Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Wataalam nina kisa kimoja hiko.. nilikula sister wa kanisani.. kwenye kuomba msamaha kwa Mungu nafsi inasema ili niwe Huru hii Siri niitoe kwa watu wajue na Moyo wangu utakuwa na Amani.. hiyo Dhambi nilifanya 2021 seminari nipo malezi sasa nimerudi parokiani kwangu ndo nakutana na huyo sister, sister anaitwa (….) ni Mkenya Shirika la (....) alikuwa mdogo sana... Mwaka Jana nikasikia amefariki Kwa ajali ya gari.. NITAELEZA UKWELI Watu wakijua Nafsi Yangu naamini Itatulia sana
Sasa hapo ndio umeeleza au huo ni utangulizi (Dibaji)?
 
Nilikua nyuma ya jukwaa pale kwenye nyama ya mbuzi karibu na hile sinema ya royal tour mkuu umeondoka mm bado nipo uku MU
Ahahaha nimeshasepa kaka, kama bado upo MU nikija ntakutafuta kaka ,hapo kwenye banda la nyama huko palikuwa na warembo fulan hivi wamevaa kama form six nyeupe hivi .

Uliwaona wale wadada wanaoshindana kunengua
 
Mwaka 2007, natoka zangu chuoni SUA Mazimbu Campus. Nimeshuka pale relini(Dark City) saa 1 jioni kagiza kanaanza nami ninakaa mitaa ya Kihonda. Naifuata reli na kuelekea magetoni. Mara nakutana na Jimama la kiarabu Nene na mtu mzima (Lishangazi) limevaa hijabu. Nikataka niliamkie "shikamoo" ila sijui nilipata wapi ujasili nikajikuta
Mi: Mambo
Yeye: safi
Mimi: unaenda wapi?
Yeye: Hapi dukani mara Moja.
Mi: Twende mitaa ya kwetu kule kuna duka.
Yeye: Sawa

Nikalikokotoa na kulirudisha nyuma huku nipo buyu. Nikalifikisha mitaa ya geto tulipopanga na majamaa. Nikamwambia, njoo kwanza upaone kwetu. Majamaa yananishangaa leo huyu kijana kalitoa wapi hili limama. Geto tuna Meza ya kusomea, meza tumeweka Subwoofer, viti na kitanda. Mwenzangu nikiyekuwa naishi naye Gheto kuona nimekuja na mgeni akamsalimia kisha akaondoka na kuniacha naye. Mi nikakaa kwenye kiti yeye akaenda kukaa kitandani kwani viti vingine tulikuwa tunaweka nje kwenye kasehemu ka kusomea na majamaa wenhine walikuwa wanasoma pale. Mara akasema, nimepaona nataka kuondoka. Nikalisogelea kitandani na kulilaza. Mjuba sina story naona kanyamaza tu. Mara nikainuka na kikatafuta ndomu na kisha nikaivaa moja. Lenyewe limelala tu kitandani huku l8mejifunika ushungi wake usoni kwa aibu. Hakuna touch wala nini, Nikasogeza chupi yake pembeni na kuzamisha kitu. Baada ya muda, Wazungu hao, likainuka na kuniambia nilitoe kwani alimuacha mama yake ndani peke yake so anawahi kurudi.

Nikamtoa na kumsindikiza na njiani ndipo tukaanza kutambulishana akaniambia anaitwa S.... na tukapeana namba za simu. Tukawa tunawasiliana na nikawa najipigia tu lishangazi. Lilipoanza nizoea ndipo likanifungukia kuwa yeye ananijua na ananionaga sana ninapo pita kwenda chuoni. Alinipenda muda na hakuwa anajua tutaonanaje so tulipoonana nami kumsimamisha na kuanza muongelesha alikubali na hata kukubali kwenda kwangu kwani ananielewa kitambo na anataka nimzalishe kwani yeye anajitosheleza kila kitu na ana hiace za Town Mazimbu na biashara Moro town ila hajawahi kuwa na mtoto maishani mwake. Kwa kuwa mimi ni HB nina rangi ya kimachame kwani na yeye alikuwa ni mchanganyiko wa waarabu na waswahili aliona tuna fiti kabisa kuwa Baba watoto wake. Yule shangazi alinipenda sana na aligikia hatua hata kunitambulisha kwa Mama yake aliyekuwa anaishi naye pale kwake. Nilikuwa najipigia tu muda wowote nitakao na kweli aliniweka mjini.

