dawa yenu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 2,829
- 3,733
Ni kati ya wanawake niliowahi kuwapa heshima kubwa. Alikuwa amenizidi umri, japo sijui kwa kiasi gani lakini sio chini ya miaka kumi. Ni miongoni mwa wanawake wanaojitahidi kujitunza. Ni msafi Kila wakati ananukia na vile alipenda usasa haikuchosha kumtazama. Alivutia.
Nyama nyingi kuliko mifupa. Nyonga imetanuka vyema na kiuno chake chembamba kilichomoza kiustadi juu ya kalio maridhawa! Ngozi yake maji ya kunde iling'arishwa kwa mchanganyiko wa vipodozi kadha wa kadha, itoshe kusema alikuwa mlimbwende!
Huyu bi mkubwa nilimkuta mji fulani mdogo huko nyanda za juu kusini. Nilikuwa nimeenda kikazi. Alikuwa anamiliki restaurant kubwa na ndio sehemu ambayo watu niliokuwa nimeenda kufanya nao kazi walikuwa wakila mahali hapo kwahiyo nilikuwa naungana nao Kila wakienda kula!
Nilitarajia kukaa kwenye mji huo kwa wiki tatu hivyo wafanyakazi wenzangu walinisaidia kutafuta lodge affordable Ili nisitumie hela nyingi! Maisha yalienda vizuri na kazi pia ilienda sawa!
Bi mkubwa mwanzoni alikuwa hanichangamkii Sana ila taratibu tukazoeana nikawa nikifika pale tunapiga hata story mbili tatu huku nakula Kisha naondoka!
Sasa siku hiyo ilikuwa weekend nilikuwa nimeenda kula nikatoa 10k bahati mbaya wakakosa change! Nikaondoka kwa ahadi kuwa nitakapokuja kula usiku nitachukua hiyo change nikaondoka zangu!
Chakula Cha usiku nilizoea kwenda kula saa tatu au saa nne. Siku hiyo nafika pale nakuta wasaidizi wake ndio wanafunga funga! Kumbe siku hiyo kulikuwa na mnada kwenye ule mji kwa hiyo chakula kiliisha mapema sana na kwa maana hiyo hata migahawa mingine haina chakula muda huo!
Binti mmoja akaniambia boss wao kasema nikifika pale nimpigie simu. Wakanipa namba zake nikapiga simu,
Mimi: Hallo
Bi mkubwa: Hallo, habari yako.
Mimi: Nzuri tu, nimefika hapa ofisini kwako wafanyakazi wako wamesema nikupigie!
Bi mkubwa: Ndio niliwaambia hivyo. Sasa hapo chakula kiliisha tulisahau kukuwekea. Jioni hii kupata chakula itakuwa ngumu sana. Njoo ule nyumbani kwangu nimepika.
Mimi: Ahhh... Sio nitakuwa nakusumbua?
Bi mkubwa: Wala... Hata Mimi sikula na hapa tayari nishapika waambie hao mabinti wakuelekeze sio mbali!
Mimi: Okay!
Mabinti wakanielekeza nyumbani kwa bi mkubwa, nikaanza safari! Kichwani niliamini ni ishu ya msosi tu na nilijua kafanya vile sababu niliacha Hela yangu! Kiukweli sikuwa na mpango mwingine wowote ule!
Nilifika nikakaribishwa ndani. Kumbe ile nyumba kajenga mwenyewe na anaishi peke yake! Aliwahi kuolewa ila akaachika na ana mtoto mmoja anasoma boarding!
Nilikaa kwenye sofa msosi ukapakuliwa nikaletewa pale pale! Akawa amekaa kwenye sofa la pembeni na yeye anakula huku tunapiga story! Alivaa kanga nyeupe, miguu amekunja nne! Hapo ndio nikajionea lile guu la bia limetakata balaa! Ila Bado haikufanya niwaze chochote, kwa kweli roho mtakatifu alikuwa na Mimi!
Taratibu mvua ikaanza kunyesha, kulikuwa na dalili ya mvua muda mrefu ila wengi walipuuzia maana msimu wa mvua ulikuwa bado! Mwanzo tulidhani manyunyu tu ila ghafla Ngoma ikachanganya, aisee mvua ilipiga balaa kama dakika ishirini hivi! Halafu ikaacha yakawa manyunyu tu kwa mbali!
