

Noma sanaBasi baada ya mwezi nikiwa nafanya kazi pale kwa mama p nyumbani wakaanza kulazimisha nirud hasa Bibi yangu mimi nikampigia nikamuelezea kwamba sitaweza tena na mama mdogo kanitangaza kwa kila mtu borea nipambane tu huku kukutana na Baba P ( alikua kijana tu miaka 35 sema aliwah kuoa)
😀😀Utakuta hii stori imetungwa na mwanaume!
Kumbe bado hawajauza....Endelea basi binti wa kimanga, usichelewe hadi bandari ikauzwa...😘
Dunia ngumu sana
Lipia tangazomm ni mrembo Sana (umbo la kibantu nywele, rangi na sura ya kiarabu) na inasemekana baba yangu ni mwarabu
Wewe Kusoma shule moja ya Gvt inakupa ground ya kutoa conclusion ya shule zote Boss? Kuwa serious embuShule gani ya bweni ina vyoo humohumo bwenini???
Labda hizo private zenu. Nimesoma Govt Shule ya bweni hakuna kitu kama hicho
Pumba.afu


Ewaaaaa shikilia apoapo adi baba p akukabidhi miradi yakenikajituma nikampa yoteeeee had alikua anatoa choziiiiiiii
Kama Baba hakula kabaang!!! Sijui!!Katakuwa kaligongwa tena na baba P