Kimasihara ilikuepo , ipo na itaendelea kuepo milele na milele,
Mimi nina kimasihara zangu kibao sana, ya kwanza kuna dem nilimpata thru WhatsApp status ya rafiki angu nlkua nikiona anampost sana yule dem ikabidi nimuombe namba na details zake akanipa nikampandia hewani mtoto mzuri nlichat nae tunaelewana akanipa location, kipindi hicho alkua anafanya kazi Mwanza kisesa (Sharon Dispensary) .
Sku moja nikaamua kumuibukia mitaa aliyokua akiishi , alinikaribisha vizuri akanipikia nikala msosi then nikamla na mpishi safi kabisa, Yule mtoto alikua ni msafi wa mwili pamoja na mazingira yake yote, tangu sku hyo nliingiwa na jini la kuwapenda maNurse ote, hata nikiwaona balabalani huwa nahisi kama nimemuona yule dem aseeeh. Mpaka sasa nilishapoteza mawasliano nae.