Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Wakuu liwalo na liwe, nimemuona kuku wa kienyeji hapa mzuri hatari wazee, fiesta condoms zipo tayari kwa saa sita usikuView attachment 2531128
20230226_232435.jpg
 
Nipo likizo nikaendaa mkoa aisee acha nikutane na pisii flani nilisoma nayooo ni Wale mamodoo ilaa kabinukaaa haswaaa...! Nikatumia mbinu za kumsifiaa maneno mazurii ila makalii sanaa Nkamwambie eehe umebikuna siku hizii itakuwa utamu sio wa nchi hiii.. kakachekaa balaa nkamwambia ebu andika namba yako bhasi tuwasiliane.

Imefika jioni nikamcheck sikutaka kuchelewa maana nilikuwa nakaribia kuondoka demu kajibu nkamwambia njoo bar flani hapo pana Lodge ndani kakajaa... aiseee nikakanulia kuku nusuu kanakula kwa mapozi nikamwambia bhasi twende room ukamalizie huyo kuku hata sikusubiri jibu nikanyanyukaa huyoo natanguliaa kakaanza kuja kananifataaa. Duu kufika room hata sikujiulizaa nikaanza kulaa dendaa pisi imepagawaaa nayoo inaonekana kitambo haijaliwaa nikachapa viwiliii kakasepa kurudi kwake maana kana mtoto kumbe. Changamoto ni ile ile nikarudi town sasa mizinga ndo situmiii Japo kabinukaa hasaa kashape mashalaa ila hapana.
Ungeambatanisha picha sasa nawee, unakwamaa wapiii.

 
Nipo likizo nikaendaa mkoa aisee acha nikutane na pisii flani nilisoma nayooo ni Wale mamodoo ilaa kabinukaaa haswaaa...! Nikatumia mbinu za kumsifiaa maneno mazurii ila makalii sanaa Nkamwambie eehe umebikuna siku hizii itakuwa utamu sio wa nchi hiii.. kakachekaa balaa nkamwambia ebu andika namba yako bhasi tuwasiliane.

Imefika jioni nikamcheck sikutaka kuchelewa maana nilikuwa nakaribia kuondoka demu kajibu nkamwambia njoo bar flani hapo pana Lodge ndani kakajaa... aiseee nikakanulia kuku nusuu kanakula kwa mapozi nikamwambia bhasi twende room ukamalizie huyo kuku hata sikusubiri jibu nikanyanyukaa huyoo natanguliaa kakaanza kuja kananifataaa. Duu kufika room hata sikujiulizaa nikaanza kulaa dendaa pisi imepagawaaa nayoo inaonekana kitambo haijaliwaa nikachapa viwiliii kakasepa kurudi kwake maana kana mtoto kumbe. Changamoto ni ile ile nikarudi town sasa mizinga ndo situmiii Japo kabinukaa hasaa kashape mashalaa ila hapana.
Visa juu ya visa..
 
Wazee wa masihara

Niko kijijini kwa siku kadhaa Kila nikiangalia mazingira ya kupata utelezi naona ni ngumu kama vile kuruka bahari ya Shamu bila kutenganisha maji na fimbo ya Musa.sababu kubwa mdomo wangu ni mzito sana na pia mdomo ni mwepesi kama unyoya baada ya kupata vitu by TBL.Kwa mazingira ya home(kijijini) hawafahamu kama ni mdau mzuri wa TBL hivyo nikiwa huku nakuwa pastor wa mchongo kwa muda usiojulikana mpaka nitakoporudi mjini.nimekaa nikawaza miaka mingine iliyopita nikija huku Huwa napataje utelezi baada ya kuzidiwa ugumu

Hapo ndipo nikakumbuka nikakimbilia kutype namna nilivyopata utelezi kipindi Bado ni kijana mistari imenyooka kama rula, imeenda shule na ujasiri wa kutosha kama wa Simba nyikani

Mwaka sikumbuki ila baada ya kukaa siku chache Kijijini nikiwa sielewi hatma ya utelezi itakuaje kabla ya kuondoka na genye nilizotoka nazo mjini.Niliwaza nipige doria kali siku ya soko mida ya jioni kigiza Cha usoni kikikaribia .tageti ikiwa ni njia panda ili niangalie wa kumwachia maji mazito mithili ya uji mwepesi uliojaa maziwa ya kuganda.

