Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mafunzo yalipoisha nilikaa kwake kama wiki hivi Ili nirudishe nyama za mwili Ili hata nikitaka kujipot nipostike vizuri!

Namkumbuka afande Jafari alikuwa eagle coy... Alikuwa na kigugumizi hizi..
Ww mujibu wa sheria au ile ya kujitolea?
Na intake ipi

Labda miaka yetu ni tofauti mno

Anyway kikubwa ulivyokutana nae mara nyingine mbunye ulipiga
Ndo masihara yenyewe
 
Hahaha hapana sio Mafinga, japo Mafinga nina historia nayo nzuri!

Kuna bidada mmoja enzi hizo nipo Njombe nilikuwa nadate naye! Unaambiwa bi dada alikuwa ananielewa kichizi, alinipenda Ile kinoma noma! Alikuwa haambiwi kitu kuhusu Mimi! Aliamini Mimi ndio Alfa na omega wake kwenye Dunia hii!

Huku na huku Mzee nikaingia tamaa kwa mlimbwende mwingine! Nikashindwa kumiliki injini Moja, ikanilazimu nichague chombo Moja niishi nayo! Si nikaacha mbachao kwa msala upitao! Nikampiga chini bi dada, sio kiupole nikamtolea shit kibao! Nikamchana makavu live unaambiwa madhaifu yake ikawa ndio mjeledi wa kumtwangia! Alilia Sana! Mtoto alinibembeleza Sana, anakuja home usiku labda nitamsamehe ila wapi, Hadi akapoteza Nuru, akawa dhoofu! Akawa mbaya Hadi mwishoni akakubali kisicho ridhiki hakiliki!

Sasa si nikachaguliwaga kwenda KJ 841 hapo Mafinga! Kwa mujibu wa Sheria hiyo! Siku ya siku nikaingia kambini doso likaanza! Kuna vikosi vya jeshi halafu Kuna Mafinga, unaambiwa Yale sio mateso, nilijitahidi kula shumbwela lakini wapi!!!

Muda wa kulala saa saba, halafu kuamka saa tisa kwenda kwenye mbio! Hapo sijui unakuwa umelala kitu gani maana sio usingizi aisee! Kurudi saa kumi na mbili tunaitwa majina, tunamwagilia maua halafu tunaenda kupiga kwata! Hapo Hadi saa nne tunaenda kunywa chai! Tukinywa chai tunaenda sehemu inaitwa mlima Nguruwe kuchukua tofali Moja Moja Kila mtu! Oyaaaah sio poa huo mlima Nguruwe ni mbali kinoma! Yaani hiyo kurudi ni saa nane au saa tisa! Tunapiga chakula Cha mchana! Halafu tunaenda kukimbia mbio Tena!

Tukitoka kwenye mbio tunakula chakula Cha usiku... Tunaenda Kuimba nyimbo za chenja Hadi saa Saba usiku tunaenda kulala! Saa tisa tunaamshwa halafu ratiba inajirudia! Hiyo ni Kila siku! Unaambiwa nilikonda, lile baridi nikawa mweusi kama oili chafu, Mzee nilikongoroka sio poa!

Siku ya siku tukapewa ruhusa twende Mafinga mjini tukaoshe macho! Safi Sana nikaoga chap, nikavaa nguo zangu... Hahahahah nguo nilizoenda nazo zinapwaya kama sio zangu, nikaazima mkanda nifunga fresh huyo nikaingia town! Hapo nimepiga kipara Cha kufa mtu na vipe Nina kakichwa kadogo nimekuwa kama charlie Chaplin.

Nikawa nazura town fresh... Ghafla ndinga inapaki kando yangu... Escudo Moja matata mpyaaaaa! Mlango unafunguliwa anashuka bi dada! Otea nani!!!!

Yule yule niliyemfanyia Violence miksa harassment pale Njombe mjini! Eeeh bwana eeeh Kawa mtu aisee! Bi dada anawaka Tena siku hizi anajua kuoga weeeh ni hatari yaani bi dada amejipata halafu Mimi Bado najitafuta na dalili zinaonyesha nishapoteana! Sijui tako kalipatia wapi, mihips hiyooo, ziwa hiloooo kudadeki.... Tumbo flatiiiiiiii.... Kavaa miwani mikubwa mwenyewe Hilo wigi mzeee yaani mtoto anaonekana kabisa shida sio mambo yake!

Ubaridi ukanipiga pale, nikawa nimeganda tu! Mtoto akasogea huku anatabasamu, "Vipi Dawa yenu... jamani za masiku"

Ikabidi nitoe tabasamu la aibu pale, "salama tu... Aiseee kitambo Sana... Kumbe upo huku?"