Baadaye akaniambia anataka mtoto so anaomba kesho tukapime UKIMWI ili niwe namla kavu kavu. Tukakubaliana kesho yake tuongozane hadi town tukapime UKIMWI then niwe namgonga kavu ili abebe ujauzito. Hapo ndipo palikuwa mwisho wa mapenzi yetu kwani ule ujasiri sijui niliutoa wapi, nikakataa kabisa hiyo kesho yake kwenda kupima kwani nilikuwa Malaya tu na nikahofia nisije kukutwa nao. Alinibembeleza sana yule Mama kwani ni kweli alinipenda na aliniweka sana mjini na maisha yakawa safi pale SUA ila nilikaza. Mwisho akanitumia SMS "Sawa nashukuru kwa kuchezea hisia zangu ila mimi mtu mzima na wewe bado kijana ni bora nijivie sasa kwani utaendelea kunitesa na kuninyanyasa kama tukiendelea kwenye mapenzi kwa muda mrefu kwani hupendeki" eti Nikamjibu "Tajiri na Mali zake, Maskini na Mbo..o yake". Hahaaa ujana huu. Nisameheme sana S... wangu kama badu upo hai.
hii ilishatumwa humu.una cope n paste?
 
The Prophet ﷺ said:

‎“From the most wicked people in the sight of Allah on the Day of Judgment is a man who has sexual intercourse with a woman and then exposes her secret (meaning: tells people what they have done)”

Sahih Muslim 1437
 
Baada ya kusoma sana visa vya RICK BOY ngoja niwape changu cha masikhara miaka hyo Bibo hostel hapo.

Manzi mmoja tulitoka nae kitaa, fatilia sana toka tupo 4m4 wapiiii hataki kuelewa, tukamaliza six, nilikuwa nasoma mikoa yenye baridi kali huko yeye yupo Town kiba***a nikirudi likizo jaribu hapa na kule lakini wapi...hataki kuelewa.

Zikatoka selection kujiunga elimu ya juu nikawa hapo town ye akachaguliwa mtakatifu kwa bahati mbaya akashindwa kwenda kutokana na ada. Ikabidi avute mwaka..ilipofika wakati wa kuomba akanitafuta bwana alikuwa ananiamini kwenye mambo mengi na mengi nilikuwa nafahamu kwakweli na namsaidia ila kuniachia ndio alikuwa anaweka ngumu.

Nikamwambia panda bibo...nikufanyie application..soma sana cut off za tcu...akaja nikapanga machaguo..bwanabwana selection zinatoka kachaguliwa town hapohapo akawa yupo nayeye bibo...ingawa tupo campus tofauti..

Bado tupia story za hapa na pale bado anachomoa...bwana wee siku nipo room naumwa nshakunywa na metakeflin napigiwa anataka nimtoe dinner...lalala tunatoka bwana mitaa fulani pale bar xhini karibu na brbr nagusia chumba hakuna ubishi wale wadada walishanizoea pale...kuingia ndani kumbe bwana aliakuwa amejipanga..pamoja na kuumwa nilipiga..lakini kila nikipiga mwili unazidi juwa wa baridi mpaka akastuka ninini mbona miguu ya baridi na feni inapuliza kinyama. Kuja kumwambia nna metakeflini na nimekuja kwakuwa umenisumbua..alicheka sanaaa ikabidi ipangwee tena game nikiwa mzima wa afya salama salimini.
 