Mara paap siku ya soko ikafika .nimekaa chemba nasoma Pini ambayo naielewa kidogo angalau niwe na mzuka nayo.ikapita Pini nikaimba nayo ngoma zote za marlaw mpaka tunakaribia kufika home kwao mtoto kagomaa kunipa namba zake

Nikapiga moyo konde nikaanza kurudi mdogo mdogo nikiwaza mpaka mtoto wa shambani ananichomolea kunipa namba .mara naona Binti anakuja na mtoto mdogo kama wa miaka miwili.nikafosi nikapita njia nyingine nikiwa mwendo wa Ngiri kusudi nitokee nyuma yake tuanza kuongozana pamoja.Bada ya kushika njia kuu nikamsogelea mdogo mdogo kama vile Kobe anayeenda nyumbani sina haraka coz Kobe hutembea na nyumba yake.Nikampita nikampa salam akaitikia kawaida bila kuonyesha code yoyote.mara akaanza kumfos mtoto ashuke chini atembee mwenyewe amechoka kumbeba.

Nikaweka kituo Kwa mtoto nikamsalimia unko hujambo,kuongeza udambwi udambwi nikambeba unko .stori zikaanza kumbe Binti katokea arusha kaja homeboy coz Kuna msiba DSM . familia nzima imeenda yeye amekuja kuangalia nyumba isibaki bila mtu.Stori za uongo na kweli huku Niko hoi Kwa sababu ya kubeba mtoto anambia ameshafika kwao.Kuomba namba pigo Zile zile sina simu ,nikamshawishi anisindikize mpaka home kwetu coz yeye ndio mwenyeji wangu Kwa muda huo na tayari Giza limeshaingia.Akaniambia ngoja nimepeleke mtoto home kwanza.

Hapo sijatongoza wa sijachombeza ni stori tuu . dakika kadhaa mtoto karudi akaniambia sikufikishi mbali ,Nia yangu nimseti siku za mbeleni nipige kiurahisi.tukafika njia ya kwenda home akasema yeye anarudi haendi tena coz ni usiku afu anajulikana home . Nikamwambia ni zamu yangu sasa ya kukusindikiza hapo natamani hata nimtouch touch kidogo roho iridhike.Akakubali ila akasema hapitii njia Ile anabadilisha njia so nisije kumwambia anirudishe tena.Mwendo kidogo Nikamwambia hapa panatosha sasa tuagane rafiki yangu.akaniambia Kwa heri Nikamwambia hivyo kuagana kizamani sana.Nikaulizwa unatakaje ?! Nikamwambia hug inatosha na kufanya usiku kuwa mfupi kama mbegu za kisambaa au watu wa Moro mji kasoro bahari😎😎. Kwenye hug mtoto anataka kuchomoka nikazidi kumbana na kushusha mistari ya Marc Anthony huku naminya Minya Zile baraka za Muumba.(in sheikh kipoozeo voice) Mtoto katulia tuli Mithili ya mtu anayekula na kipofu bila kumshika mikono.Nikaongeza wigo wa touch touch mpaka Kanda ya wasukuma rudisha mikono kiunoni mtoto anaruka kama amekanyaga Kaa la moto vile