"Jamaniiiii Dawa yenu hata siamini... Kweli milima haikutani" akasema huku ananipa mkono...

"Aaah... Nipo bwana.... Si unajua maisha... Hahahah... Nipo jeshini hapo jeshi la JKT nafanya vitu vyangu" ilibidi nitoe kauli hiyo Ili asione kama vile nimepoteana saaaaana ... Yaani hiyo nilitaka aone mambo yangu sio mabaya!

"Ooh... Mimi nipo huku naishi na anti yangu namsaidia biashara zake za mbao mwaka wa nne huu"

Bi dada alichangamka Sana na bahati nzuri hakukumbusha kabisa ule ubumunda na ututusa wa harassment za mjini Njombe. Ni kama vile alisahau kabisa au aliamua kupotezea maana hali ya afya yangu ilionyesha nahitaji upendo, ukarimu na sio kuhukumiwa kwa mambo yaliyopita ambayo Si ndwele kwa kweli!

Mwishowe tuliingia kwenye gari lake, akanipeleka kwake! Alikuwa amepanga! Kwa kweli ilikuwa siku nzuri... Alipika ugali na nyama choma, hayo makachumbari, mapilipili, mtindi wa Assas kwa kweli japo lengo lilikuwa nirudi kambini siku hiyo hiyo ila nilishindwa ilibidi tu nilale pale pale!

Usiku nilioga maji moto hahahaha maisha haya kudadeki... Mishale ya saa Saba tulikuwa kitandani tukikumbushia Ile michezo tulifanyaga Njombe Tena time hii wote tupo na experience.... Show ilipigwa pale, dadeki.. nilianza vibaya unajua ugwadu unaambiwa zile romance, kunyonyana hapa na pale, huku na kule... Na Mimi nikawa nafight Sasa mmmmh kwenye kuingiza Ile kugusisha tu wazungu Hawa hapa! Sio kosa langu! Kurutu ni mdudu hizo nguvu ningetoa wapi?

Ngoma haikusimama Tena na tulilala hivyo yaani! Alinielewa nilimpa fact za kushato! Akanionea huruma pale tukalala! Kesho Yale nilishinda pale na baada ya chai tu mechi ilipigwa sawa sawia... Nilimla nikamla nikamtafuna nikampa vitu heavy... Najua Kuna vitu siwezi ila kumbato najua aisee! Hata mkisema najisifu ila ukweli naujua Mimi!

Jioni ya siku hiyo nilirudi kambini... Nilirudi kwa mguu Ili nipite porini nitokee tu hangani Ili mambo yasiwe mengi! Sasa karibia nafika nikakutana na wajeda wawili wanavuta bangi! Aisee nikacheza akili fasta ikabidi niwahonge vipande vya fedha! Nikawapa 10k wakanipeleka Hadi hangani (bweninj) nikavaa gwanda then hiyooo kukimbia mimbio ya hovyo!
Toyota escudo....hii itakuwa ni new brand kaka
 
Ww mujibu wa sheria au ile ya kujitolea?
Na intake ipi

Labda miaka yetu ni tofauti mno

Anyway kikubwa ulivyokutana nae mara nyingine mbunye ulipiga
Ndo masihara yenyewe
OP Kikwete, kwa mujibu... Hiyo 2015
 
Ilikua jumamosi moja nzuri baada ya kupeleka shati langu kuwekwa sawa tayari kwa harakati za jumapili, ndipo nkakutana na Fundi chereani sura ya mjomba Ila iyo shape aisee weka mbali na watoto. Afu guu la Bia heavy balaa.
Nikaomba namba nikapewa, nlipotoka nkaomba kuonana likawa lina zingua, nkaona isiwe kesi nkakausha jioni likanitext nkaliambia sipendi mwanamke mwenye mambo ya kitoto Basi akajieleza hapo sijui kaolewa bla bla mingi, akaniambia anaenda kwenye sherehe kama vipi nimfate nikamuone huko mi nkamwambia akitoka anifate nlipo kabla hajarudi home nikampa location si kweli akatokea alikua na washkaji zake tukapiga vyupa hapo nkawa na maintain watu wasione kama naishi nayo, nikamtext anifate parking Duh kweli likaja tukazama kwa gari, vyupa vishakolea mtoto hapingi nkapima oil piga ma finger sana nkampa mjulus naona hajazoea alikua ananikwangua na meno tuu, Basi nkavaa zana zangu nkalaza kiti nkapiga mzigo, mtoto alikua anarusha maji kinyama sijawai pata ona, kila nkizidisha mikwaju anarusha tu maji. Nlipiga zangu kimoja cha afya tulimalizia style ya chuma mboga nlifungua mlango akaegema kiti nkapiga tako zangu Hapo Hadi kukojoa, dah tamu sana ili totoo itarudiwa Hakka hii game.
Kiti kilinuka mikojo balaa mpaka nikaipeleka car wash kuwekwa sawa. Nawasilisha embu ishini na guu la Bia ilo….