Muda mwingi wakati mvua inanyesha tulikuwa kimya, Mimi nilikuwa busy na simu yangu yeye alikuwa busy akipanga vitu jikoni. Baadae akaja sebuleni alipoona nimeshika simu akaniomba nimrekebishie simu yake maana ina mwanga mdogo halafu sauti ipo chini Sana! Ni ishu ndogo mno!
Akanipa simu na yeye akakaa pembeni yangu. Nikawa namuelekeza namna ya kurekebisha! Sijui alifanya kusudi au bahati mbaya ila alinisogelea Sana hata pumzi zake zilikuwa zinanipiga shingoni! Sauti yake ilikuwa chini Sana na joto la mwili wake lilikuwa juu na hapo nikajua mahali hapa hakuna upako, Ile roho ya mwanzo haipo Tena!
Wakati nawaza na kuwazua, nikageuza kichwa nimuangalie usoni... Weeh midomo ikagusana, ikabidi nifanye anachotaka! Nikaanza kumpiga mate, bi mkubwa anagugumia tu! Nikaweka simu chini, mikono nikaizungusha kiunoni kwake nikamuweka kwenye himaya yangu!
Kwa ustadi nikawa nayatomasa matiti yake, bi mkubwa yupo hoi! Hapo kiunoni Kuna mzigo WA shanga ndio ugonjwa wangu huo! Bi mkubwa akawa anatumia uzoefu wake kwenye tasnia kunipeleka mbio ila Kuna vitu vipya hakuwa anavijua nikawa nampunguza speed mdogo mdogo!
Ilipigwa mechi kali Sana mahali pale. Bi mkubwa alikuwa vizuri, halafu hajibanii yaani anakupa yote! Yupo serious hataki utani! Lilikuwa game tamu, zuri lenye kukumbukwa!
Baada ya pale nilirudi lodge kulala Cha ajabu saa kumi na Moja asubuhi alikuja lodge akasema anataka Cha asubuhi... Ikapigwa mechi saaaafi... Na Hadi naondoka pale ni kama nilioa vile!
Hadi Leo huwa nikienda lazima anitunuku Hana hiyana!
Nyama nyingi kuliko mifupa. Nyonga imetanuka vyema na kiuno chake chembamba kilichomoza kiustadi juu ya kalio maridhawa! Ngozi yake maji ya kunde iling'arishwa kwa mchanganyiko wa vipodozi kadha wa kadha, itoshe kusema alikuwa mlimbwende!
Huyu bi mkubwa nilimkuta mji fulani mdogo huko nyanda za juu kusini. Nilikuwa nimeenda kikazi. Alikuwa anamiliki restaurant kubwa na ndio sehemu ambayo watu niliokuwa nimeenda kufanya nao kazi walikuwa wakila mahali hapo kwahiyo nilikuwa naungana nao Kila wakienda kula!
Nilitarajia kukaa kwenye mji huo kwa wiki tatu hivyo wafanyakazi wenzangu walinisaidia kutafuta lodge affordable Ili nisitumie hela nyingi! Maisha yalienda vizuri na kazi pia ilienda sawa!
Bi mkubwa mwanzoni alikuwa hanichangamkii Sana ila taratibu tukazoeana nikawa nikifika pale tunapiga hata story mbili tatu huku nakula Kisha naondoka!
Sasa siku hiyo ilikuwa weekend nilikuwa nimeenda kula nikatoa 10k bahati mbaya wakakosa change! Nikaondoka kwa ahadi kuwa nitakapokuja kula usiku nitachukua hiyo change nikaondoka zangu!
Chakula Cha usiku nilizoea kwenda kula saa tatu au saa nne. Siku hiyo nafika pale nakuta wasaidizi wake ndio wanafunga funga! Kumbe siku hiyo kulikuwa na mnada kwenye ule mji kwa hiyo chakula kiliisha mapema sana na kwa maana hiyo hata migahawa mingine haina chakula muda huo!