Nikazidi kumbana kiunoni naona mtoto anazidi kukata moto,nikajigeuzia baraka za Muumba usawa wa msumari wa nyama huku nikicheza na maeneo muhimu.napima geji wese lipo kama lote afu mtoto kumbe alikuja na kanga moja .nikachomoa zana ya kivita chapu nikamuomba anionyeshe namna ya kuchuma mboga bila hiyana mtoto kachutuma.nikaset mpini kwenye jembe tukiendelea na kilimo Cha mboga .wazungu wanakribia mara tunasikia watu Kwa mbali wanakuja chapu nikachomoa nikapandisha suruali na yeye akajifunga kanga.raia wakapita mzuka ukakata afu ndom ilikuwa ni Moja tuu.Akaanza kufosi game iendelee hivyo hivyo Bado hajridhika

Nikapata akili nimset niende naye home kwetu Nile kwa uhuru bila bugudha za kina raila wasioacha kupita hapo njiani.Nikamwambia hapa huwezi kuridhika twende home ukapate kitu roho inapenda.Akachomoa akasema Mimi ndio niende kwao coz yupo mwenye.nikampanga twende tukàage kwanza akaniambia niage kisha nimkute palepale.kufika home nikamuelezea braza akasema Haina shida mtoto ni wakishua ila hapo kwao Kuna mfanyakazi wa kiume mtu mzima lazima umkute lakini Hana shida.nikabeba dhana kwenda vitani

Nafika nakuta nasubiriwa kama wanamwali kumi walivyomngojea Bwana harusi.Kiguu na njia huku touch touch za kawaida zikiendelea njiani mtoto anadeka kama yupo na jigga vile afu yeye eti ndio Beyonce.Shwaa!!Getini hao mpaka sebuleni kumbuka alisema yupo mwenyewe na mtoto wake.sekunde chache Kuna fadha kaingia sebuleni nikamsalimia akaitikia akaa .Akatambulishwa Mimi ni wa nyumba fulani nimepita hapo kuwapa hi.Fadha kanikaribisha mara kapanda ghorofani ngazi zipo hapohapo sebuleni.nikataka kusepa nikajua mzee kaenda kuleta panga demu akanizuia akaanza kufosi romansi hapo hapo wakati wa mabishano.nasika mlango umefunguliwa huko juu na demu kasimama mlangoni.nikaanza kusali Sala za mwisho na mapambio nikiimba kimya kimya.nikarudi kukaa kusubiri kuona Nini kinafuata

Mzee akashuka mdogo mdogo na ngazi akamwambia mtoto ameshalala afu mzee akatoka pressure ikashuka akasema ni mzee wao wa home hana shida niwe huru.tunakula khabari Itv mtoto na yeye akataka aliwe pale pale sikupinga nilimpa anachotaka kuanzia kwenye makochi na meza za dinning.Baada ya tukio tukaenda kuoga kurudi tukapiga msosi hata hujashuka kwenye utumbo mdogo vizuri mtoto anataka msumari wa nyama tena pale pale sebuleni.Nikamwambie tuhame location akaniambia twende vyumba vya nje .Huko kukawa ni kazi na dawa hakuna kupumzika.msumari ukilala unapashwa moto kazi inaendelea

Baadae sana mtoto akaanza kumlilia huko nyumba kubwa yule mzee kabembeleza mtoto hanyamazi.Mzee akaja kutugongea demu akafungua akaanza bembeleza mtoto huku anaugulia ndani ya msumari . Anaongea maneno yanakata kata kutokana na utamu na Mimi ndio nazidisha masifa ilibidi mtoto anyamaze awe anamsikiliza mama kwanini analia coz taa ilizimwa.kiufupi nilipiga mpaka demu alikata moto akazinduka asubuhi ikawa ndio chakula yangu nikiwa shamba .Nilisitisha huduma baada ya kutaka nimuoe na pia alikuwa anapenda kupelekewa moto sio wa kitoto pia tayari nilikuwa na ubavu wangu mjini.


nimeisimulia huku ili kama yupo mhusika anikumbuke nimerudi tena shamba.Kwa sasa swaga za watoto wapya sina natafuta Wazee wenzangu
 
Back
Top Bottom