Pasaka njema.
 
Mwaka 2022, nilipata safari ya kikazi Tanga!! Kuna binti sikuwahi kumuona ila tulikuwa tunachati sana, kuna ishu alikuwa na shida nayo akapewa namba yangu then mawasiliano yetu yakaanzia hapo kwa almost miezi sita hivi. Nilipenda sauti na uchangamfu wake.

Nilipofika Tanga, nikamtafuta tukaonana sehemu sijui wanaitaje bana ila around uwanja wa mpira wa Mkwakwani!!

Kuja kuliona ni bonge la toto, shombe shombe limefungasha hatari!! Lina macho makubwa yamelegeaa....!!!

Tukasalimiana pale, story mbili tatu then nikatumia uanaume. Yaan! si kulazimisha ila ni kama order iliyo polite kidogo kwamba twende rooom na nilishaonyesha wazi hisia zangu kuwa akifika nini kinafuata. Alicheka sana, akaniomba aende home saa mbili usiku atakuja akiwa amejiandaa! Nikajua tayari nishapigwa.

Saa mbili kweli huyu hapa, sina ndom sina chochote na nikasema potelea mbali!! Nikaichakaza ile toto ya Kitanga fundi haswaa!! Ni fundi namaanisha fundi haswa!!

Nilipiga lile zigo siku mbili katika wiki niliyokaa pale!! Kilichokuja kunikumba sitasahau!!! Nilipigwa na sijui ni UTI au ni nini maana kama ni UTI haikupona kabisa!! Na hospital nikienda wanasema UTI, sindano zao sijui dozi kubwa nilimaliza inapoa then inarudi baada ya siku chache!!

Mbaya zaidi, nakojoa damu nyingi maumivu makali na wakati mwingine yanasambaa mwili mzima!! Nimepona hivi majuzi tu, sina hamu na mbususu kwanza maana Wakenya wamekula hela yangu nyingi sana kupona hilo tatizo!! Ila demu nilimfaidi sana, nimemwambia umeoza we mtoto kalia kinoma!
Duuh
 
Hahaha hapana sio Mafinga, japo Mafinga nina historia nayo nzuri!

Kuna bidada mmoja enzi hizo nipo Njombe nilikuwa nadate naye! Unaambiwa bi dada alikuwa ananielewa kichizi, alinipenda Ile kinoma noma! Alikuwa haambiwi kitu kuhusu Mimi! Aliamini Mimi ndio Alfa na omega wake kwenye Dunia hii!

Huku na huku Mzee nikaingia tamaa kwa mlimbwende mwingine! Nikashindwa kumiliki injini Moja, ikanilazimu nichague chombo Moja niishi nayo! Si nikaacha mbachao kwa msala upitao! Nikampiga chini bi dada, sio kiupole nikamtolea shit kibao! Nikamchana makavu live unaambiwa madhaifu yake ikawa ndio mjeledi wa kumtwangia! Alilia Sana! Mtoto alinibembeleza Sana, anakuja home usiku labda nitamsamehe ila wapi, Hadi akapoteza Nuru, akawa dhoofu! Akawa mbaya Hadi mwishoni akakubali kisicho ridhiki hakiliki!

Sasa si nikachaguliwaga kwenda KJ 841 hapo Mafinga! Kwa mujibu wa Sheria hiyo! Siku ya siku nikaingia kambini doso likaanza! Kuna vikosi vya jeshi halafu Kuna Mafinga, unaambiwa Yale sio mateso, nilijitahidi kula shumbwela lakini wapi!!!

Muda wa kulala saa saba, halafu kuamka saa tisa kwenda kwenye mbio! Hapo sijui unakuwa umelala kitu gani maana sio usingizi aisee! Kurudi saa kumi na mbili tunaitwa majina, tunamwagilia maua halafu tunaenda kupiga kwata! Hapo Hadi saa nne tunaenda kunywa chai! Tukinywa chai tunaenda sehemu inaitwa mlima Nguruwe kuchukua tofali Moja Moja Kila mtu! Oyaaaah sio poa huo mlima Nguruwe ni mbali kinoma! Yaani hiyo kurudi ni saa nane au saa tisa! Tunapiga chakula Cha mchana! Halafu tunaenda kukimbia mbio Tena!