Ntawaletea ya mdada mmoja mnyambo sura ya kinyarwanda...akiwa mwaka wa tatu mi wa kwanza...aiseee
 
Baada ya kusoma sana visa vya RICK BOY ngoja niwape changu cha masikhara miaka hyo Bibo hostel hapo.

Manzi mmoja tulitoka nae kitaa, fatilia sana toka tupo 4m4 wapiiii hataki kuelewa, tukamaliza six, nilikuwa nasoma mikoa yenye baridi kali huko yeye yupo Town kiba***a nikirudi likizo jaribu hapa na kule lakini wapi...hataki kuelewa.

Zikatoka selection kujiunga elimu ya juu nikawa hapo town ye akachaguliwa mtakatifu kwa bahati mbaya akashindwa kwenda kutokana na ada. Ikabidi avute mwaka..ilipofika wakati wa kuomba akanitafuta bwana alikuwa ananiamini kwenye mambo mengi na mengi nilikuwa nafahamu kwakweli na namsaidia ila kuniachia ndio alikuwa anaweka ngumu.

Nikamwambia panda bibo...nikufanyie application..soma sana cut off za tcu...akaja nikapanga machaguo..bwanabwana selection zinatoka kachaguliwa town hapohapo akawa yupo nayeye bibo...ingawa tupo campus tofauti..

Bado tupia story za hapa na pale bado anachomoa...bwana wee siku nipo room naumwa nshakunywa na metakeflin napigiwa anataka nimtoe dinner...lalala tunatoka bwana mitaa fulani pale bar xhini karibu na brbr nagusia chumba hakuna ubishi wale wadada walishanizoea pale...kuingia ndani kumbe bwana aliakuwa amejipanga..pamoja na kuumwa nilipiga..lakini kila nikipiga mwili unazidi juwa wa baridi mpaka akastuka ninini mbona miguu ya baridi na feni inapuliza kinyama. Kuja kumwambia nna metakeflini na nimekuja kwakuwa umenisumbua..alicheka sanaaa ikabidi ipangwee tena game nikiwa mzima wa afya salama salimini.
Huyo katoka kugombana na jamaa wake, hasira zake kaamua akupe kilaini
 
Ahahaha nimeshasepa kaka, kama bado upo MU nikija ntakutafuta kaka ,hapo kwenye banda la nyama huko palikuwa na warembo fulan hivi wamevaa kama form six nyeupe hivi .

Uliwaona wale wadada wanaoshindana kunengua
niliwaona Mzee nikawamezea mate nipo mzee Mpaka wa 7 hivi ndo ntakuwa nmemalizana napo uku MU
 
Katika makuzi ya maisha ya mapemzi hakuna formula. Nikiwa hapohapo kwenye hostel hizohizo wakati huo karibia shule yetu nzima ya advance na darasa zima la six limemwagwa kukawa kama vile bado tupo kiadvance..tembelea sana block A kwa wadada ambao tulipiga nao advance.

Mambo ya birthday nini kwa wadada walioingia dar kwa sababu shule ndio imewaleta Town.. ikawa kwa wingi sana. Kila wakati nipo kwenye room ya hao wadadaniliosoma nao na kuna mdada wa kinyambo wanaishi nae humo ingawa aliwazidi mwaka.

Nasema hakuna formula kwakuwa mi nilikuwa zangu cool sana lakini kila nikiongea mdada wawwatu wa mwaka wa tatu ananiambia mi mcheshi sana.

Ghafla tu pepo likaniambia mwambie nataka nikutoe out leo usiku..kitu kikatick akasema ngoja mida ya saa mbili..

Hela nnayolipia mpaka leo ilikuwa inasoma kwenye akaunt..mida ikafika somesha mnyambo twende nje kwenye chips samaki..achana na RB. kaelekea kibra.

