Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Basi baada ya mwezi nikiwa nafanya kazi pale kwa mama p nyumbani wakaanza kulazimisha nirud hasa Bibi yangu mimi nikampigia nikamuelezea kwamba sitaweza tena na mama mdogo kanitangaza kwa kila mtu borea nipambane tu huku kukutana na Baba P ( alikua kijana tu miaka 35 sema aliwah kuoa)
Noma sana
 
Back
Top Bottom