Tukitoka kwenye mbio tunakula chakula Cha usiku... Tunaenda Kuimba nyimbo za chenja Hadi saa Saba usiku tunaenda kulala! Saa tisa tunaamshwa halafu ratiba inajirudia! Hiyo ni Kila siku! Unaambiwa nilikonda, lile baridi nikawa mweusi kama oili chafu, Mzee nilikongoroka sio poa!

Siku ya siku tukapewa ruhusa twende Mafinga mjini tukaoshe macho! Safi Sana nikaoga chap, nikavaa nguo zangu... Hahahahah nguo nilizoenda nazo zinapwaya kama sio zangu, nikaazima mkanda nifunga fresh huyo nikaingia town! Hapo nimepiga kipara Cha kufa mtu na vipe Nina kakichwa kadogo nimekuwa kama charlie Chaplin.

Nikawa nazura town fresh... Ghafla ndinga inapaki kando yangu... Escudo Moja matata mpyaaaaa! Mlango unafunguliwa anashuka bi dada! Otea nani!!!!

Yule yule niliyemfanyia Violence miksa harassment pale Njombe mjini! Eeeh bwana eeeh Kawa mtu aisee! Bi dada anawaka Tena siku hizi anajua kuoga weeeh ni hatari yaani bi dada amejipata halafu Mimi Bado najitafuta na dalili zinaonyesha nishapoteana! Sijui tako kalipatia wapi, mihips hiyooo, ziwa hiloooo kudadeki.... Tumbo flatiiiiiiii.... Kavaa miwani mikubwa mwenyewe Hilo wigi mzeee yaani mtoto anaonekana kabisa shida sio mambo yake!

Ubaridi ukanipiga pale, nikawa nimeganda tu! Mtoto akasogea huku anatabasamu, "Vipi Dawa yenu... jamani za masiku"

Ikabidi nitoe tabasamu la aibu pale, "salama tu... Aiseee kitambo Sana... Kumbe upo huku?"

"Jamaniiiii Dawa yenu hata siamini... Kweli milima haikutani" akasema huku ananipa mkono...

"Aaah... Nipo bwana.... Si unajua maisha... Hahahah... Nipo jeshini hapo jeshi la JKT nafanya vitu vyangu" ilibidi nitoe kauli hiyo Ili asione kama vile nimepoteana saaaaana ... Yaani hiyo nilitaka aone mambo yangu sio mabaya!

"Ooh... Mimi nipo huku naishi na anti yangu namsaidia biashara zake za mbao mwaka wa nne huu"

Bi dada alichangamka Sana na bahati nzuri hakukumbusha kabisa ule ubumunda na ututusa wa harassment za mjini Njombe. Ni kama vile alisahau kabisa au aliamua kupotezea maana hali ya afya yangu ilionyesha nahitaji upendo, ukarimu na sio kuhukumiwa kwa mambo yaliyopita ambayo Si ndwele kwa kweli!

Mwishowe tuliingia kwenye gari lake, akanipeleka kwake! Alikuwa amepanga! Kwa kweli ilikuwa siku nzuri... Alipika ugali na nyama choma, hayo makachumbari, mapilipili, mtindi wa Assas kwa kweli japo lengo lilikuwa nirudi kambini siku hiyo hiyo ila nilishindwa ilibidi tu nilale pale pale!

Usiku nilioga maji moto hahahaha maisha haya kudadeki... Mishale ya saa Saba tulikuwa kitandani tukikumbushia Ile michezo tulifanyaga Njombe Tena time hii wote tupo na experience.... Show ilipigwa pale, dadeki.. nilianza vibaya unajua ugwadu unaambiwa zile romance, kunyonyana hapa na pale, huku na kule... Na Mimi nikawa nafight Sasa mmmmh kwenye kuingiza Ile kugusisha tu wazungu Hawa hapa! Sio kosa langu! Kurutu ni mdudu hizo nguvu ningetoa wapi?

Ngoma haikusimama Tena na tulilala hivyo yaani! Alinielewa nilimpa fact za kushato! Akanionea huruma pale tukalala! Kesho Yale nilishinda pale na baada ya chai tu mechi ilipigwa sawa sawia... Nilimla nikamla nikamtafuna nikampa vitu heavy... Najua Kuna vitu siwezi ila kumbato najua aisee! Hata mkisema najisifu ila ukweli naujua Mimi!