Tukafika zetu palepale, agiza zangu ugali samaki mkubwa na maji kubwa, akaagiza zake chips tumekaa zetu ghorofani kwenye makuti. Nikagusia tu siwezi kukaa nje kwanza mie njuka we nwaka wa tatu mi naenda kuchukua room tuhamie ndani...ajabu hakubisha kachukue lakini mie sijajiandaa sifanyi chochote nataka kurudi mapema. Sikumkatalia...OK.

Hamishia kila kitu ndani, tunafika story za hapa na pale gusa hapa gusa pale katulia tuli...fungua code moja baada ya nyngne katulia tu...cheki time saa nne nilipiga mpaka asubuhi..ile tunatoka asubuhi sana..uso nna macho na mwaka wa kwanza wenzangu nipo na mdada wa mwaka wa tatu portable shape ya kinyarwanda..wakaanza kuniita jina la jack Bauer wakati huo 24hrs ndio series Motooo.

Nikamrudia siku nyngne kwa appointment nikaachama na mchezo huo kabla wale wenye room hawajastuka mana nilikuwa naonekana innocent man
 
Wakuu Niko namalizia doz ya malaria ila jna msabato mmoja alikuja geto kunijlia Hali baada ya kumuambia naumwa kilichotokea hta mm mgnjwa cjui lkn aliliwa kimasihara na la mkwezi, kauli ninayokumbuka kutoka kwake lkn ww unaumwa
Huku ipo ndani
 
Baada ya kusoma sana visa vya RICK BOY ngoja niwape changu cha masikhara miaka hyo Bibo hostel hapo.

Manzi mmoja tulitoka nae kitaa, fatilia sana toka tupo 4m4 wapiiii hataki kuelewa, tukamaliza six, nilikuwa nasoma mikoa yenye baridi kali huko yeye yupo Town kiba***a nikirudi likizo jaribu hapa na kule lakini wapi...hataki kuelewa.

Zikatoka selection kujiunga elimu ya juu nikawa hapo town ye akachaguliwa mtakatifu kwa bahati mbaya akashindwa kwenda kutokana na ada. Ikabidi avute mwaka..ilipofika wakati wa kuomba akanitafuta bwana alikuwa ananiamini kwenye mambo mengi na mengi nilikuwa nafahamu kwakweli na namsaidia ila kuniachia ndio alikuwa anaweka ngumu.

Nikamwambia panda bibo...nikufanyie application..soma sana cut off za tcu...akaja nikapanga machaguo..bwanabwana selection zinatoka kachaguliwa town hapohapo akawa yupo nayeye bibo...ingawa tupo campus tofauti..

Bado tupia story za hapa na pale bado anachomoa...bwana wee siku nipo room naumwa nshakunywa na metakeflin napigiwa anataka nimtoe dinner...lalala tunatoka bwana mitaa fulani pale bar xhini karibu na brbr nagusia chumba hakuna ubishi wale wadada walishanizoea pale...kuingia ndani kumbe bwana aliakuwa amejipanga..pamoja na kuumwa nilipiga..lakini kila nikipiga mwili unazidi juwa wa baridi mpaka akastuka ninini mbona miguu ya baridi na feni inapuliza kinyama. Kuja kumwambia nna metakeflini na nimekuja kwakuwa umenisumbua..alicheka sanaaa ikabidi ipangwee tena game nikiwa mzima wa afya salama salimini.
Ungefia ktandan kak, afya kwnza k zipo tu
 
Wanawake hawatabiriki mkuu. Unaweza kuwala kirahisi kwa sababu ya pesa, muonekano, status uliyonayo kama kuwa na cheo fulani au umaarufu. Wapo wenye pesa wanapigiwa kila siku na wasio na kitu na wapo maskini wanapigiwa wake zao na watu wenye pesa. Wapo watu maarufu wanawawake wanaokota tu bila kutumia pesa.

