki yake, sasa ili kulipa fadhila nikaona niwasogeze kidogo.. basi mwamba nikawapeleka, alitangulia kushuka rafiki yake yeye akabaki. Sikutaka kumsumbua kabisa. Alipofika nikarudi ila akawa ameshajua nipo lodge.
Usiku mawasiliano yakapamba moto mara ananiulizia nafanya nn. Nikaona kama ana hofu isije kuwa nimejichukulia demu mtaani. Kesho yake namalizia issues zangu alinisaidia fasta nikamaliza mida ya saa 8. Yeye anatakiwa atoke saa 10. Akaniuliza leo lifti hatupati? Nikasema bado nipo hadi saa 10 sitawaacha. Muda ukafika haooo tukaondoka, alipofika rafiki yake, akasema ujue haijazoeleka kufika home mapema. Nikamwambia tupite sehem tupate hata kinywaji basi. Akakubali. Nikamwambia ww ndo unajua mitaa so nielekeze. Basi tukaenda. Tukapiga nyama choma za kushiba na vinywaji. Nikamwambia mi nasepa kesho mapema sana kabla ya mabasi. Akasema jamani ntakumisi, nikamwambia twende upafahamu nilipofikia. Akanipiga jicho flani la mshangao, akasema alaf utanirudisha tena huoni tunaongeza mzunguko tuu? Nikasema mi ndo mwenye gari, ndo mwenye kujaza mafuta na ndo dereva, wee hofu ya nn?
Basi mtoto akakubali.. tukaingia zetu room saa 1 usiku, nikajichapia usiku kucha na hakwenda tena kwao. Kilichonishangaza nilikuwa nawaza ataendaje kazini hana nguo za kubadili, laaa haulaaa, kumbe alikuwa na complete set ya nguo ya kubadili (chupi, tight, na nguo za juu full). Swali, alijuaje kama kuna uwezekano wa kutokurudi home?
Asubuhi nikamsindikiza job nikamwachia 40k, nikaendelea na safari. Mtoto mzuri sana ana miaka 25, ngozi nyororo, mtoto wa kiislamu, mtoto wa pwani na shape lake namba 8 mguu wa bia Shughuli anaijua akiifinya kwa ndani unahisi vibration mwili mzima. Sasa tunawasiliana anasema ana mchumba ila shughuli niliyompa imemfanya haoni hamu ya huyo mchumba.
Ameniomba nirudi Dar fasta
Hiyo ya sister siyo chai au VichekeshoChai ya sukari gulu