Jioni ya siku hiyo nilirudi kambini... Nilirudi kwa mguu Ili nipite porini nitokee tu hangani Ili mambo yasiwe mengi! Sasa karibia nafika nikakutana na wajeda wawili wanavuta bangi! Aisee nikacheza akili fasta ikabidi niwahonge vipande vya fedha! Nikawapa 10k wakanipeleka Hadi hangani (bweninj) nikavaa gwanda then hiyooo kukimbia mimbio ya hovyo!
Ahahaah kamanda kipindi hicho Cpt Moshi alikuwepo ??? Maana ametusumbua sana yule jamaa.

Afu unakutana na Afande Rambo mzeee qa mateke ya angani angani sio poaa
 
Ilikua jumamosi moja nzuri baada ya kupeleka shati langu kuwekwa sawa tayari kwa harakati za jumapili, ndipo nkakutana na Fundi chereani sura ya mjomba Ila iyo shape aisee weka mbali na watoto. Afu guu la Bia heavy balaa.
Nikaomba namba nikapewa, nlipotoka nkaomba kuonana likawa lina zingua, nkaona isiwe kesi nkakausha jioni likanitext nkaliambia sipendi mwanamke mwenye mambo ya kitoto Basi akajieleza hapo sijui kaolewa bla bla mingi, akaniambia anaenda kwenye sherehe kama vipi nimfate nikamuone huko mi nkamwambia akitoka anifate nlipo kabla hajarudi home nikampa location si kweli akatokea alikua na washkaji zake tukapiga vyupa hapo nkawa na maintain watu wasione kama naishi nayo, nikamtext anifate parking Duh kweli likaja tukazama kwa gari, vyupa vishakolea mtoto hapingi nkapima oil piga ma finger sana nkampa mjulus naona hajazoea alikua ananikwangua na meno tuu, Basi nkavaa zana zangu nkalaza kiti nkapiga mzigo, mtoto alikua anarusha maji kinyama sijawai pata ona, kila nkizidisha mikwaju anarusha tu maji. Nlipiga zangu kimoja cha afya tulimalizia style ya chuma mboga nlifungua mlango akaegema kiti nkapiga tako zangu Hapo Hadi kukojoa, dah tamu sana ili totoo itarudiwa Hakka hii game.
Kiti kilinuka mikojo balaa mpaka nikaipeleka car wash kuwekwa sawa. Nawasilisha embu ishini na guu la Bia ilo….

Pasaka njema.View attachment 2582209
@deepond njoo uone mwizi wa mchepuko wako wa Mbagala Kajileta mwenyewe.
 
Ni kati ya wanawake niliowahi kuwapa heshima kubwa. Alikuwa amenizidi umri, japo sijui kwa kiasi gani lakini sio chini ya miaka kumi. Ni miongoni mwa wanawake wanaojitahidi kujitunza. Ni msafi Kila wakati ananukia na vile alipenda usasa haikuchosha kumtazama. Alivutia.

Nyama nyingi kuliko mifupa. Nyonga imetanuka vyema na kiuno chake chembamba kilichomoza kiustadi juu ya kalio maridhawa! Ngozi yake maji ya kunde iling'arishwa kwa mchanganyiko wa vipodozi kadha wa kadha, itoshe kusema alikuwa mlimbwende!

Huyu bi mkubwa nilimkuta mji fulani mdogo huko nyanda za juu kusini. Nilikuwa nimeenda kikazi. Alikuwa anamiliki restaurant kubwa na ndio sehemu ambayo watu niliokuwa nimeenda kufanya nao kazi walikuwa wakila mahali hapo kwahiyo nilikuwa naungana nao Kila wakienda kula!

Nilitarajia kukaa kwenye mji huo kwa wiki tatu hivyo wafanyakazi wenzangu walinisaidia kutafuta lodge affordable Ili nisitumie hela nyingi! Maisha yalienda vizuri na kazi pia ilienda sawa!

Bi mkubwa mwanzoni alikuwa hanichangamkii Sana ila taratibu tukazoeana nikawa nikifika pale tunapiga hata story mbili tatu huku nakula Kisha naondoka!

Sasa siku hiyo ilikuwa weekend nilikuwa nimeenda kula nikatoa 10k bahati mbaya wakakosa change! Nikaondoka kwa ahadi kuwa nitakapokuja kula usiku nitachukua hiyo change nikaondoka zangu!

Chakula Cha usiku nilizoea kwenda kula saa tatu au saa nne. Siku hiyo nafika pale nakuta wasaidizi wake ndio wanafunga funga! Kumbe siku hiyo kulikuwa na mnada kwenye ule mji kwa hiyo chakula kiliisha mapema sana na kwa maana hiyo hata migahawa mingine haina chakula muda huo!