Najua umepita shule na hali za shule ndio zinazoendelea huku mtaani tunakoishi. Binadamu ni walewale na tabia ni zilezile. Hukuwahi kuona shuleni au chuoni kuna jamaa wanang'oa vyuma kisa wanajua kucheza Basketball au Football, ni ma Hb, wanatoka familia tajiri au za viongozi, au mpiga kinanda na gitaa kanisani kuwala wadada wanakwaya wote na washarika ambao ni wake za watu?

Kula kirahisi mwanamke hakutegemei sababu moja ya pesa tu na mara nyingi wanawake wanakuwa wanajua wanachofanya sio kwamba amejirahisisha tu ilimradi.
Mkuu kweli kabisa, ila PESA usiilete mchezo mkuu, unaweza ukamla mtu kimasihara kabisa, ukajaa mazima, tatizo linakuja huwez kum contains mtoto wa watu kwasababu tu huna pesa, umependa na wewe alikukubalia sababu ya your looks and all the later you said, linatokea jamaa linaweza likafix mambo madogo madogo linaanza kumkaza, utajisikiaje? Anyways being a Man is very very tough yan unatakiwa uwe na full package au 75 ya vitu ambavyo wanawake wanatakaga, wanawake wa mjini wanadate na watu waa aina tatu au nne nao ni

1. Mwanaume anaempenda, huyu atampa pussy si anampenda.. Ila sababu hana hela mwanamke hajali why? Ana mwanaume namba mbili.

2. Mwanaume mwenye pesa/mzee mwenye pesa, huyu anajua akimtikisa muda wowote anapata pesa hapa ndio wastaafu wanapowarukia mademu zetu

3. Mwanaume ambae is a Good guy, sasa hili ni zoba, mara nyingi wanawake huwa wana miss enterprate being good na ufala, so huyu fala ye atalitumia kufanye chores za nyumbani and all a man can do in a house, huyu ni yule fala Mwanamke anakaa ilala boma, lenyewe linakaa bunju B, analipigis simu liende kariakoo likamunulie vitu na lilivyofala linatoka bunju mpaka kariakoo linafanya mahemezi linaenda kwa mwanamke linafikisha vitu linapewa busu la shavu linaanza safari ya bunju b mana bunju b ni kama bagamoyo tu, hili fala haliwez sema no. Na wa mwisho ndio

4. A MANDINGO, a person who fucks her good... Huyu sasa haendeshwi wala hasumbuliwi na muda wowote akitaka pussy anapewa..

Women are very complicated my G, the less you concentrate on them the more they become attractive to you, the way women define on how somebody is mascular and sexually virile has nothing to do with your cute lillte light skin face...
 
Mkuu kweli kabisa, ila PESA usiilete mchezo mkuu, unaweza ukamla mtu kimasihara kabisa, ukajaa mazima, tatizo linakuja huwez kum contains mtoto wa watu kwasababu tu huna pesa, umependa na wewe alikukubalia sababu ya your looks and all the later you said, linatokea jamaa linaweza likafix mambo madogo madogo linaanza kumkaza, utajisikiaje? Anyways being a Man is very very tough yan unatakiwa uwe na full package au 75 ya vitu ambavyo wanawake wanatakaga, wanawake wa mjini wanadate na watu waa aina tatu au nne nao ni

1. Mwanaume anaempenda, huyu atampa pussy si anampenda.. Ila sababu hana hela mwanamke hajali why? Ana mwanaume namba mbili.

2. Mwanaume mwenye pesa/mzee mwenye pesa, huyu anajua akimtikisa muda wowote anapata pesa hapa ndio wastaafu wanapowarukia mademu zetu

3. Mwanaume ambae is a Good guy, sasa hili ni zoba, mara nyingi wanawake huwa wana miss enterprate being good na ufala, so huyu fala ye atalitumia kufanye chores za nyumbani and all a man can do in a house, huyu ni yule fala Mwanamke anakaa ilala boma, lenyewe linakaa bunju B, analipigis simu liende kariakoo likamunulie vitu na lilivyofala linatoka bunju mpaka kariakoo linafanya mahemezi linaenda kwa mwanamke linafikisha vitu linapewa busu la shavu linaanza safari ya bunju b mana bunju b ni kama bagamoyo tu, hili fala haliwez sema no. Na wa mwisho ndio

4. A MANDINGO, a person who fucks her good... Huyu sasa haendeshwi wala hasumbuliwi na muda wowote akitaka pussy anapewa..