Binti mmoja akaniambia boss wao kasema nikifika pale nimpigie simu. Wakanipa namba zake nikapiga simu,
Mimi: Hallo
Bi mkubwa: Hallo, habari yako.
Mimi: Nzuri tu, nimefika hapa ofisini kwako wafanyakazi wako wamesema nikupigie!
Bi mkubwa: Ndio niliwaambia hivyo. Sasa hapo chakula kiliisha tulisahau kukuwekea. Jioni hii kupata chakula itakuwa ngumu sana. Njoo ule nyumbani kwangu nimepika.
Mimi: Ahhh... Sio nitakuwa nakusumbua?
Bi mkubwa: Wala... Hata Mimi sikula na hapa tayari nishapika waambie hao mabinti wakuelekeze sio mbali!
Mimi: Okay!
Mabinti wakanielekeza nyumbani kwa bi mkubwa, nikaanza safari! Kichwani niliamini ni ishu ya msosi tu na nilijua kafanya vile sababu niliacha Hela yangu! Kiukweli sikuwa na mpango mwingine wowote ule!
Nilifika nikakaribishwa ndani. Kumbe ile nyumba kajenga mwenyewe na anaishi peke yake! Aliwahi kuolewa ila akaachika na ana mtoto mmoja anasoma boarding!
Nilikaa kwenye sofa msosi ukapakuliwa nikaletewa pale pale! Akawa amekaa kwenye sofa la pembeni na yeye anakula huku tunapiga story! Alivaa kanga nyeupe, miguu amekunja nne! Hapo ndio nikajionea lile guu la bia limetakata balaa! Ila Bado haikufanya niwaze chochote, kwa kweli roho mtakatifu alikuwa na Mimi!
Taratibu mvua ikaanza kunyesha, kulikuwa na dalili ya mvua muda mrefu ila wengi walipuuzia maana msimu wa mvua ulikuwa bado! Mwanzo tulidhani manyunyu tu ila ghafla Ngoma ikachanganya, aisee mvua ilipiga balaa kama dakika ishirini hivi! Halafu ikaacha yakawa manyunyu tu kwa mbali!
Muda mwingi wakati mvua inanyesha tulikuwa kimya, Mimi nilikuwa busy na simu yangu yeye alikuwa busy akipanga vitu jikoni. Baadae akaja sebuleni alipoona nimeshika simu akaniomba nimrekebishie simu yake maana ina mwanga mdogo halafu sauti ipo chini Sana! Ni ishu ndogo mno!
Akanipa simu na yeye akakaa pembeni yangu. Nikawa namuelekeza namna ya kurekebisha! Sijui alifanya kusudi au bahati mbaya ila alinisogelea Sana hata pumzi zake zilikuwa zinanipiga shingoni! Sauti yake ilikuwa chini Sana na joto la mwili wake lilikuwa juu na hapo nikajua mahali hapa hakuna upako, Ile roho ya mwanzo haipo Tena!
Wakati nawaza na kuwazua, nikageuza kichwa nimuangalie usoni... Weeh midomo ikagusana, ikabidi nifanye anachotaka! Nikaanza kumpiga mate, bi mkubwa anagugumia tu! Nikaweka simu chini, mikono nikaizungusha kiunoni kwake nikamuweka kwenye himaya yangu!
Kwa ustadi nikawa nayatomasa matiti yake, bi mkubwa yupo hoi! Hapo kiunoni Kuna mzigo WA shanga ndio ugonjwa wangu huo! Bi mkubwa akawa anatumia uzoefu wake kwenye tasnia kunipeleka mbio ila Kuna vitu vipya hakuwa anavijua nikawa nampunguza speed mdogo mdogo!
Ilipigwa mechi kali Sana mahali pale. Bi mkubwa alikuwa vizuri, halafu hajibanii yaani anakupa yote! Yupo serious hataki utani! Lilikuwa game tamu, zuri lenye kukumbukwa!
Baada ya pale nilirudi lodge kulala Cha ajabu saa kumi na Moja asubuhi alikuja lodge akasema anataka Cha asubuhi... Ikapigwa mechi saaaafi... Na Hadi naondoka pale ni kama nilioa vile!
Hadi Leo huwa nikienda lazima anitunuku Hana hiyana!

nene kama hips zake..