Binti mmoja akaniambia boss wao kasema nikifika pale nimpigie simu. Wakanipa namba zake nikapiga simu,

Mimi: Hallo
Bi mkubwa: Hallo, habari yako.
Mimi: Nzuri tu, nimefika hapa ofisini kwako wafanyakazi wako wamesema nikupigie!
Bi mkubwa: Ndio niliwaambia hivyo. Sasa hapo chakula kiliisha tulisahau kukuwekea. Jioni hii kupata chakula itakuwa ngumu sana. Njoo ule nyumbani kwangu nimepika.
Mimi: Ahhh... Sio nitakuwa nakusumbua?
Bi mkubwa: Wala... Hata Mimi sikula na hapa tayari nishapika waambie hao mabinti wakuelekeze sio mbali!
Mimi: Okay!

Mabinti wakanielekeza nyumbani kwa bi mkubwa, nikaanza safari! Kichwani niliamini ni ishu ya msosi tu na nilijua kafanya vile sababu niliacha Hela yangu! Kiukweli sikuwa na mpango mwingine wowote ule!

Nilifika nikakaribishwa ndani. Kumbe ile nyumba kajenga mwenyewe na anaishi peke yake! Aliwahi kuolewa ila akaachika na ana mtoto mmoja anasoma boarding!

Nilikaa kwenye sofa msosi ukapakuliwa nikaletewa pale pale! Akawa amekaa kwenye sofa la pembeni na yeye anakula huku tunapiga story! Alivaa kanga nyeupe, miguu amekunja nne! Hapo ndio nikajionea lile guu la bia limetakata balaa! Ila Bado haikufanya niwaze chochote, kwa kweli roho mtakatifu alikuwa na Mimi!

Taratibu mvua ikaanza kunyesha, kulikuwa na dalili ya mvua muda mrefu ila wengi walipuuzia maana msimu wa mvua ulikuwa bado! Mwanzo tulidhani manyunyu tu ila ghafla Ngoma ikachanganya, aisee mvua ilipiga balaa kama dakika ishirini hivi! Halafu ikaacha yakawa manyunyu tu kwa mbali!

Muda mwingi wakati mvua inanyesha tulikuwa kimya, Mimi nilikuwa busy na simu yangu yeye alikuwa busy akipanga vitu jikoni. Baadae akaja sebuleni alipoona nimeshika simu akaniomba nimrekebishie simu yake maana ina mwanga mdogo halafu sauti ipo chini Sana! Ni ishu ndogo mno!

Akanipa simu na yeye akakaa pembeni yangu. Nikawa namuelekeza namna ya kurekebisha! Sijui alifanya kusudi au bahati mbaya ila alinisogelea Sana hata pumzi zake zilikuwa zinanipiga shingoni! Sauti yake ilikuwa chini Sana na joto la mwili wake lilikuwa juu na hapo nikajua mahali hapa hakuna upako, Ile roho ya mwanzo haipo Tena!

Wakati nawaza na kuwazua, nikageuza kichwa nimuangalie usoni... Weeh midomo ikagusana, ikabidi nifanye anachotaka! Nikaanza kumpiga mate, bi mkubwa anagugumia tu! Nikaweka simu chini, mikono nikaizungusha kiunoni kwake nikamuweka kwenye himaya yangu!

Kwa ustadi nikawa nayatomasa matiti yake, bi mkubwa yupo hoi! Hapo kiunoni Kuna mzigo WA shanga ndio ugonjwa wangu huo! Bi mkubwa akawa anatumia uzoefu wake kwenye tasnia kunipeleka mbio ila Kuna vitu vipya hakuwa anavijua nikawa nampunguza speed mdogo mdogo!

Ilipigwa mechi kali Sana mahali pale. Bi mkubwa alikuwa vizuri, halafu hajibanii yaani anakupa yote! Yupo serious hataki utani! Lilikuwa game tamu, zuri lenye kukumbukwa!

Baada ya pale nilirudi lodge kulala Cha ajabu saa kumi na Moja asubuhi alikuja lodge akasema anataka Cha asubuhi... Ikapigwa mechi saaaafi... Na Hadi naondoka pale ni kama nilioa vile!
Hadi Leo huwa nikienda lazima anitunuku Hana hiyana!
Story Yako imenikumbusha 2015 nikiwa Arusha, Kuna mama mmoja mrefu mweupe amejaza vya kutosha nilikuwa nakula pale lkn sikuwa na mazoea nae.
Ukame ulikuwa ni wa mda mrefu Sana, siku moja nilimfata akiwa anaongea na najamaa mmoja hivi, akainuka tukasogea pemebeni nikaomba Namba akanipa baada ya mda nikapiga akapokea Nika mwambia kuwa nimemuelewa akasema tuta ongea baadae.
Usiku alinipigia na kuniuliza ujasiri ule nimeutoa wapi maana wanaume wengi wanamuogopa kwa jinsi alivyo na mm nikapata ujasiri zaidi nikasema wewe ni mwanamke kama wanawake wengine.
Nimejilia kwa mda wote ule nilikuwa Arusha, na mwaka 2021 nilirudi Arusha na yeye hakuwa Arusha ilibidi aje nilikaa nae hotelini kwa week nzima najilia tu.
 