Women are very complicated my G, the less you concentrate on them the more they become attractive to you, the way women define on how somebody is mascular and sexually virile has nothing to do with your cute lillte light skin face...
Now you're talking.

Kuna mwanamke alijilengesha kwa jamaa amle kisa ambebeshe mimba kisa ni Good looking (HB) akitegemea combination yao itatoa katoto kazuri. Mwingine ile kumuona jamaa kalowa anatamani hata sex ya siku moja aone yaliyomo yamo. Na hapo ndio mwanaume kama ni mwepesi wa kujiongeza anajikuta anakula kimasihara wengi.

Kiuhalisia mambo haya hayatabiriki what you think is everything in life is not everything as well. Kuna watu wameng'oa visu vikali kwa nguvu ya pesa lakini bado wanawake hao wanagongwa na mamarioo, mahauseboy, waosha magari na wengineo.

Mara nyingi mwanamke analiwa kirahisi bila matarajio ya mwanaume kama tayari moyo wake una hisia na mwanaume huyo sio ilimradi mwanaume. Na wanaume inabaki kuwa masihara kwa kuwa hatukutarajia na imetokea tu tumenusa hali ya hatari mambo yamekubali.
 
Baada ya kusoma sana visa vya RICK BOY ngoja niwape changu cha masikhara miaka hyo Bibo hostel hapo.

Manzi mmoja tulitoka nae kitaa, fatilia sana toka tupo 4m4 wapiiii hataki kuelewa, tukamaliza six, nilikuwa nasoma mikoa yenye baridi kali huko yeye yupo Town kiba***a nikirudi likizo jaribu hapa na kule lakini wapi...hataki kuelewa.

Zikatoka selection kujiunga elimu ya juu nikawa hapo town ye akachaguliwa mtakatifu kwa bahati mbaya akashindwa kwenda kutokana na ada. Ikabidi avute mwaka..ilipofika wakati wa kuomba akanitafuta bwana alikuwa ananiamini kwenye mambo mengi na mengi nilikuwa nafahamu kwakweli na namsaidia ila kuniachia ndio alikuwa anaweka ngumu.

Nikamwambia panda bibo...nikufanyie application..soma sana cut off za tcu...akaja nikapanga machaguo..bwanabwana selection zinatoka kachaguliwa town hapohapo akawa yupo nayeye bibo...ingawa tupo campus tofauti..

Bado tupia story za hapa na pale bado anachomoa...bwana wee siku nipo room naumwa nshakunywa na metakeflin napigiwa anataka nimtoe dinner...lalala tunatoka bwana mitaa fulani pale bar xhini karibu na brbr nagusia chumba hakuna ubishi wale wadada walishanizoea pale...kuingia ndani kumbe bwana aliakuwa amejipanga..pamoja na kuumwa nilipiga..lakini kila nikipiga mwili unazidi juwa wa baridi mpaka akastuka ninini mbona miguu ya baridi na feni inapuliza kinyama. Kuja kumwambia nna metakeflini na nimekuja kwakuwa umenisumbua..alicheka sanaaa ikabidi ipangwee tena game nikiwa mzima wa afya salama salimini.
Huu mchezo nimewahi jaribu wa kupiga game wakati niko kwenye dozi ya Malaria maana ilikuwa nikokosa ile chance ndio ilikuwa nitolee. Kiukweli nilitaka kufa. Siji kurudia. Malaria ilirudi na nguvu mara kumi zaidi na tuko porini kikazi. Yaani hiyo kitu ni don't try at home or anywhere afya kwanza.
 
Back
Top Bottom