Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Nipo zangu field 2022 mwanzoni, tulitumwa na shirika letu kwenda kufanya utafiti kwenye jiji linalosifika kwa wakazi wake kujenga juu ya milima na miamba kwa muda wa mwezi mmoja. Umbali kama wa mita 500 kulikuwa na ki-mini supermarket. Kulikuwa kuna dada mmoja graduate mrembo anauza pale na alikuwa mcheshi sana, alinidadisi dadisi nikamwambia nimetoka Dar nipo huku kikazi....
kwahiyo ulikula kima sikhara na ukaona hii imeenda ukairasimisha kabisa
 
kwahiyo ulikula kima sikhara na ukaona hii imeenda ukairasimisha kabisa
Mtoto yuko bright sana kichwani, ananipa ideas nyingi na ana support sana struggle za maisha alafu ni kama ana ka upepo flani ka hela toka nimenza kudate naye deals za hela zina miminika. And also anapenda sex za kibabe namwachaje sasa? Hahahah
 
Back
Top Bottom