Ilikua jumamosi moja nzuri baada ya kupeleka shati langu kuwekwa sawa tayari kwa harakati za jumapili, ndipo nkakutana na Fundi chereani sura ya mjomba Ila iyo shape aisee weka mbali na watoto. Afu guu la Bia heavy balaa.
Nikaomba namba nikapewa, nlipotoka nkaomba kuonana likawa lina zingua, nkaona isiwe kesi nkakausha jioni likanitext nkaliambia sipendi mwanamke mwenye mambo ya kitoto Basi akajieleza hapo sijui kaolewa bla bla mingi, akaniambia anaenda kwenye sherehe kama vipi nimfate nikamuone huko mi nkamwambia akitoka anifate nlipo kabla hajarudi home nikampa location si kweli akatokea alikua na washkaji zake tukapiga vyupa hapo nkawa na maintain watu wasione kama naishi nayo, nikamtext anifate parking Duh kweli likaja tukazama kwa gari, vyupa vishakolea mtoto hapingi nkapima oil piga ma finger sana nkampa mjulus naona hajazoea alikua ananikwangua na meno tuu, Basi nkavaa zana zangu nkalaza kiti nkapiga mzigo, mtoto alikua anarusha maji kinyama sijawai pata ona, kila nkizidisha mikwaju anarusha tu maji. Nlipiga zangu kimoja cha afya tulimalizia style ya chuma mboga nlifungua mlango akaegema kiti nkapiga tako zangu Hapo Hadi kukojoa, dah tamu sana ili totoo itarudiwa Hakka hii game.
Kiti kilinuka mikojo balaa mpaka nikaipeleka car wash kuwekwa sawa. Nawasilisha embu ishini na guu la Bia ilo….

Pasaka njema.View attachment 2582209
Mbona ana vikuku miguu yote miwili
 
Alafu mwanaume huyo anawaset tu. Hata mimi nina ID 2 za kike humu nawachora tu akina mzabzab wabavyonijia PM kwa fujo. Hakuna mwanamke humu Tz anayeweza kuja kwa kasi hivyo kwa nyuzi na kujilengesha namna hii.
Kwahiyo unaamua uingie kama dume na muda mwingine uingie kama jike, halafu unajitangaza tu pasipo aibu yeyote
 
Ni kati ya wanawake niliowahi kuwapa heshima kubwa. Alikuwa amenizidi umri, japo sijui kwa kiasi gani lakini sio chini ya miaka kumi. Ni miongoni mwa wanawake wanaojitahidi kujitunza. Ni msafi Kila wakati ananukia na vile alipenda usasa haikuchosha kumtazama. Alivutia.

Nyama nyingi kuliko mifupa. Nyonga imetanuka vyema na kiuno chake chembamba kilichomoza kiustadi juu ya kalio maridhawa! Ngozi yake maji ya kunde iling'arishwa kwa mchanganyiko wa vipodozi kadha wa kadha, itoshe kusema alikuwa mlimbwende!

Huyu bi mkubwa nilimkuta mji fulani mdogo huko nyanda za juu kusini. Nilikuwa nimeenda kikazi. Alikuwa anamiliki restaurant kubwa na ndio sehemu ambayo watu niliokuwa nimeenda kufanya nao kazi walikuwa wakila mahali hapo kwahiyo nilikuwa naungana nao Kila wakienda kula!

Nilitarajia kukaa kwenye mji huo kwa wiki tatu hivyo wafanyakazi wenzangu walinisaidia kutafuta lodge affordable Ili nisitumie hela nyingi! Maisha yalienda vizuri na kazi pia ilienda sawa!

Bi mkubwa mwanzoni alikuwa hanichangamkii Sana ila taratibu tukazoeana nikawa nikifika pale tunapiga hata story mbili tatu huku nakula Kisha naondoka!

Sasa siku hiyo ilikuwa weekend nilikuwa nimeenda kula nikatoa 10k bahati mbaya wakakosa change! Nikaondoka kwa ahadi kuwa nitakapokuja kula usiku nitachukua hiyo change nikaondoka zangu!

Chakula Cha usiku nilizoea kwenda kula saa tatu au saa nne. Siku hiyo nafika pale nakuta wasaidizi wake ndio wanafunga funga! Kumbe siku hiyo kulikuwa na mnada kwenye ule mji kwa hiyo chakula kiliisha mapema sana na kwa maana hiyo hata migahawa mingine haina chakula muda huo!

Binti mmoja akaniambia boss wao kasema nikifika pale nimpigie simu. Wakanipa namba zake nikapiga simu,

Mimi: Hallo
Bi mkubwa: Hallo, habari yako.
Mimi: Nzuri tu, nimefika hapa ofisini kwako wafanyakazi wako wamesema nikupigie!
Bi mkubwa: Ndio niliwaambia hivyo. Sasa hapo chakula kiliisha tulisahau kukuwekea. Jioni hii kupata chakula itakuwa ngumu sana. Njoo ule nyumbani kwangu nimepika.
Mimi: Ahhh... Sio nitakuwa nakusumbua?
Bi mkubwa: Wala... Hata Mimi sikula na hapa tayari nishapika waambie hao mabinti wakuelekeze sio mbali!
Mimi: Okay!

Mabinti wakanielekeza nyumbani kwa bi mkubwa, nikaanza safari! Kichwani niliamini ni ishu ya msosi tu na nilijua kafanya vile sababu niliacha Hela yangu! Kiukweli sikuwa na mpango mwingine wowote ule!

Nilifika nikakaribishwa ndani. Kumbe ile nyumba kajenga mwenyewe na anaishi peke yake! Aliwahi kuolewa ila akaachika na ana mtoto mmoja anasoma boarding!

Nilikaa kwenye sofa msosi ukapakuliwa nikaletewa pale pale! Akawa amekaa kwenye sofa la pembeni na yeye anakula huku tunapiga story! Alivaa kanga nyeupe, miguu amekunja nne! Hapo ndio nikajionea lile guu la bia limetakata balaa! Ila Bado haikufanya niwaze chochote, kwa kweli roho mtakatifu alikuwa na Mimi!

Taratibu mvua ikaanza kunyesha, kulikuwa na dalili ya mvua muda mrefu ila wengi walipuuzia maana msimu wa mvua ulikuwa bado! Mwanzo tulidhani manyunyu tu ila ghafla Ngoma ikachanganya, aisee mvua ilipiga balaa kama dakika ishirini hivi! Halafu ikaacha yakawa manyunyu tu kwa mbali!

Muda mwingi wakati mvua inanyesha tulikuwa kimya, Mimi nilikuwa busy na simu yangu yeye alikuwa busy akipanga vitu jikoni. Baadae akaja sebuleni alipoona nimeshika simu akaniomba nimrekebishie simu yake maana ina mwanga mdogo halafu sauti ipo chini Sana! Ni ishu ndogo mno!

Akanipa simu na yeye akakaa pembeni yangu. Nikawa namuelekeza namna ya kurekebisha! Sijui alifanya kusudi au bahati mbaya ila alinisogelea Sana hata pumzi zake zilikuwa zinanipiga shingoni! Sauti yake ilikuwa chini Sana na joto la mwili wake lilikuwa juu na hapo nikajua mahali hapa hakuna upako, Ile roho ya mwanzo haipo Tena!

Wakati nawaza na kuwazua, nikageuza kichwa nimuangalie usoni... Weeh midomo ikagusana, ikabidi nifanye anachotaka! Nikaanza kumpiga mate, bi mkubwa anagugumia tu! Nikaweka simu chini, mikono nikaizungusha kiunoni kwake nikamuweka kwenye himaya yangu!

Kwa ustadi nikawa nayatomasa matiti yake, bi mkubwa yupo hoi! Hapo kiunoni Kuna mzigo WA shanga ndio ugonjwa wangu huo! Bi mkubwa akawa anatumia uzoefu wake kwenye tasnia kunipeleka mbio ila Kuna vitu vipya hakuwa anavijua nikawa nampunguza speed mdogo mdogo!

Ilipigwa mechi kali Sana mahali pale. Bi mkubwa alikuwa vizuri, halafu hajibanii yaani anakupa yote! Yupo serious hataki utani! Lilikuwa game tamu, zuri lenye kukumbukwa!

Baada ya pale nilirudi lodge kulala Cha ajabu saa kumi na Moja asubuhi alikuja lodge akasema anataka Cha asubuhi... Ikapigwa mechi saaaafi... Na Hadi naondoka pale ni kama nilioa vile!
Hadi Leo huwa nikienda lazima anitunuku Hana hiyana!
Hii kimasihara imenoga sana.
 
Back
Top Bottom